Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapikia kimpumu.Kwahiyo miaka yote Wakenya wanaangaika na mahindi ya Bongo hayo yake alikuwa akiyafanyaje?
haya ni maneno ya mtaani tuNasikia mahindi anayopata shambani kwake,ni mara 3 ya mahitaji ya Kenya,hivyo tusitarajie tena soko la mahindi Kenya
msamehe bure, ni mchanga wa siasa za Africa ya masharikiUnajua sababu ya Vita ya Uganda 1978/79
TrueTanzania haihitaji kutegemea hisani ya raisi yoyote wa nchi jirani.
Infact Tz ni nchi pekee inayoweza kuiwekea vikwazo vya kiuchumi Congo DR, Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda, Comoro, Malawi, Zambia na Sudani ya kusini zote kwa pamoja na isiathirike pakubwa.
Tz ni nchi kubwa. Hakuna nchi nyingine yeyote kusini mwa jangwa la Sahara yenye uwezo huu.
Tz is the United State of Sub Sahara - Africa.
Hahahahaaaa eti wezi wa hali ya juuNi fisadi wa hali ya juu, Kenya wanastahili maombi, wote na makamu wake ni wezi wa hali ya juu
Bwana Kitendawili aliyachukua...Kwahiyo miaka yote Wakenya wanaangaika na mahindi ya Bongo hayo yake alikuwa akiyafanyaje?
Wewe jamaa ni ajabu sana...Eti wajuzi wa mambo ya kikanda. Rais mteule wa Kenya ni mtu wa aina gani? Tanzania tutegemee nini kutoka kwake?
Ndiyo maana nimeita wajuvi wa mambo ya kikandaWewe jamaa ni ajabu sana...
Unauliza utegemee nini toka kwa mume/mke wa jirani yako ambaye ndiye tu kaoa/kaolewa badala ya ku - concentrate kutengeneza ndoa ya mume/mke wako..? Really..?