Rais Mwinyi msimamishe kazi DC wa mjini unguja , kukaa kimya ni kuidhinisha kauli yake ya kibaguzi

Rais Mwinyi msimamishe kazi DC wa mjini unguja , kukaa kimya ni kuidhinisha kauli yake ya kibaguzi

DC wa Wilaya ya Mjini Unguja amepiga marufuku kwa watu wa jamii ya kimasai kutembea na rungu na sime akiviita kama silaha.


View: https://youtu.be/W-xkQJRDO0c?si=AFIG5omTxVoCeNyZ

Kauli yake si tu inavunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali inakiuka mikataba mbali mbali ya kimataifa ambayo Tanzania imeiidhinisha inayolinda haki ya raia kushiriki katika mambo ya kitamaduni.

Rejea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13.

Rejea, Universal declaration of Human Rights, 1948.

Rejea, International Covenant on Economic, Social and Cultural rights.

Sheria zote hizo zinaipa serikali wajibu wa kulinda na kutengeneza mazingira kwa raia wake kuishi wakiwa na uhuru wa kufuata tamaduni zao.

Rungu na sime ni moja wapo ya utambulisho wa tamaduni ya wamasai inayokwenda pamoja na vazi la Rubega.

Kuwapiga marufuku wamasai kufuata tamaduni zao si tu kwenda kinyume na haki za binadamu bali ni kukiuka misingi yote iliyowekwa na jamii za kistaarabu katika kuhakikisha kuwa binadamu anafurahia uwepo wake duniani bila kunyanyapaliwa na mwenzake.

Kauli hii ya DC si tu ya kibaguzi bali inahatarisha ustawi wa Muungano na amani katika nchi.

Ni jambo la kukemewa na kila mwenye nafasi ya kufanya hivyo.

Nakuomba Rais Mwinyi usiache kumchukulia hatua DC huyu au la itatafsiriwa kuwa haya ni maagizo yako na itaingia katika historia ya Taifa kuwa katika utawala wako uliwahi kukandamiza haki za wengine.

Usione aibu kuchukua hatua.

Tamaduni nyingine kama hii ya Maa kutembea na silaha mijini ni ujima na ujinga, wewe kinachokusumbua ni chuki ya kijinga ya udini uliyo ionyesha mara chungu nzima, tafuta pengine pa kutapikia nyongo.
Bonkers
 
sio wahalifu na wamedunda mtu huko zenji??
tena kwa kuwachangia na marungu yao.
Wewe ni wa hovyo tuu! Aliyedunda mtu ndo akamatwe,

ujambazi hauna kabila bhana!

Yaani itokee Mmakonde mmoja kadunda mtu hapo Zanzibar basi wahusishwe wote?

Huo ni ubaguzi na ukabila tu hapo zenji
 
DC wa Wilaya ya Mjini Unguja amepiga marufuku kwa watu wa jamii ya kimasai kutembea na rungu na sime akiviita kama silaha.


View: https://youtu.be/W-xkQJRDO0c?si=AFIG5omTxVoCeNyZ

Kauli yake si tu inavunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali inakiuka mikataba mbali mbali ya kimataifa ambayo Tanzania imeiidhinisha inayolinda haki ya raia kushiriki katika mambo ya kitamaduni.

Rejea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13.

Rejea, Universal declaration of Human Rights, 1948.

Rejea, International Covenant on Economic, Social and Cultural rights.

Sheria zote hizo zinaipa serikali wajibu wa kulinda na kutengeneza mazingira kwa raia wake kuishi wakiwa na uhuru wa kufuata tamaduni zao.

Rungu na sime ni moja wapo ya utambulisho wa tamaduni ya wamasai inayokwenda pamoja na vazi la Rubega.

Kuwapiga marufuku wamasai kufuata tamaduni zao si tu kwenda kinyume na haki za binadamu bali ni kukiuka misingi yote iliyowekwa na jamii za kistaarabu katika kuhakikisha kuwa binadamu anafurahia uwepo wake duniani bila kunyanyapaliwa na mwenzake.

Kauli hii ya DC si tu ya kibaguzi bali inahatarisha ustawi wa Muungano na amani katika nchi.

Ni jambo la kukemewa na kila mwenye nafasi ya kufanya hivyo.

Nakuomba Rais Mwinyi usiache kumchukulia hatua DC huyu au la itatafsiriwa kuwa haya ni maagizo yako na itaingia katika historia ya Taifa kuwa katika utawala wako uliwahi kukandamiza haki za wengine.

Usione aibu kuchukua hatua.

1. Kwenye kurushiwa mawe ile gari ya manispaa ya Mjini Magharibi kwenye ile video wanaoneka watu waliovaa nguo za kawaida na walio vaa nguo za Kimasai, je DC amewachukulia hatua zipi wale waliovaa nguo za kawaida?

