Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Hahahahaha kivumbi leoleo nyuzi ni za namna hii
hongereni team sukuma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha kivumbi leoleo nyuzi ni za namna hii
hongereni team sukuma
Wewe ulikuwa ukisubiria tu jina litajwe?Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
JPM ni kama maji..utayaoga/utapikia/utakunywa/utafulia na kadhalika...ndio maana hata mwili wa binadamu asilimia 70 ni maji.Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Kuna kakikundi mtandaoni linapokuja suala la JPM kanataka kutengeneza attention isiyo na ulazima.
Kwani JK aliposema zilianza na awamu ya tano alimaanisha nn?
Shetani hawezi kujenga mahali patakatifuShetani hawezi kutajwa mahali patakatifu!
MitumeMti wenye matunda
Hata kikawaida hapa duniani Kati ya Mitume na Shetani nani anatajwatajwa sana
Katajwa sana mpka tuzo kapewa sasa sijui wanataka atajwe vipiNimetoka kusoma uzi hapa kwamba watu wana mtajataja sana Magufuli, huu uzi wa tatu sasa naona malalamiko kuwa hatajwi! Hivi wanaolalamika ni walewale au ni tofauti?
Hawezi mtaja 🤪🤪Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Ikulu hiyo imejengwa kwa fedha zetu na siyo za shetani! Shetani alitumia fedha zetu kama chambo cha kutunasa lakini alivyogundulika akatangulizwa jehanamu ambako moto wa milele unamshughulikia!Shetani hawezi kujenga mahali patakatifu
Sawa bila shaka utaishi milele mwehu weweIkulu hiyo imejengwa kwa fedha zetu na siyo za shetani! Shetani alitumia fedha zetu kama chambo cha kutunasa lakini alivyogundulika akatangulizwa jehanamu ambako moto wa milele unamshughulikia!
mungu yupi alieingilia kati..?Sasa ulitaka amtaje Magufuli wa nini wakati alikaribia kuangamiza nchi kama siyo Mungu kuingilia kati!! Bora alivyom skip.
kwanini haikujengwa kipindi icho chote mpaka alipokuja Chuma kujenga..Ikulu hiyo imejengwa kwa fedha zetu na siyo za shetani! Shetani alitumia fedha zetu kama chambo cha kutunasa lakini alivyogundulika akatangulizwa jehanamu ambako moto wa milele unamshughulikia!
Aliyeumba mbingu na ardhi na vilivyomo ambaye hashindwi na chochote na ni msikivu kwa wanyonge pindi wanapokuwa wanaonewa.mungu yupi alieingilia kati..?
kwanini haikujengwa kipindi icho chote mpaka alipokuja Chuma kujenga..
Watu wazuri hawafi!!!Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Halafu shetani mwenyewe ndiye akajenga IkuluShetani hawezi kutajwa mahali patakatifu!
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.
Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Hamjajifunza kwa Membe tuShetani hawezi kutajwa mahali patakatifu!