Rais mstaafu Jakaya Kikwete aongelea Ikulu mpya, aisifu kwa uzuri wake

Rais mstaafu Jakaya Kikwete aongelea Ikulu mpya, aisifu kwa uzuri wake

Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Wewe ulikuwa ukisubiria tu jina litajwe?
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
JPM ni kama maji..utayaoga/utapikia/utakunywa/utafulia na kadhalika...ndio maana hata mwili wa binadamu asilimia 70 ni maji.
Amtaje asimtaje ukweli ni kwamba magufuli ni Mtu pekee aliejenga IKULU Tanzania. PERIOD.
 
Nimetoka kusoma uzi hapa kwamba watu wana mtajataja sana Magufuli, huu uzi wa tatu sasa naona malalamiko kuwa hatajwi! Hivi wanaolalamika ni walewale au ni tofauti?
Katajwa sana mpka tuzo kapewa sasa sijui wanataka atajwe vipi
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Hawezi mtaja 🤪🤪
 
Shetani hawezi kujenga mahali patakatifu
Ikulu hiyo imejengwa kwa fedha zetu na siyo za shetani! Shetani alitumia fedha zetu kama chambo cha kutunasa lakini alivyogundulika akatangulizwa jehanamu ambako moto wa milele unamshughulikia!
 
Ikulu hiyo imejengwa kwa fedha zetu na siyo za shetani! Shetani alitumia fedha zetu kama chambo cha kutunasa lakini alivyogundulika akatangulizwa jehanamu ambako moto wa milele unamshughulikia!
Sawa bila shaka utaishi milele mwehu wewe
 
Wapinzani bado wanateswa na mzimu wa jpm, kikweye hajataja marais wowote waliopita, kataja awamu tu bilq kuaema zilifanya nini kwa muda wao, target yake ilikua aelezee kipindi chake alifanya nini.. kaongelea kipindi chake tu na alifanya nini..
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Watu wazuri hawafi!!!
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.

akwepa kumtaja Magufuli Kwa sababu amepata aibu kwani JPM alimjengea daraja la wami lililopo hapo jirani na nyumbani kwake.
 

Attachments

  • 7A141329-9841-4425-9440-A760EBFB09B0.jpeg
    7A141329-9841-4425-9440-A760EBFB09B0.jpeg
    334.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom