#COVID19 Rais Museveni: Mungu ana kazi nyingi, hawezi kuwa tu hapa Uganda akiwaangalia wajinga

#COVID19 Rais Museveni: Mungu ana kazi nyingi, hawezi kuwa tu hapa Uganda akiwaangalia wajinga

Kuna watu watu wanamkejeli M7 kwa kudhani kapingana na Mungu; msikilizeni vizuri, kasema, "...God has helped us already, no death in our country..." but nimependa pale aliposema, "God cannot be busy for the idiots" Wacha Mungu wenzangu, hapo kakosea nini?

Mbona mi naona yupo sawa; yaani njia za kujikinga, zajulikana halafu unazipuuza makusudi ukitegemea Mungu kukulinda, kweli? M7 yupo sahihi, tusidanganyane.
 
Mabibi na mabwana katika Mathayo 24:14 imeandikwa:

"And this gospel of the kingdom shall be preached in the whole world for a witness to all the nations, and then the end shall come."

Ikibidi hata mawe na miti yatasema.

Hapa chini Museveni anazungumza nasi kupitia kwa waganda:

IMG_20210220_145427_137.jpg


Eeh mola wetu utujalie mioyo ya subira na ukaifanye mioyo yetu kuwa laini kama ya nyama hata kama ilikuwa migumu kama ya jiwe.

Eeh mola wetu ukazisikie Dua zetu.
 
Kuna watu huwa hawajielewi....
Mkuu hii Id yako imepotea sana hapa jukwaani, isije ikawa UVIKO imefanya yake. Kama upo hai like tu hata hii post.
 
Mungu kashindwa kujigawa awalinde viumbe wake wote kwa wakati mmoja?

Kashindwa kazi hiyo?

Huyo Mungu yupo kweli au ni chaka la uzembe tu?
 
Haya ni matusi ya reja reja sasa [emoji30][emoji30]
 
Kwa sisi wasabato tunaamini ukidhihakiwa sana jua kuwa Mungu yupo pamoja na wewe na lazima aoneshe ukuu wake kwako
kuna kudhiakiwa kwa bahati mbaya. yaani watu wanakuonea wivu. Then luna kudhihakiwa kwa makusufi kabisa... yaani ww ndio umetaka kwa matendo yako.
 
" Mwenyezi Mungu ana Kazi zake nyingi tu na Kubwa hapa duniani na huko Mbinguni aliko hivyo tuache Kumchosha kwa Upumbavu wetu wa kutokuwa makini Kujilinda na Corona au hata Kufuata Maelekezo ya WHO.

Mwenyezi Mungu huwa hana muda wa Kipuuzi kusikiliza na kupokea Dua za Wanafiki hayawani wa Kiimani waliojazana katika Nyumba za Ibada ", alisema Rais Museveni wa Uganda.
 
Back
Top Bottom