Rais Mtoe Dotto Biteko ili lengo lenu litimie

Mbona enzi za Jiwe Mkuu wa mkoa wa waswahili alikua akipiga mikwara mawaziri mkiwa kimyaa,
 
Usiseme yule wa Iringa, sema Ally Happy!
 
Kuimba kupokelezana.. sasa toeni ushirikiano sio gubu..!
 
Tulia dawa iingie kwani kukaguliwa kama hamna tatizo wasiwasi unatoka wapi

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kuna wizara ndogo na kubwa hawana Hadhi Sawa. Watumishi wote wapo chini wizara yake hivyo hata watumish wa wizara ya madini ni wa kwake ana wajibu wa kuamua vyovyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…