Rais Mwinyi msimamishe kazi DC wa mjini unguja , kukaa kimya ni kuidhinisha kauli yake ya kibaguzi

Rais Mwinyi msimamishe kazi DC wa mjini unguja , kukaa kimya ni kuidhinisha kauli yake ya kibaguzi

Kitu kimefabywa hapo ni kudhibiti mwanya wa kufanyika hilo kosa. Kwa kuwa madhara yake ni makubwa.

Huwezi kukaa kusubiri mtu augue ili umtibie wakati una uwezo wa kuzuia asiugue kabisa. Sime zibaki nyumbani.

Ova
B… wewe tokea unazaliwa si umekuwa unawaona Wamasai na sime zao? Huo mwanya wa hilo kosa ni upi ambalo halijawahi kufanyika miaka yote hii?

Ni lini umewahi kuona Masai anatoa sime yake kujeruhi watu kiholela? Kama ndivyo, kwanini watu wanaruhusiwa kutembea na deadly weapons ambazo mtu huombi maji?Kama hoja ni kuziba mwaya wa kosa kufanyika.

Kwani awamu hii Masai tumewakosea nini? Tamaduni zetu zinavurugwa kila upande. Tumehamishwa kwenye makazi yetu ya asili, na sasa tunavamiwa kwenye utamaduni wetu wa asili maungoni.

Na hii trend haitoishia hapo, hata mavazi nayo yatapigwa marufuku at this rate! It’s a high time huu uonevu ukome, kama na sisi ni wakimbizi mseme pia.
 
Wewe ndio mjinga usietambua haki za wengine.

Huwezi adhibu jamii nzima kwa kuhutafiana na mtu mmoja.

Kwanini asichukuliwe hatua mtu mmoja kwa matendo yake liadhibiwe kabila zima.

Hizo ni chuki za wazi na ubaguzi.

Kama Mwinyi hatamchukulia hatua huyu DC tutahitimisha kuwa jambo hili la kibaguzi lina baraka zake.
Tamaduni za Masai ziko juu ya sheria? Wao ni kina nani watembee na sime alafu wengine wakatazwe? Au wao wanasheria zao tofauti hapa nchini?

Kulea ujinga tu usio na faida yoyote, wazungu wanatudanganya ili tuishi kijingajinga wakati wao wanasheria kali kwao na hakuna tamaduni iliyo juu ya sheria.

Leo hii msukuma asipompeleka mtoto shule akamuacha achunge ng'ombe anachukuliwa hatua ila Masai asipompeleka mwanae shule hakuna anaehoji. Endeleeni kuwafanya vivutio vya wazungu hao wajinga wasiojitambua.
 
sio wahalifu na wamedunda mtu huko zenji??
tena kwa kuwachangia na marungu yao.
Walichokozwa. Masai mpaka agombane ujue kachokozwa na atachofanya atatumia fimbo kujihami na sio sime.. na kama ana kosa atakubali. Ingekuwa hatari sana Arusha MAANA wangeuwa watu, lkn Masai Hana madhara.. wanamwonea wivu anatumia akili yake kunufaika na utalii.. hiko ndo DC na wenzie wanaleta siasa
 
Kwani Zanzibar si nchi? Sheria hapa vipi?
 
B… wewe tokea unazaliwa si umekuwa unawaona Wamasai na sime zao? Huo mwanya wa hilo kosa ni upi ambalo halijawahi kufanyika miaka yote hii?

Ni lini umewahi kuona Masai anatoa sime yake kujeruhi watu kiholela? Kama ndivyo, kwanini watu wanaruhusiwa kutembea na deadly weapons ambazo mtu huombi maji?Kama hoja ni kuziba mwaya wa kosa kufanyika.

Kwani awamu hii Masai tumewakosea nini? Tamaduni zetu zinavurugwa kila upande. Tumehamishwa kwenye makazi yetu ya asili, na sasa tunavamiwa kwenye utamaduni wetu wa asili maungoni.

