Rais Mwinyi: Tukatae uzushi kuwa Mtu akipata chanjo ya corona atakufa

Rais Mwinyi: Tukatae uzushi kuwa Mtu akipata chanjo ya corona atakufa

Taratibu mheshimiwa, unachafua legasi. Tuligundua watu waliochanjwa nje walituletea korona ya ajabu ajabu🤸🐒
Legacy ndio imekufa mazima,😂😂
Legacy imekufa kifo cha kawaida sana.
Samia na Hosein Mwinyi wamearakisha maauji ya legacy haraka mno 😂😂😂
 
Yellow fever ni chanjo ya hiari. Ila ukitaka kwenda baadhi ya nchi mfano South Africa utalazimika kuchanja.

Vitu vingine huwa tunapozeana muda kwa ubishi tu usio na sababu.
Rais Mwinyi amekuwa muwazi kabisa. Kama mtu anataka kwenda hija lazima achanjwe kwani ni sharti la nchi ya Saud Arabia ambako hijja inapatikana. Kama hutaki chanjo huwezi kwenda huko baki nyumbani kwako na hautalazimishwa kuchanjwa. Pia ameonya wale wanaodanganya watu kuwa ukichanjwa utakufa kwani hizo ni habari za uzushi - kumbuka pia kuwa yeye ni Daktari aliyesomea utabibu wa binadamu na anajua anachoongea.
 
Maskini Mwendazake [emoji3][emoji3][emoji3]

Habari ya nyungu na maombi imebaki story?!
Ni somo muafaka kuwa nchi ni kubwa kuliko mtu mmoja mmoja. Kinachobaki baada ya kiongozi kufa ni maslahi mapana ya nchi na ni lazima maisha ya watu yaendelee.
 
Yellow fever ni chanjo ya hiari. Ila ukitaka kwenda baadhi ya nchi mfano South Africa utalazimika kuchanja.

Vitu vingine huwa tunapozeana muda kwa ubishi tu usio na sababu.
Umenena vyema ndugu Mkaruka. Mwisho wa siku wengi wetu tuishio mijini na hasa wale wanaosafiri kwenda nje ya nchi, yaani wafanya biashara, watumishi wa umma na wanafunzi, watalazimika kupata chanjo ya korona ili waweze kuendelea na shughuli zao za kila siku. Watakaosalia ni wale ambao watabaki kuwa nchini wakiwa hawana mpango wa kusafiri nje na hasa wale waishio huko vijijini. Haya mengine ni kulishana upepo tu!
 
Hivi kweli hata wewe nae unafikiria barakoa ni kama hirizi ukiwa nayo tu kila kitu kinaenda sawa? kila mtu anaimba barakoa barakoa.
Hivi barakoa bila social distance ni nani huyo aliyeshaur hivyo? halafu hiyo kampeni yenyewe ndio hiyo ya kuvaa barakoa anapokuwepo rais tu ila nje ya hapo watu hawavai?
Kwani kampeni ya Ukimwi kuwa watu wawe na mpenzi mmoja au kuvaa condom ndio inasaidia kama bado movie za ngono zinaruhusiwa mitandaoni??

Control maana yake ndio hiyo kwamba tatizo haulisolve 100% but unapunguza makali ya madhara yake. Mfano barakoa, kunawa mikono, social distance zote zipo kwenye muongozo wa wizara ulitolewa toka March sasa utekelezaji ni kitu kingine unless kama unataka watu washikiwe viboko ndio uone kweli serikali imeamua social distance na barakoa? Na ikifika huko mtakuja tena kulia lia hapa kwamba JPM hakuchapa watu fimbo kisa barakoa!!

WaTZ sijui tuna shida gani.... Msomi kma ww unapinga kuvaa barakoa? Yaani ni sawa na manesi wasivae gloves eti kisa tu miguu yao bado inaweza kanyaga tissues za mgonjwa!! Weird
 
Kwani kampeni ya Ukimwi kuwa watu wawe na mpenzi mmoja au kuvaa condom ndio inasaidia kama bado movie za ngono zinaruhusiwa mitandaoni??

