Rais Mwinyi, tengua Amri haramu ya kwamba Wamasai hawaruhusiwi kutembea na fimbo na Sime Zanzibar. Inahatarisha Muungano!

Mbona walianza miaka mingi kuja huku Zanzibar kabla hata utalii haujawa na nguvu huko bara
 
Suala la tohara halijabadilika. Tatizo hampo exposed. Unadhani ukiwa Dar umemaliza dunia, shida sana.
 
Serikali ya mapinduzi inapotoshwa kwa hili la wamasai. Kuna chuki kubwa za kidini dhidi ya jamii Za watanganyika
Ila kwa ajili ya siasa watakanusha , wafute tangazo lao kimyakimya dhidi ya wamasai.
Mwl. Nyerere alisema ukiisha Anza kula nyama za watu hautaacha. Hawa Waislam wa Zanzibar hizo chuki zao zenye chimbuko kwenye Quran mjue hazitaishia kwa wamasai tu, bali wataziendeleza hata kwa watanganyika wengine ambao hawafuati itikadi zao za kijahidina
 
Hoja ya utamaduni ilikuwa kubeba hizo zana sio kama urembo bali ni kuzitumia kwenye changamoto.

Wamasai nao kwa siku hizi wamekuwa wakorofi sana kisa wanajivunia hizo silaha.

Mbona wale walioelimika hatuwaoni kubeba hizo mambo. Kuna mtu chuoni amesoma na mmsai anaebeba hizo takataka.?
 
Yeriko!
Kwani wamesai si wamehamishiwa.makao mapya Handeni na Serikali!
Na Hawa si wapelekwe huko.

Isitoshe swala Zanziba linawasha nini si wana Serikali yao Muungano ni ujanja ujanja tuu!!
 
Badala wahangaike na umaskini wa pesa na akili ulio wajaa wazenji wao wanahangaika na fimbo za wamasai, siku nyingine wakitaka kuwashika wamasai wapeleke watu wenye afya sio wale wagawa kisamvu mpira
 
Zanzibar ina sheria zake, usiingilie !! wamasai wazifuate ama warudi kuchunga mifugo bara.

Bara ni kwajili ya sheria za muungano tu, Zanzibar kuna sheria za Zanzibar na vijisheria vya upande wapili wa muungano.
Sheria gani hiyo inayozuia Wamasai kubeba marungu yao.... Mbona Wazungu wanavaa bikini beach hawasumbuliwi au sheria za Zanzibar zinaruhusu!?
 
Hata Kanuni ya adhabu(Penal Code) ya Tanzania bara(acha zanzibar), nadhani ni sura ya kumi na sita (Cap 16.R.E. 2019) pia hairuhusu.
Sheria ukiitafsiri kirahisi unaweza kupata matatizo. Ikiwa kifungu hicho kinatamka hivyo, wauza machungwa, madafu na miwa hawatakiwi kuwa na 'silaha'
Na zanzibar kama nchi wana haki ya kuwa na utaratibu wao. La msingi tu, wakae nao wawaelimishe. Wasiweke matumizi makubwa ya nguvu
Haki ya Tanganyika ipo wapi? Kuna haki za Tanzania ambazo Wazanzibar wanazo!
 
πŸ€πŸ™πŸ†’
 
πŸ“ Mwacha asili ni mtumwa! Si ajabu masalia ya utumwa kuona mtu huru kuwa ni hatari!
 
πŸ’¬ Mtu huru Kubishana na mtumwa, anayetukuza utumwa ni kazi kweli kweli! Utekesha! πŸŽ€πŸ”ŠπŸ”­
 
Mkuu kwanza, toa tafsiri halisi ya silaha? Usisahau hata tunguli ni silaha, inslinda na vile vile inaua!
 
Mkuu utumwa ni mzigo, umekulemea! Vipi wewe, bunduki watu wanatembea nazo hadharani halafu rungu ya masai na sime iwe nongwa! Kama vipi wazisajili! Ujue hata tester ya fundi umeme ni silaha mbaya!
 
"IYAMBULISHO" ndio nini? Mnawachukia wamasai kwa kuwa wanawapiga pipe watalii wa kizungu na mademu zenu maana nyie mmezoea kupigwa pipe kama yule Askari wenu. Hamna lolote, mnajifanya kuchukia wamasai huku mnafurahia kufirwa. Mapuuzi kabisa nyie.
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ’­
 
Naunga mkono hoja!
Huku bara Wamasai wanatembea na silaha zao za jadi hatujawahi kusikia wakidhuru watu!
 
Ifahamike kuwa Fimbo na Sime kwa Jamii za kimasai ni sehemu ya β€œvazi lao la asili”, ni Sehemu ya utamaduni wao, Ni Identity yao,
Serikali iwapige marufuku Wamasai wasiingie mijini hadi watakapo staaribika, wache kujizonga zonga mashuka wavae nguo za heshima, waache kutembea na mapanga na magongo utadhani wanawinda simba, na wawe wanaoga kutwa mara mbili wamasai ukipishana nao watoa harufu ni wachafu sana. Serikali inawadekeza sana hawa Wamasai. Kama serikali ilivyokaza mila za ukeketaji na hizi mila za kijinga za kimasai hazipaswi kuendelezwa katika dunia ya leo iliostaarabika.
 
Suala la tohara halijabadilika. Tatizo hampo exposed. Unadhani ukiwa Dar umemaliza dunia, shida sana.
Umesoma ukaelewa? Aliyekuambia kwa sasa nipo dar ni nani?

Suala la tohara kwa utaratibu tunaoufahamu lipo porini huko, mijini wakishatahiriwa ule utaratibu wa kutembea na mafimbo huku wakichapa watu wanaowatazama haupo. Wanatahiriwa wanatulia na machaki chaki yao usoni na ikitokea wakatembea basi si kwa hali hatarishi kama ilivyokuwa huko nyuma.
 
Ustaarabu kwa akili zako fupi ndio kuacha utamaduni wao? Kuacha identity yao? Yani kuna majitu majinga sana Tanzania. Na wazungu wakusemeje wewe kuhusu ustaarabu? Kuna Wamasai wanavaa rubega na wanapaka perfume za gharama, wanaendesha magari ya maana na wana pesa , tembea uone , nenda ata Arusha au mererani mjinga wewe. Au hukuona yule wanamwita bilionea Laiza alikuwa anavaaje?
 
Acheni ujinga, kujizonga mashuka na kutembea na marungu ndio utamaduni? Wamasai warudu porini wakaendeleze utamaduni wao wa kishenzi huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…