Rais mteule wa Kenya William Ruto ni mtu wa aina gani? Tanzania itegemee nini kutoka kwake?

Rais mteule wa Kenya William Ruto ni mtu wa aina gani? Tanzania itegemee nini kutoka kwake?

Ni fisadi mwenye misimamo mikali asiye na uzoefu wa kidiplomasia. So tutegemee sera zenye mrengo wa kuipendelea Kenya meaning biashara za Tz huko Kenya zitaenda kufa asubuhi na mapema.

However kwa kuwa Rais wa Tanzania ni mpole Ina maana sie tutakua tunamuita Ruto mezani kulia lia "alegeze kamba". So sitegemei tutakua na mgogoro wowote zaidi ya sisi kukandamizwa.

Apart from that, sitegemei makubwa kutoka kwake maana kawa makamu miaka 10 ila sijaona lolote la maana alilofanya kwa nchi yake zaidi ya ufisadi na kushinda barabarani kupiga kampeni.
 
Nakumbuka mwaka jana Tanzania walimfungia anga kupita, sijui sasa itakuweje tena, ila haya mambo ni kichekesho sana.
 
Eti wajuzi wa mambo ya kikanda. Rais mteule wa Kenya ni mtu wa aina gani? Tanzania tutegemee nini kutoka kwake?
Tanzania haihitaji kutegemea hisani ya raisi yoyote wa nchi jirani.

Infact Tz ni nchi pekee inayoweza kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Congo DR, Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda, Comoro, Malawi, Zambia na Sudani ya kusini zote kwa pamoja na isiathirike pakubwa.

Tz ni nchi kubwa. Hakuna nchi nyingine yeyote kusini mwa jangwa la Sahara yenye uwezo huu.

Tz is the United State of Sub Sahara - Africa.
 
Tuko kwenye EAC na COMESA hayo mahusiano ni ya kimikataba, so hakuna cha kuogopa
 
Tanzania haihitaji kutegemea hisani ya raisi yoyote wa nchi jirani.
Infact Tz ni nchi pekee inayoweza kuiwekea vikwazo vya kiuchumu Congo Drc, Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda, Comoro, Malawi na Sudani ya kusini zote kwa pamoja na isiathirike pakubwa.
Tz ni nchi kubwa. Hakuna nchi nyingine yeyote kusini mwa jangwa la Sahara yenye uwezo huu...
Tz is the United State of Sub Sahara - Africa...
Kauli ya kijasiri sana hii. Uhalisia TZ masikini ni wengi sana
 
Dizaini ya Magufuli. Yaani wanyonge watapata raha. Sema matajiri wataisoma number. Kenya kwanza. Wachina wataisoma number. Ila najua atafanya kazi vizuri na mabeberu tofauti yake na Magufuli aliewachukia mabeberu. Na nje yeye atasafiri sana tena sana,tofauti na Magufuli.
 
Ni fisadi mwenye misimamo mikali asiye na uzoefu wa kidiplomasia. So tutegemee sera zenye mrengo wa kuipendelea Kenya meaning biashara za Tz huko Kenya zitaenda kufa asubuhi na mapema.

However kwa kuwa Rais wa Tanzania ni mpole Ina maana sie tutakua tunamuita Ruto mezani kulia lia "alegeze kamba". So sitegemei tutakua na mgogoro wowote zaidi ya sisi kukandamizwa.

Apart from that, sitegemei makubwa kutoka kwake maana kawa makamu miaka 10 ila sijaona lolote la maana alilofanya kwa nchi yake zaidi ya ufisadi na kushinda barabarani kupiga kampeni.
Makamu wa Raisi ana Excutive power? Hivi kwa nini mnakuwa wajinga kiwango hiki?
 
Ni mtu anayejiona anajua kila kitu. Sijui ni lini aliwahi kutembelea bongo. Zikianza zile propaganda za kiuchumi za mipakani kati yetu na wao sijui kitatokea nini chini ya huyu jamaa mwenye majidai
 
Tanzania haihitaji kutegemea hisani ya raisi yoyote wa nchi jirani.
Infact Tz ni nchi pekee inayoweza kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Congo DR, Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda, Comoro, Malawi, Zambia na Sudani ya kusini zote kwa pamoja na isiathirike pakubwa.
Tz ni nchi kubwa. Hakuna nchi nyingine yeyote kusini mwa jangwa la Sahara yenye uwezo huu...
Tz is the United State of Sub Sahara - Africa...
Tanzania Inanufaika ki vipi [ kimaendeleo/kiuchumi ] kupitia kutegemewa na hizo nchi ulizo zioanisha ?
 
Dizaini ya Magufuli. Yaani wanyonge watapata raha. Sema matajiri wataisoma number. Kenya kwanza. Wachina wataisoma number. Ila najua atafanya kazi vizuri na mabeberu tofauti yake na Magufuli aliewachukia mabeberu. Na nje yeye atasafiri sana tena sana,tofauti na Magufuli.
Wachina wataisoma namba katika nini ?
 
Back
Top Bottom