Control maana yake ndio hiyo kwamba tatizo haulisolve 100% but unapunguza makali ya madhara yake. Mfano barakoa, kunawa mikono, social distance zote zipo kwenye muongozo wa wizara ulitolewa toka March sasa utekelezaji ni kitu kingine unless kama unataka watu washikiwe viboko ndio uone kweli serikali imeamua social distance na barakoa? Na ikifika huko mtakuja tena kulia lia hapa kwamba JPM hakuchapa watu fimbo kisa barakoa!!

WaTZ sijui tuna shida gani.... Msomi kma ww unapinga kuvaa barakoa? Yaani ni sawa na manesi wasivae gloves eti kisa tu miguu yao bado inaweza kanyaga tissues za mgonjwa!! Weird
Kupunguza makali ya maambukizi ya corona mwanzoni tulifunga mashule,vyuo,kuzuia mikusanyiko ya kwenye sherehe na michezo, kwenye daladala ilikuwa level seat, ndoo za maji na sabuni zilitapakaa, kuna sehemu ulikuwa huingii bila kuvaa barakoa mfano kwenye hospitali maofisi n.k.

Je sasa hivi unaweza kuniambia nini tunachofanya kupunguza hayo maambukizi?
Ukizungumzia barakoa katika moja ya disadvantage ya barakoa kuvaliwa kwenye jamii ni watu kujihisi wako safe kwa kutozingatia vitu kama kunawa mikono, kutojishika uso na social distance. Sasa ukiangalia sisi hivyo vitu ndio mambo yanayoendelea halafu et tunahimizana na kutegemea kuvaa barakoa, hapo sijazungumzia watu kutojua matumizi sahihi ya jinsi ya kuvaa na kuvua hizo barakoa ambapo ukifanya makosa unawezakuwa unasababisha maambukizi.
 
Kupunguza makali ya maambukizi ya corona mwanzoni tulifunga mashule,vyuo,kuzuia mikusanyiko ya kwenye sherehe na michezo, kwenye daladala ilikuwa level seat, ndoo za maji na sabuni zilitapakaa, kuna sehemu ulikuwa huingii bila kuvaa barakoa mfano kwenye hospitali maofisi n.k.

Je sasa hivi unaweza kuniambia nini tunachofanya kupunguza hayo maambukizi?
Ukizungumzia barakoa katika moja ya disadvantage ya barakoa kuvaliwa kwenye jamii ni watu kujihisi wako safe kwa kutozingatia vitu kama kunawa mikono, kutojishika uso na social distance. Sasa ukiangalia sisi hivyo vitu ndio mambo yanayoendelea halafu et tunahimizana na kutegemea kuvaa barakoa, hapo sijazungumzia watu kutojua matumizi sahihi ya jinsi ya kuvaa na kuvua hizo barakoa ambapo ukifanya makosa unawezakuwa unasababisha maambukizi.
Muongozo ulisema kuepuka misongamano, usafi/kunawa mikono, kuvaa barakoa n.k sasa ni lini wamehimiza barakoa peke yake?
 
Muongozo ulisema kuepuka misongamano, usafi/kunawa mikono, kuvaa barakoa n.k sasa ni lini wamehimiza barakoa peke yake?
Mkuu kamati ilikuwa kwa ajiri ya kuwaanda watu na uagizaji wa chanjo, hilo ndio linazingatiwa hayo mengine yote tutapiga kelele tu humu . Nadhani leo dodoma umeona hali ilivyokuwa maana hata hilo la barakoa ni dhahiri limewashinda sasa.
 
