#COVID19 Rais Museveni: Mungu ana kazi nyingi, hawezi kuwa tu hapa Uganda akiwaangalia wajinga

#COVID19 Rais Museveni: Mungu ana kazi nyingi, hawezi kuwa tu hapa Uganda akiwaangalia wajinga

Huku kwetu Tanzania naona tiba asili zinashindikana kabisa,ila kua tetesi kua kuna dawa ya kienyeji ya kufukiza mnaitumia, hebu tupeni nasi walau ili tuendelee kupambania kwa pamoja maana sisi ni majirani zenu, mkificha jua mtapata tabu na mipaka yenu kufunguliwa na kushindwa kua huru kwa nchi za jumuia ya africa mashariki hasa katika nyanja za kiuchumi.

Ahsante
 
Ni kweli kwa Mungu hakuna kazi ngumu ila Mungu huwa hajishughulishi na wajinga wanaomjaribu. Ndio maana maandiko ya Biblia yanasema usimjaribu Mungu wako.
Ibilisi akamchukua mpaka Yerusalemu, kwenye mnara wa hekalu, akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, jitupe chini 10 kwa maana imeandikwa:‘Atawaamuru malaika wake wakulinde,’

11 na tena,‘Watakuchukua mikononi mwao,usije ukajikwaa mguu kwenye jiwe.’”12Lakini Yesu akamjibu, “Imeandikwa: ‘Usimjaribu Bwana Mungu wako.’”
 
Reversal of burden of proof! Mimi nikisema kuwa Mungu yupo na nikakupa facts za uthibitisho wangu lakini wewe ukazikataa, unayetakiwa kuthibitisha the opposite (kuthibitisha kutokuwepo Mungu) unakuwa ni wewe (because it's your assertion) kwa ku-supply facts ambazo zita-refute zile za kwangu. Kwa hiyo unayetakiwa kuthibitisha kuwa Mungu hayupo, ni wewe,..., let's say hata kwa kusema tu kuwa kama yupo basi akutandike na corona, as simple as that.

Hatuwezi kuendelea kuwa na debate hiyo hiyo miaka karibu 20 sasa, mwishowe tuatonekana kuwa kama idiots
Facts za uthibitisho kwamba Mungu yupo umezitoa wapi?
 
Maombi au tufate wataalam wa afya wanavoshauri Covid19

IMG_20200422_190557.jpeg

Its not over until its over...[emoji769]
 
Nimekuja kupata maoni ya wana JF juu ya kauli ya KUJIFUKIZA
 
View attachment 1425361

Cha ajabu kuna Watu wamefikiri huu ujumbe ameuelekeza Tanzania

View attachment 1425369
Mh. Rais Mseven amesema hivi:.."he can not just be here in Uganda looking after idiots". Anawaeleza wananchi wake anaoona pengine wanafanya mzaha na hili swala la Corona, wasije wakasababisha madhara halafu vifo vikatokea wakati Uganda bado haijapata kifo hata kimoja hadi kufikia muda huu.

Sema kuna watu wanapenda Tanzania ifikwe madhara zaidi, na wengine wamo kwenye nyumba za Ibada. Kwa hiyo hawafurahi sana rais anaposisitiza maombi, na inapotokea kitu kimekwenda katika namna ambayo ni tofati na wa-Tanzania wenye nia njema.

Wanavyotamani kiende, basi wananaanza kurusha madongo ya kipumbavu. Uko sahahi Mh. Rais Museveni hawezi kuongea kitu negative kwa nchi yake Tanzania ambayo yeye ni kama raia wake!

Umeusoma uzi wangu huu hapa ambao bado unaendelea?

Mkasa wa kipekee kuhusu pilikapilika za kujikinga na COVID-19 - JamiiForums
 
Hata Jiwe amegundua Mungu hamsikilizi, kaamua kuwashauri watu WAJIFUKIZE
 
Back
Top Bottom