Rais mstaafu Jakaya Kikwete aongelea Ikulu mpya, aisifu kwa uzuri wake

Rais mstaafu Jakaya Kikwete aongelea Ikulu mpya, aisifu kwa uzuri wake

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Kuna kakikundi mtandaoni linapokuja suala la JPM kanataka kutengeneza attention isiyo na ulazima.

Kwani JK aliposema zilianza na awamu ya tano alimaanisha nn?
 
Nimetoka kusoma uzi hapa kwamba watu wana mtajataja sana Magufuli, huu uzi wa tatu sasa naona malalamiko kuwa hatajwi! Hivi wanaolalamika ni walewale au ni tofauti?
Kuna kakikundi bado hakajajulikani kana maslahi gani na jina la JPM. Kanajigawa mara mbili, kanaweza kuja na kashfa juu ya JPM halafu watokee watu wa kuipinga au kakaja na hoja ya kusifia kupita kipimo halafu wanatokea watu wa kuponda ila ni wale wale tu.
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Mkuu

Hapana kamtaja lakini pia hata SSH kamtaja tena kwa msisitizo mpaka akatazama wasikilizaji wapmepokeaji maoni yake kwamba bila yeye JPM Ikulu hiyo huenda isingejengwa; hivyo kwa kuwa na yeye alikuwa miongoni mwa awamu ya tano alirithi mradi huo atahakikisha anakamilisha inshallah.
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
KIKWETE ana wivu sana
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Angemtajaje Magufuli aliyefisidi rasilimali zote za taifa akaenda kujenga Chato? Na ile hoteli ya nyota 5 aliyojenga Chattle kwa kutumia hela za walipakodi sasa imegeuka maskani ya popo. Mungu hamfichi mwizi.
 
KIKWETE ana wivu sana
Mkuu

huyu jamaa ndio maana baada ya kugundua alikosea kutowatendea vyema alikotoka kwao Bagamoyo na Chalinze, kwa sasa miradi mingi nashawishi ielekezwe huko. Kashawishi vibarabara vya uongo na kweli vijengwe Bagamoyo ijapokuwa havina hadhi lakini kwa kuwa wenyeji walikuwa hawana basi wanao ni poa. Chalinze kwenye ndo usiseme kabisa....wivu mbaya sana unaweza kumtoa mtu roho!!!
 
Angemtajaje Magufuli aliyefisidi rasilimali zote za taifa akaenda kujenga Chato? Na ile hoteli ya nyota 5 aliyojenga Chattle kwa kutumia hela za walipakodi sasa imegeuka maskani ya popo. Mungu hamfichi mwizi.
Chato ni Jamhuri ya Kongo sio Tanzania? Ila kujenga vituo vya mafuta kila baada ya mita 300 kwa umbali wa kilomita 50 kutoka Ruvu hadi Chalinze ndio sahihi?
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Watu mna homa ya Magufuli.
Akitaja awamu ya 5 amemtaja rais wa awamu hiyo.
Hii tabia ya kumtaja rais ni upumbavu pesa ni ya serikali.

Hata Samia hakustahili kutajwa.
 
Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesifu amuzi wa serikali kujenga ikulu Dodoma. Amesifu ujenzi wa ikulu mpya na kusema kuwa ikulu hiyo ndio uthibitisho wa adhma ya serikali kuhamia Dodoma. Asema imekamilikia vizuri na inapendeza.

Mheshimiwa Jakaya amesema Juhudi za ujenzi wa ikulu mpya zilianza na awamu ya tano na kukamilika na awamu ya sita chini ya ungozi wa Mama Samia Suluhu Hassan.
Sasa ulitaka amtaje Magufuli wa nini wakati alikaribia kuangamiza nchi kama siyo Mungu kuingilia kati!! Bora alivyom skip.
 
Binafsi nilikiwa nasubiri apewe tuzo kwa heshima na juhudi zake na hilo limekekelezeka pamoja na jina kukwepwa kutajwa walikuwa wanamtaja kama wana hesitate 😊
 
Binafsi nilikiwa nasubiri apewe tuzo kwa heshima na juhudi zake na hilo limekekelezeka pamoja na jina kukwepwa kutajwa walikuwa wanamtaja kama wana hesitate 😊
Wote waliokwepa kumtaja pumzi yao anayo Mungu aliye hai na hawana mkataba na yeye hivyo wala usitie shaka maana alifanya kazi siku sita ya saba akapumzika
 
20230520_135745.jpg
 
Back
Top Bottom