Mkuu kamati ilikuwa kwa ajiri ya kuwaanda watu na uagizaji wa chanjo, hilo ndio linazingatiwa hayo mengine yote tutapiga kelele tu humu . Nadhani leo dodoma umeona hali ilivyokuwa maana hata hilo la barakoa ni dhahiri limewashinda sasa.
Kwani nani kasema ukipigwa chanjo ndio huvai barakoa wala kunawa mikono? Mie siongelei kamati naongelea muongozo wa wizara wa afya kupitia press release waliorodhesha steps za kujikinga na COVID na walio exhaust njia zote na sio barakoa pekee.

Yaani ww unataka hta barakao watu wasivar eti kisa hawanawi mikono? Hvi hujui with each step taken unareduce probability ya kusambaza ugonjwa kuliko usifanye chochote kabisa
 
Kwani nani kasema ukipigwa chanjo ndio huvai barakoa wala kunawa mikono? Mie siongelei kamati naongelea muongozo wa wizara wa afya kupitia press release waliorodhesha steps za kujikinga na COVID na walio exhaust njia zote na sio barakoa pekee.

Yaani ww unataka hta barakao watu wasivar eti kisa hawanawi mikono? Hvi hujui with each step taken unareduce probability ya kusambaza ugonjwa kuliko usifanye chochote kabisa
Japo unanichanganyia mafile ila twende hivyo hivyo, sasa mkuu ikiwa matumizi yasio sahihi ya barakoa husababisha kuchangia maambukizi sasa wewe utasemaje uvaaji huo wa barakoa usio sahihi unapunguza maambukizi? Ikiwa kweli kuna maambukizi kwa hiyo inahitajika kuvaa barakoa ila sasa uvaaji wetu wa barakoa sio sahihi na matokeo yake ni kusababisha kuongeza maambukizi kwa maana watu hawazingatii kunawa mikono wakati wa kuvaa na kuvua hizo barakoa, mtu anaweza akaivua barakoa mara moja na kuishika mkononi kisha baadaye akaivaa tena. Hivi kwa hali hiyo barakoa zinaweza kuwa msaada au ni sehemu ya tatizo?
 
Japo unanichanganyia mafile ila twende hivyo hivyo, sasa mkuu ikiwa matumizi yasio sahihi ya barakoa husababisha kuchangia maambukizi sasa wewe utasemaje uvaaji huo wa barakoa usio sahihi unapunguza maambukizi? Ikiwa kweli kuna maambukizi kwa hiyo inahitajika kuvaa barakoa ila sasa uvaaji wetu wa barakoa sio sahihi na matokeo yake ni kusababisha kuongeza maambukizi kwa maana watu hawazingatii kunawa mikono wakati wa kuvaa na kuvua hizo barakoa, mtu anaweza akaivua barakoa mara moja na kuishika mkononi kisha baadaye akaivaa tena. Hivi kwa hali hiyo barakoa zinaweza kuwa msaada au ni sehemu ya tatizo?
Kwa kuwa uvaaji condom una changamoto na zingine kupasuka then tuache kabisa kujikinga na UKIMWI na ikiwezekana zipigwe marufuku maana hazisaidii???

Let me summarize this.... An inch towards the right direction is better than a mile towards a wrong destination.
 
Kwa kuwa uvaaji condom una changamoto na zingine kupasuka then tuache kabisa kujikinga na UKIMWI na ikiwezekana zipigwe marufuku maana hazisaidii???

Let me summarize this.... An inch towards the right direction is better than a mile towards a wrong destination.
Ndio Unijibu sasa katika hali ya uhalisia ni namna gani barakoa zinaweza kusaidia hivyo hivyo pamoja na hayo matumizi yasio sahihi ambayo huweza kupelekea kuwa chanzo cha kusambaza virusi badala ya kuzuia? hebu elezea vp barakoa bado itaendelea kuwa msaada katika mazingira kama hayo?
 
Mimi nataka kuchanjwa, inapatikana wapi hapa Tanzania?
 
Back
Top Bottom