Rais Mwinyi, tengua Amri haramu ya kwamba Wamasai hawaruhusiwi kutembea na fimbo na Sime Zanzibar. Inahatarisha Muungano!

Acha kutuchafua, nchi hii hatuna 'mkristo' mjinga wa kushindwa kutambua kuwa, kanzu pia ni vazi la watu wa pwani/ Waislamu huku Tanganyika. unataka kutuambia akina Kikwete, january makamba, Kassim majaliwa na wengine walikuja kutoka zanzibar?
Dada angu hii mada huiwezi wewe kaa pembeni
 
kwanza kabisa mimi ni Msukuma, na pili hakina masaid alie lazimishwa kwenda ZNZ, wameenda kwa uamuzi wao. Na kama umefika ZNZ ndio utaelewa kuwa hawa MAsai ni kero. Sasa kama imekuuma sansa basi wapeke huko kwenu Moshi ukawape kazi
 

Wakiendaga Europe hawatembei na rungu wala sime
 
Hawatakiwi Ngorongoro hawatakiwi Znz baghosha!
 
Wamasai wanatembea na vifimbo zao kwa sababu ya kuchunga ngombe zao. Jee zanzibar huwa wanachunga ngombe? Acheni hoja za kitoto. Mambo yanabadilika.

Na hawa ma Bwana zako wanawinda nini?

Acheni kuwasimanga Wamasai wakati huohuo wakivaa wengine mnasema ni Suna takatifu ya Mtume.

Sime na Rungu la Mmasai ni Ceremonial.
 
Kila mtu ana haki ya kikatiba ya kujilinda (right to bear/ carry arms). Iwe rungu, panga au bunduki. Wamasai wanatumia haki yao kikatiba. Wasiguswe.
 

Tippu Tip amevaa Jambiya kiunoni kwanini hamkumkataza wakati anawaleta kutoka Kindu na Ujiji?
 
Naunga mkono hoja
 
Hii nchi hakuna mwenye kwao wewe unaruhusiwa kuish popote kwa utamaduni wako. Nyie ndio wale waafrica mnaoamini ukivaa kizungu umeendelea.
Heshimu mamlaka huwezi kuwa juu ya mamlaka na ukajiendea tu kipuuzi, wapo ndani wamasai tisa mpaka muda huu kwa ujinga huo wa kudhani sime ndio kila kitu.
 
Watanganyika tuna upole uliochanganya mpaka kufikia kilele cha ukilaza.

mfano:kwa ilo tukio la masai na polisi wa Zanzibar raia wa tz wangekua ndio raia wa South,Nigeria n,k wazanzibari wangechezea kichapo huku bara mpaka huo muungano ungejuta.
Tusingeweza! ikiwa sisi wenyewe tunashindwa hata kutofautisha nani 'mtanganyika' nani 'mzanzibari' tungeweza kweli bila ya kusababisha mapigano ya wenyewe kwa wenyewe?

Baada ya miaka zaidi ya 60 ya uhuru hadi leo wapo wanaomini waisilamu wote, watu weupe wote, watu wa pwani wote waliopo Tanganyika ni Wazanzibari na kuna mtoa maoni mwenzetu mmoja humu anaeharibu majina ya watu anajiita 'Benjamin Neyanyahu' amekwenda mbali zaidi kwa kusema hata wanaokula 'supu ya pweza' wote ni wazanzibari, hivi kweli tunaweza kuwa na 'united Tanganyika' dhidi ya wazanzibari?
 
View attachment 2890769View attachment 2890770
Na hawa ma Bwana zako wanawinda nini?

Acheni kuwasimanga Wamasai wakati huohuo wakivaa wengine mnasema ni Suna takatifu ya Mtume.

Sime na Rungu la Mmasai ni Ceremonial.
' Utumwa kweli kitu kibaya' hawa si ndio walikuwa wanatesa ndugu zetu kule zenji hadi mwalimu akapeleka jeshi kusaidia mapinduzi na hatimae muungano? mtu ameenda kuchukua picha zao katuletea tena humu?
 
' Utumwa kweli kitu kibaya' hawa si ndio walikuwa wanatesa ndugu zetu kule zenji hadi mwalimu akapeleka jeshi kusaidia mapinduzi na hatimae muungano? mtu ameenda kuchukua picha zao katuletea tena humu?
Tena John Okello ni Nilote kama hao Wamasai wanaosimangwa.
 
Watanganyika tuna upole uliochanganya mpaka kufikia kilele cha ukilaza.

mfano:kwa ilo tukio la masai na polisi wa Zanzibar raia wa tz wangekua ndio raia wa South,Nigeria n,k wazanzibari wangechezea kichapo huku bara mpaka huo muungano ungejuta.

wa TZ ni watu wa ovyo sana wewe ukiwa mmoja wao, sasa wamasai wamepigana na security ambao ni watanganyika wenzao ndio mwanzo wa hii kesi, sasa muwapige wazanzibari kwa misingi ipi?
 
wa TZ ni watu wa ovyo sana wewe ukiwa mmoja wao, sasa wamasai wamepigana na security ambao ni watanganyika wenzao ndio mwanzo wa hii kesi, sasa muwapige wazanzibari kwa misingi ipi?
ujuaji mwingi kumbe zero.,🚮
Security wamepewa amri na nani?
 
Kuna Jambo limejificha Mimi na wewe hatulijui Ila kuna Jambo kuhusu ndugu zetu Wamasai na wa kina fulani
 
CHADEMA FROM GROUNDS OF THEIR HEART SIELEWI KWANINI WANAPENDA MUUNGANO UVUNJIKE NI HILI LITAWA COST SANA CHADEMA, IPO HAJA YA KUREFORM HATA AINA YA DEMOKRASIA YETU, RAIS AKAWA NI WA CCM KWA MIAKA YOTE, LAKINI NGAZI YA WAZIRI MKUU NDIYO IKAWA INACHEZESHEWA MCHEZO WA DEMOKRASIA, INFACTS CHADEMA HAWAAMINIKI KAMWE, YANAWEZA KUTOKANA NA ULEVI WAO WAKAJA KUTUVUNJIA MUUNGANO WETU ADHIMU.
 
Fimbo na Sime ni kwa ajili ya kujilinda na wanyama wakali wakiwa huko mapolini kwao. Sasa Beach uende na Sime na Fimbo kweli?
 
Viongozi wa nchi na walio wengi ni wajinga sana. Unalikubali shaka la.ke unakataa sime yake. Kisha unadanganya utalii kuongezeka
Huo sindo utambulisho wao???
 
Heshimu mamlaka huwezi kuwa juu ya mamlaka na ukajiendea tu kipuuzi, wapo ndani wamasai tisa mpaka muda huu kwa ujinga huo wa kudhani sime ndio kila kitu.
Vip wale wanaouza mapanga njian au wanaotumia hizo sime kukwangulia samaki kule ferry. Tumia akili acheni chuki za kimasikin
 
Viongozi wa nchi na walio wengi ni wajinga sana. Unalikubali shaka la.ke unakataa sime yake. Kisha unadanganya utalii kuongezeka
Huo sindo utambulisho wao???
Utambulisho ni kitu kimoja, kujua kuwa ni silaha inayoweza kuua ni suala jingine tofauti kabisa.

Hao wamasai waliokamatwa na kuwekwa ndani wanalo kosa la kuvuruga amani, mada za Yericko zinawajaza ujinga badala ya kuwasaidia wakajitambua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…