Rais mteule wa Kenya William Ruto ni mtu wa aina gani? Tanzania itegemee nini kutoka kwake?

Rais mteule wa Kenya William Ruto ni mtu wa aina gani? Tanzania itegemee nini kutoka kwake?

Kwahiyo miaka yote Wakenya wanaangaika na mahindi ya Bongo hayo yake alikuwa akiyafanyaje?

Rejea malalamiko waliyonayo baada ya kupungukiwa na mahindi toka Tz;

Kenya inategemea Tz kwa soko la bidhaa ghafi kama mahindi, nyanya, vitunguu, tangawizi, ng'ombe, pumba za mahindi, ngozi, chai then wakichakata na kusindika wanatuletea leather, packaged beef & sausage;

Tungekuwa na mipango sahihi tuwauzia final consumables goods badala ya kuendelea kuuza malighafi kwa Kenya.
 
Uongo
Dizaini ya Magufuli. Yaani wanyonge watapata raha. Sema matajiri wataisoma number. Kenya kwanza. Wachina wataisoma number. Ila najua atafanya kazi vizuri na mabeberu tofauti yake na Magufuli aliewachukia mabeberu. Na nje yeye atasafiri sana tena sana,tofauti na Magufuli.
 
Mnanitisha na huyo Ruto... Anapenda kusmile kweli hadi raha
 
Kampein zake aliwaponda sana wawekezaji wa kichina. Kenya kwanza. Ujue Ruto kura nyingi kazipata kwa mama ntilie, boda boda na wafanyabiashara ndogondogo.
Kura amepigiwa na wavenezuela akina josee carmago. Hao kina mama ntilie walipiga kwa uchache sana. By the way baada ya kuapishwa ziara yake ya kwanza anaanzia Mombasa
 
The bottom line is he can never ignore TZ, especially food, we are their food basket and now raw material for some of their factories.
Ujinga ni kufikiri kuwa wakenya wananunua mahindi Tz kwaajili ya wao kula. Wale ni biashara- wanapeleka Somalia, South Sudan na Ethiopia.
 
Kampein zake aliwaponda sana wawekezaji wa kichina. Kenya kwanza. Ujue Ruto kura nyingi kazipata kwa mama ntilie, boda boda na wafanyabiashara ndogondogo.

kwa kifupi alikua na ushawishi kwa watu wajinga
 
Sijajua chini yake ushirikiano kwenye Jumuia ya Afrika mashariki itakuwaje, maana huyu jama ajiwa ana hasira huwa achagui maneno, aliwahi kuongea vibaya kuhusu DRC mpaka balozi wa Drc akaitisha wanahabari kumlaani kwa kutoa maneno yanayotdhihaki sovereignty ya nchi njingine
Alisema wakenya wakakamate fursa. Kuwa wacongo wanakata tu viuno.
 
Hao unaowaita wajinga ndo wamemfanya awe Rais. Hope atawapigania. Maana akifanya sivyo ajue hatashinda tena uchaguzi ujao. P

kuruidhisha watu wajinga ni majanga kwa taifa lolote, kumbuka magufuli alivyoiharibu nchi kwa kuendekeza wamachinga.
 
Makamu wa Raisi ana Excutive power? Hivi kwa nini mnakuwa wajinga kiwango hiki?
Alipokua anasema awamu ya kwanza 2013-17 walifanya maendeleo sababu ya uwepo wake pale alikua na executive powers eeh?? Ila mkifeli mnajifichia kwenye executive powers!!

Ukiwa Naibu vikao vya Baraza la mawaziri unaingia so initiative zote anahusishwa how comes mumtoe kwenye equation?

Subiri mwaka uishe utakuja hapa kukiri he's worse than Kenyatta!!
 
Hao unaowaita wajinga ndo wamemfanya awe Rais. Hope atawapigania. Maana akifanya sivyo ajue hatashinda tena uchaguzi ujao. P
Uapisho tu unacost 400 B za kibongo, unadhani kuna maskini Gani atakumbukwa hapo?

Demokrasia ni nzuri nchi ikiwa na watu wanaojitambua.... Otherwise ni mlango wa wazi kwa mafisadi kupewa Urais kisa tu umaarufu.
 
Kampein zake aliwaponda sana wawekezaji wa kichina. Kenya kwanza. Ujue Ruto kura nyingi kazipata kwa mama ntilie, boda boda na wafanyabiashara ndogondogo.
Kenya haina hizo siasa, kashinda sababu alipata kura nyingi za Wakikuyu period!! Hata Odinga angekua Kabila kubwa kama waluhya hivi angekua Rais zamani sana.
 
Wajinga wanaongea bila facts. Wana jiliwaza na hadithi za kijiweni 🤣🤣.
 
kwa kifupi, vizuizi vingi Tz ilikuwa inapata katika bado zake na Ke, ni kutokana na yeye kwa sehemu kubwa!

sasa yeye ni Rais! sijajua ile issue ya Rostam itaishia vipi kule Mombasa ama atamtoaje!

Ngoja tuone! huenda focus ikabadilika pia!
Hapo ndio pakuzifukuzilia mbali kampuni za kikenya pia
 
Ujinga ni kufikiri kuwa wakenya wananunua mahindi Tz kwaajili ya wao kula. Wale ni biashara- wanapeleka Somalia, South Sudan na Ethiopia.
Whatever the reasons might be they buy food from here period.
 
Back
Top Bottom