Na hii trend haitoishia hapo, hata mavazi nayo yatapigwa marufuku at this rate! It’s a high time huu uonevu ukome, kama na sisi ni wakimbizi mseme pia.
Hapa kuna hoja kubwa sana. Karne na miongo yote tumewaona Wamasai wakiwa na Lubega, Sime na Rungu.
Noti ya kwanza ya Tsh 100 ilikuwa na Mmasai akiwa na vitu hivyo

Katika miji kama Arusha au Mwanza n.k. Wapo Wamasai na hatujasikia raia yoyote akilalamika usalama wake.
Wamasai ni Kabila lenye nidhamu sana ya maisha, Sime, Rungu zinatumika kwa heshima ndiyo maana huku Tanganyika hatuna wasi wasi wala shida yoyote

Ikiwa Sime ni silaha, mbona kule Zanzibar nimeona wauza madafu wakiwa na visu kama Sime?

DC anashangilia eti Wamasai waamevaa T-shirt na Jeans, kwa maana kwamba 'wamestaarabika' kwa mujibu wa Wazanzibar. Huu ni udhalilishaji mkubwa na kutweza utamaduni wao. Hili ni jambo baya sana

Lakini pia tunajiuliza ikiwa Wamasai ni Watanzania kwanini kuna sheria zinazowatawala wakiwa Zanzibar tofauti na wakiwa Tanganyika! Huu ubaguzi utafika mahali unagharimu watu.

Wamasai wapo wangapi Zanzibar kuharibu utamaduni wao? Wazanzibar wapo wangapi Tanganyika!

Ipo siku Wazanzibar wataangaliwa kwa jicho la Uzanzibar na si utanzania.

Wataitwa na kutambuliwa kama Wazanzibar huko maofisini na mshuleni n.k., na itawagharimu! itawagharimu kwasababu mbegu ya ubaguzi waliyopanda na inayolindwa na viongozi haitwaacha salama! itawagharimu

Hakuna utetezi wa DC, Rais SSH na Rais Mwinyi kemeeni uhuni na ubaguzi huu.
Mkikaa kimya mtulie tuli! muache Watanganyika waseme ya moyoni
 
DC wa Wilaya ya Mjini Unguja amepiga marufuku kwa watu wa jamii ya kimasai kutembea na rungu na sime akiviita kama silaha.


View: https://youtu.be/W-xkQJRDO0c?si=AFIG5omTxVoCeNyZ

Kauli yake si tu inavunja katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali inakiuka mikataba mbali mbali ya kimataifa ambayo Tanzania imeiidhinisha inayolinda haki ya raia kushiriki katika mambo ya kitamaduni.

Rejea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 13.

Rejea, Universal declaration of Human Rights, 1948.

Rejea, International Covenant on Economic, Social and Cultural rights.

Sheria zote hizo zinaipa serikali wajibu wa kulinda na kutengeneza mazingira kwa raia wake kuishi wakiwa na uhuru wa kufuata tamaduni zao.

Rungu na sime ni moja wapo ya utambulisho wa tamaduni ya wamasai inayokwenda pamoja na vazi la Rubega.

Kuwapiga marufuku wamasai kufuata tamaduni zao si tu kwenda kinyume na haki za binadamu bali ni kukiuka misingi yote iliyowekwa na jamii za kistaarabu katika kuhakikisha kuwa binadamu anafurahia uwepo wake duniani bila kunyanyapaliwa na mwenzake.

Kauli hii ya DC si tu ya kibaguzi bali inahatarisha ustawi wa Muungano na amani katika nchi.

Ni jambo la kukemewa na kila mwenye nafasi ya kufanya hivyo.

Nakuomba Rais Mwinyi usiache kumchukulia hatua DC huyu au la itatafsiriwa kuwa haya ni maagizo yako na itaingia katika historia ya Taifa kuwa katika utawala wako uliwahi kukandamiza haki za wengine.

Usione aibu kuchukua hatua.

Kwa hiyo Rais Mwinyi ndio afurahie Wamasai kupiga watu virungu?
 
DC amechemsha.....aneamua kwa jazba sanaaa amekiuka katiba na sheria zake
 
Wewe ndio mjinga usietambua haki za wengine.