2. DC ana uhakika gani waliooneka kwenye ile video ni jamii ya wamasai je raia wa tamaduni nyingine hawawezi wakavaa mavazi ya wamasai kisha wakafanya yaliyofanyika?
3. Kwenye ile video yule mfanyakazi wa Manispaa anaonekana kupigwa na raia wa kawaida kwa Nazi mgongo na alipoanguka mtu aliyevaa mavazi ya jamii ya wamasai akampiga na rungu km sikosei kwenye kalio akatokea mtu mwingine aliyevaa kimasai akamzuia mwenzake, DC anasemaje kuhusu huyo mmoja kumzuia mwenzake?
4. Manispaa wa Mjini Magharibi imezoeleka kubeba mali za wafanya biashara kinguvu na kuzirushia kwenye magari yao na mara nyingi mali za wamachinga hao huharibika na nyingine kupotea, je DC analiona hilo ni sahihi?
Je hamna njia nyingine watu wake manispaa wanaweza kutumia kuwataka wafanyabiasha kufika ofisi kwao bila ya kuwavunjia utu wao na uharibifu wa mali zao?
 
Mnawadekeza sana hao wajinga, dc yuko sawa, kama sheria haziruhusu kutembea na siraha basi watu wote wasitembee na siraha.

Tamaduni haziko juu ya sheria, huu ujinga wameufanya Kenya kwa wapokot, leo wale jamaa wanamiliki bunduki na wamekuwa tishio.

Hata hao wazungu wanaotaka tuendelee kuishi kijingajinga ili wao wakija wafurahi na kutupiga picha hawawezi Kukubali hao masai wenu watembee na sime wakiwa ughaibuni.
 
Mnawadekeza sana hao wajinga, dc yuko sawa, kama sheria haziruhusu kutembea na siraha basi watu wote wasitembee na siraha.

Tamaduni haziko juu ya sheria, huu ujinga wameufanya Kenya kwa wapokot, leo wale jamaa wanamiliki bunduki na wamekuwa tishio.

Hata hao wazungu wanaotaka tuendelee kuishi kijingajinga ili wao wakija wafurahi na kutupiga picha hawawezi Kukubali hao masai wenu watembee na sime wakiwa ughaibuni.
Wewe ndio mjinga usietambua haki za wengine.

Huwezi adhibu jamii nzima kwa kuhutafiana na mtu mmoja.

Kwanini asichukuliwe hatua mtu mmoja kwa matendo yake liadhibiwe kabila zima.

Hizo ni chuki za wazi na ubaguzi.

Kama Mwinyi hatamchukulia hatua huyu DC tutahitimisha kuwa jambo hili la kibaguzi lina baraka zake.
 
Mimi kwa kiasi fulani sioni shida kwa hiyo amri ya DC, hasa linapokuja suala la uhakika wa usalama kwa kila mwananchi.

Hakuna uhuru usio na mipaka, hivyo hata kama ni utamaduni, basi izingatiwe mipaka ya kutofanya wengine kuishi kwa hofu.

Wajua kisu kikiwa jikoni huwa ni moja ya vitendea kazi, lakini kisu hichohicho kikiwa sebuleni au chumbani huitwa silaha.

Kila jambo na mahali pake na wakati wake. Wamasai waache sime na marungu nyumbani, waingie mtaani na shuka & shanga zao, xinatosha.

Ova
 
Mimi kwa kiasi fulani sioni shida kwa hiyo amri ya DC, hasa linapokuja suala la uhakika wa usalama kwa kila mwananchi.

Hakuna uhuru usio na mipaka, hivyo hata kama ni utamaduni, basi izingatiwe mipaka ya kutofanya wengine kuishi kwa hofu.

Wajua kisu kikiwa jikoni huwa ni moja ya vitendea kazi, lakini kisu hichohicho kikiwa sebuleni au chumbani huitwa silaha.

Kila jambo na mahali pake na wakati wake. Wamasai waache sime na marungu nyumbani, waingie mtaani na shuka & shanga zao, xinatosha.

Ova
Kama kuna kosa limefanyika si aadhibiwe aliyefanya??

Kwanini kuadhibu jamii nzima kwa maelfu ya watu.

Au wewe unaona sawa jamii kuhusishwa na matendo ya mtu mmoja.
 
Kama kuna kosa limefanyika si aadhibiwe aliyefanya??

Kwanini kuadhibu jamii nzima kwa maelfu ya watu.

Au wewe unaona sawa jamii kuhusishwa na matendo ya mtu mmoja.
Kitu kimefabywa hapo ni kudhibiti mwanya wa kufanyika hilo kosa. Kwa kuwa madhara yake ni makubwa.

Huwezi kukaa kusubiri mtu augue ili umtibie wakati una uwezo wa kuzuia asiugue kabisa. Sime zibaki nyumbani.

Ova
 
Vipi akienda airport anaweza kuruhusiwa kupanda ndege akiwa na sime??

