Abdulhayy
Senior Member
- Oct 11, 2021
- 178
- 139
WanajisahaulishaNadhani haya ni marudio /mwendelezo tu. Bila shaka ulikuwepo wakati mkuu wa mkoa fulani alikuwa na nguvu sawa/zaidi ya makamu wa rais /waziri mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WanajisahaulishaNadhani haya ni marudio /mwendelezo tu. Bila shaka ulikuwepo wakati mkuu wa mkoa fulani alikuwa na nguvu sawa/zaidi ya makamu wa rais /waziri mkuu
Mbona enzi za Jiwe Mkuu wa mkoa wa waswahili alikua akipiga mikwara mawaziri mkiwa kimyaa,Ajabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!
Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team magufuli ili waweke mtu wao!
Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Sisi ndio tumeshikilia amani ya hii nchi
Usiseme yule wa Iringa, sema Ally Happy!Mkuu umeandika kwa uchungu sana, bila paragraph na bila nukta isipokuwa moja tu mwishoni mwa bandiko lako 😁😁.
Kwamba?
" ... haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania ...."
Umewasahau Sabaya na Kondakta walivyo kuwa wakitisha na kuamuru wote across the board? Mwulize Majaliwa kukupa mrejesho.
Yule aliyekuwa iringa si alikuwa anawakoromea hadi kina JK?
Ama kweli mu wepesi kusahau. Si mhamie Umoja party huko, ili mkadumishe kauli mbiu yenu ya "Huko Kazi Tu?"
Hiiiiii bagosha!
Kuimba kupokelezana.. sasa toeni ushirikiano sio gubu..!Ajabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!
Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team magufuli ili waweke mtu wao!
Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Usiseme yule wa Iringa,sema Ally Happy!
Watu wanashangaza sana povu lote kisa tu odds ziko against waoStyle hii ya utawala aliianzisha huyo unaemtetea na kumuabudu mlichekelea kwa sababu alikua upande sasa unakuja kulia lia humu.
utawala uliopita ulijaaa watu wa Mbeya Iringa.. Kaskazini..hasa taasisi nyeti..Zamu yenu imefika. Mlidhani ubaguzi utaishia kwa watu wa Mbeya na Kaskazini tu?
Bashite alikua na sauti kuliko hata Majaliwa[emoji16][emoji16] mambo ni yale yale.Nchi inaendeshwa kiukoo kabisa [emoji28] yani mkwe ana uwezo wa kumuamrisha Waziri fulani sababu power iko kwa mama mkwe[emoji28]
Tulia dawa iingie kwani kukaguliwa kama hamna tatizo wasiwasi unatoka wapiAjabu
Waziri wa utumishi kuagiza ukaguzi kwenye wizara nyingine!
Yaani mkwe wa Rais, anaagiza ukaguzi wizara ya madini ili wahalalishe kumtumbua Dotto ambae ni team Magufuli ili waweke mtu wao!
Sasa mtumbueni huyo kijana tuendelee na mambo mengine haijawahi kutokea waziri kumtishia au kumkagua waziri mwenzake ndio awamu hii tumeona maajabu ya Tanzania lakini hapana shaka mipango inajulikana ilikoanzia ionekane Dotto ana makosa ili aondokewe maana baada ya kuapishwa ulitamka kitalu C cha serikali na mkwe wako karudia kule kule hivo hakuna shaka twende kazi.
Mtafanya nini sasa nyie mangoshaHuku lake zone sisi tunawaangalia tu.
Mvua za masika zimekaribia muhamasishane mkalime Pamba tunataka pato la Taifa liongezekeSisi ndio tumeshikilia amani ya hii nchi
Alikua ametoka Khorimije Misungwi hukoMbona enzi za Jiwe Mkuu wa mkoa wa waswahili alikua akipiga mikwara mawaziri mkiwa kimyaa,
Kaskazini walitupiliwa mbali acha uongo.wakawa hawahemi hawapumui.utawala uliopita ulijaaa watu wa Mbeya Iringa.. Kaskazini..hasa taasisi nyeti..
Hawa ku.deal nao ni kuwapuuza na kuwaambia ndio hivyo tunataka lengo letu.Ni wapumbavu Sana hao jamaa.Ila na Ninyi mmezidi gubu aisee kama Mwijaku.