- Thread starter
- #61
Serikali haijali uhai wa wananchi wake.Sasa Tz kutokuchukua tahadhari dhidi ya corona ina maana gani au lina tafsirika vp jambo hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali haijali uhai wa wananchi wake.Sasa Tz kutokuchukua tahadhari dhidi ya corona ina maana gani au lina tafsirika vp jambo hili?
Kuunda kamati ni hatua ya kwanza..... Chanjo kuletwa hatua ya pili.... Tunamuona Rais anaongoza kampeni ya barakoa n.k sasa unataka hatua gani? Waweke lockdown ili mpate cha kuongea?Nimekuuliza Tz kutokuchukua tahadhari dhidi ya corona kuna maana gani?
"Chanjo ya ugonjwa wa Corona ni hiari, hatolazimishwa mtu kuchanja chanjo hiyo. Tukatae uzushi kuwa mtu akichanjwa atakufa, sio kweli"
Ndugu @DrHmwinyi
Rais wa Zanzibar na M/kiti wa BLM
Mjumbe wa Kamati Kuu ya H/Kuu ya Taifa.
Mahonda, Kaskazini Unguja.
Mei 29, 2021.
View attachment 1802084
Chanjo imetolewa "free of charge " na W.H.OMuulizeni mwinyi atawapa chanjo ya bei gani?
Nchi ya Tanzania ni kama mchwa waliopo pangoni.hatuna data "taarifa" ya nini kinachoendelea duniani. Hatupimi Corona, hatuna ugonjwa wa Corona. Kwakifupi tupo gizani hatuna tunachoelewa kuhusu huu ugonjwa.Nikuulize swali sasa hivi corona ipo au haipo? nakuuliza hivyo ili nipate kuelewa huku kutochukua tahadhari kuna maana gani kwa sasa na huko kutaka chanjo kuna maana gani.
Siyo lazima chanjo ni hiari.tusifuate mkumbo wa viongozi kuchanja tukafuata .tumia akili yako binafsi kuchanja au kuacha. Kama huna akili azima kwa jirani au ndugu yako ili uweze kuamua!Natumaini viongozi wetu nao watachoma chanjo na picha zitaonekana kwenye vyombo vya habari kama nchi zingine walivyofanya. Kiongozi ni mfano!!!
Hivi kweli hata wewe nae unafikiria barakoa ni kama hirizi ukiwa nayo tu kila kitu kinaenda sawa? kila mtu anaimba barakoa barakoa.Kuunda kamati ni hatua ya kwanza..... Chanjo kuletwa hatua ya pili.... Tunamuona Rais anaongoza kampeni ya barakoa n.k sasa unataka hatua gani? Waweke lockdown ili mpate cha kuongea?
Chanjo hiyari hutaki acha kwa hiyo hata huko Bank wakisema lazima ule sindano ndiyo upate huduma sawa tu ni hiyari yako uchanjwe au ukose huduma.Kusema chanjo hizo ni hiari kuzikubali au kuzikataa ni ulagai mtupu.
Kitakacho tokea baada ya chanjo hizo kuingia nchini ni vikwazo vingi katika taasisi za kijamii na maeneo mbalimbali ya kutolea huduma hususani Bank, Hospital, Usafiri nk.
Kwamba ili uweze kuingia katika sehemu hizo na kuhudumiwa ni lazima uwe tayari umeshachanjwa! Kwa vyovyote wote mtachanjwa tu, uwe unataka au hutaki!
Sasa si arudi kama yeye mbabe 😡 acheni kusumbua watu kila siku Shujaa Shujaaa 😏😏😏😏, watu walipambana na Hitler sembuse huyo msukuma wenu.Mbona hakuyasema hayo JPM akiwepo!!!
😁Siyo lazima chanjo ni hiari.tusifuate mkumbo wa viongozi kuchanja tukafuata .tumia akili yako binafsi kuchanja au kuacha. Kama huna akili azima kwa jirani au ndugu yako ili uweze kuamua!
Ulichojibu sichonilichouliza, mimi nauliza kwanini hatuchukui tahadhari hilo la takwimu ni lengine au unataka kuniambia kwamba hatuchukui tahadhari kwa sababu hatuna takwimu?Nchi ya Tanzania ni kama mchwa waliopo pangoni.hatuna data "taarifa" ya nini kinachoendelea duniani. Hatupimi Corona, hatuna ugonjwa wa Corona. Kwakifupi tupo gizani hatuna tunachoelewa kuhusu huu ugonjwa.
Hilo swali siwezi kulijibu ni la kijinga sanaUlichojibu sichonilichouliza, mimi nauliza kwanini hatuchukui tahadhari hilo la takwimu ni lengine au unataka kuniambia kwamba hatuchukui tahadhari kwa sababu hatuna takwimu?
Kwanini la kijinga? Rais aliyetoka alikuwa na msimamo wa kwamba hakuna corona na ndio maana alikuwa hachukui tahadhari watu walijiachia kwa sababu huku wakiamini Corona imeondoka kwa maombi, sasa rais wa sasa msimamo wake ni kwamba corona ipo na ana mpango hadi wa kuagiza chanjo sasa inakuaje kwamba anatambua kuwa kuna ugonjwa hatari corona ila kaachia watu waishi kama hakuna corona? mwaka jana mwanzoni kabla ya kufanya maombi walifunga mashule,walizuia mikusanyiko ya masherehe michezo n.k na waliweka utaratibu wa level seat kwenye daladala. Yote hayo yalifanyika ili kuzuia maambukizi na wenzetu bado wanayafanya na sisi sio kisiwa inakuaje hatuchukui tahadhari kama hizo?Hilo swali siwezi kulijibu ni la kijinga sana
Ukweli huwa na ushahidi, hebu fikiria kuna watu nao walisema kuwa Mwendazake alichanjwa kisirisiri chanjo ya corona sasa hapo nani anasema kweli? ndio maana nakwambia ukweli huwa na ushahidi ili wengine ndio tuweze kujua la sivyo kila jambo litalozungumzwa litakuwa kweli hata kama kuna contradiction.Corona imeondoka na mwendazake, na huo ndo ukweli wenyewe.
Sasa inakuaje wanakimbilia chanjo ikiwa hili la kuchukua tahadhari tu ili kuwalinda wananchi wake hawalizingatii?Serikali haijali uhai wa wananchi wake.