Tusiwaendekeze sana, ndo yaleyale ya magu na wamachinga.
Ndiyo, ataruhusiwa. Kama wenye bastola/bunduki tunaruhusiwa iweje kwa wenye sime?
 
Hivi hiyo Wilaya ni sawa na Kata ya Daraja 2 au mtaa wa Oltrumet !.
Mbunge wa Jimbo la Zanzibar anawapiga kura 2,600. Diwani wa Magomeni ana Wapiga kura 30,000

Hiyo Wilaya ya DC Msaraka ni kuanzia Mianzini hadi Sheikh Amri Abed.
 
Sasa sime ya nini ?mjini?

Sime, Rungu na Lubega ni sehemu ya Vazi na Utamaduni wa Wamasai
Ni sawa na Mzanzibar anayevaa kanzu, koti, baraghashia na Kobazi.
Ni sawa na Wazanzibar wanaovaa kanzu nadhifu lakini hawana bukta au chupi. Ni tamaduni tu

Wamasai wame uenzi utamaduni huo kwa karne, kuwakataza eti wavae T-Shirt na Jeans kama anavyoshangilia DC Msaraka ni dharau , dhalili na kutoheshimu Watanzania. Ni ubaguzi wa hali ya Juu

Tunaishi na Wamasai wakiwa na Lubega, Sime na Rungu zao wala hatuwahi kuhisi uvunjifu wa amani.
Wamasai wana nidhamu sana hata matumizi ya hizo Sime na Rungu yana taratibu zake si ovyo ovyo kama anavyosema DC Msaraka.

Huu ubaguzi utawagharimu sana watu, Rais Mwinyi toka ukemee . Kimya chako na cha Rais SSH ni kama mnabariki ubaguzi. Siku ukipamba moto itawapa tabu kuuzima. Wamasai hawazidi 200 Zanzibar yote, Nusu ya Wazanzibar wanaishi huku kwa Wamasai. Tafakari
 
DC wa Wilaya ya Mjini Unguja amepiga marufuku kwa watu wa jamii ya kimasai kutembea na rungu na sime akiviita kama silaha.


View: https://youtu.be/W-xkQJRDO0c?si=AFIG5omTxVoCeNyZ

Kauli yake si tu inavunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali inakiuka mikataba mbali mbali ya kimataifa ambayo Tanzania imeiidhinisha inayolinda haki ya raia kushiriki katika mambo ya kitamaduni.

Rejea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13.

Rejea, Universal declaration of Human Rights, 1948.

Rejea, International Covenant on Economic, Social and Cultural rights.

Sheria zote hizo zinaipa serikali wajibu wa kulinda na kutengeneza mazingira kwa raia wake kuishi wakiwa na uhuru wa kufuata tamaduni zao.

Rungu na sime ni moja wapo ya utambulisho wa tamaduni ya wamasai inayokwenda pamoja na vazi la Rubega.

Kuwapiga marufuku wamasai kufuata tamaduni zao si tu kwenda kinyume na haki za binadamu bali ni kukiuka misingi yote iliyowekwa na jamii za kistaarabu katika kuhakikisha kuwa binadamu anafurahia uwepo wake duniani bila kunyanyapaliwa na mwenzake.

Kauli hii ya DC si tu ya kibaguzi bali inahatarisha ustawi wa Muungano na amani katika nchi.

Ni jambo la kukemewa na kila mwenye nafasi ya kufanya hivyo.

Nakuomba Rais Mwinyi usiache kumchukulia hatua DC huyu au la itatafsiriwa kuwa haya ni maagizo yako na itaingia katika historia ya Taifa kuwa katika utawala wako uliwahi kukandamiza haki za wengine.

Usione aibu kuchukua hatua.

Sime wabebe wakiwa porini, mjini ni silaha haramu. Sime siyo utamaduni, walilazimika kutembea na sime kwasababu ya mazingira ya kule porini. Na kwanini walitumia sime wakati wanagombana na wale viongozi wa serikali? Piga marufuku huo upumbavu wa kubeba simu, vinginevyo warudi na sime zao kule porini kwao. Hayo majinga hayastaarabikagi.
 
Mimi kwa kiasi fulani sioni shida kwa hiyo amri ya DC, hasa linapokuja suala la uhakika wa usalama kwa kila mwananchi.

Hakuna uhuru usio na mipaka, hivyo hata kama ni utamaduni, basi izingatiwe mipaka ya kutofanya wengine kuishi kwa hofu.

Wajua kisu kikiwa jikoni huwa ni moja ya vitendea kazi, lakini kisu hichohicho kikiwa sebuleni au chumbani huitwa silaha.

Kila jambo na mahali pake na wakati wake. Wamasai waache sime na marungu nyumbani, waingie mtaani na shuka & shanga zao, xinatosha.

Ova
Unajua kisu kwenye mfupa? Ndio hiki ninachokisoma hapa.

This coming from you, imeniuma kuliko! Ni maoni yako na nayaheshimu.
 
Back
Top Bottom