Huwezi adhibu jamii nzima kwa kuhutafiana na mtu mmoja.

Kwanini asichukuliwe hatua mtu mmoja kwa matendo yake liadhibiwe kabila zima.

Hizo ni chuki za wazi na ubaguzi.

Kama Mwinyi hatamchukulia hatua huyu DC tutahitimisha kuwa jambo hili la kibaguzi lina baraka zake.

Sheria ya Zanzibar haijambagua mmasai, raia yeyote haruhusiwi kutembea na silaha. Zanzibar hata bobore la kuwindia nyani shambani kwako huruhusiwi kumiliki, hata silaha ya moto ya kujilinda wewe mwenyewe na familia yako huruhusiwi.

Sheria zao ziko wazi, ni haki yao kuzilinda, asieweza kuzifuata kwa sababu ya utamaduni wake hajalazimishwa kuishi Zanzibar, akaendeleze utamaduni wake sehemu anaporuhusiwa.
 
Vipi akienda airport anaweza kuruhusiwa kupanda ndege akiwa na sime??

Tusiwaendekeze sana, ndo yaleyale ya magu na wamachinga.
Na wewe acha argument za kijinga. Unalinganishaje na airport ambako Sheria zake haziruhusu hata mafuta ya ngozi zaidi ya 100gm/mls. Huko micheweni na mchamba wima Nako ni airport?
 
Sheria ya Zanzibar haijambagua mmasai, raia yeyote haruhusiwi kutembea na silaha. Zanzibar hata bobore la kuwindia nyani shambani kwako huruhusiwi kumiliki, hata silaha ya moto ya kujilinda wewe mwenyewe na familia yako huruhusiwi.

Sheria zao ziko wazi, ni haki yao kuzilinda, asieweza kuzifuata kwa sababu ya utamaduni wake hajalazimishwa kuishi Zanzibar, akaendeleze utamaduni wake sehemu anaporuhusi

Tamaduni nyingine kama hii ya Maa kutembea na silaha mijini ni ujima na ujinga, wewe kinachokusumbua ni chuki ya kijinga ya udini uliyo ionyesha mara chungu nzima, tafuta pengine pa kutapikia nyongo.
Bonkers
Wewe Hayo makanzu unayaona ndo ustaarabu? Huo nao ni ujima b'se yamevaliwa tangu miaka ya nyuma zama za mawe na Bado unayang'ang'ani ati tu ni vile yanavaliwa na waarabu ambao Kwa ujima na ujinga wako unawaona viumbe wa daraja ya juu Kwa kivuli Cha Dini ya kikoloni.
Sheria ya Zanzibar haijambagua mmasai, raia yeyote haruhusiwi kutembea na silaha. Zanzibar hata bobore la kuwindia nyani shambani kwako huruhusiwi kumiliki, hata silaha ya moto ya kujilinda wewe mwenyewe na familia yako huruhusiwi.

Sheria zao ziko wazi, ni haki yao kuzilinda, asieweza kuzifuata kwa sababu ya utamaduni wake hajalazimishwa kuishi Zanzibar, akaendeleze utamaduni wake sehemu anaporuhusiwa.
 
Hawa ndiyo wasomi wetu na viongozi wetu wamesoma lakini hawazijui jamii zinazo.wazunguka

Niviongozi lakini hawatambui Mira na desturi za watu wao wakati kutunza na kurinda Mira na desturi zao no jukumu lao

Usishangae kesho wakisema marufuku ngoma za asiri kupigwa mjini
Af utaskia wanajiita wasomi😂😂😂
 
Wanachukia Mila na Tamaduni za Kiafrika na kuzikumbatia za Mila za Kiarabu na Kishirazi IRAN🤔

Brain washed.
 
Kwanini bungeni hawachukui sime?kama kazi yao kupigia watu wanyanganywe tu
portait-omani-man-nizwa-oman-may-traditional-outfit-wearing-khanjar-traditional-dagger-belt-73...jpg

Acha kuziabudu Mila za Kiarabu.Jamshid bado anakutawala kichwani?
 
Back
Top Bottom