Kwahiyo wewe huoni kwamba account zote zilizofungwa kionevu na TRA wakati wa mwendazake na sasa kuachiwa ili watu wafanye biashara na Watanzania wapate ajira sio hoja??
Tunasisitiza kwamba Mama aachwe afanye kazi na neema zitapatikana kwa kila mmoja wetu
Ni wapi GENTAMYCINE nimesema kuwa ninamchukia Rais wangu wa JMT Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan?
Tena kwa Taarifa huenda Mimi ndiyo nikawa nampenda zaidi kuliko Damn Fool Wewe kiasi kwamba nikiona anakengeuka kwa baadhi ya Mambo namkosoa ili asiharibu zaidi.
Baadhi ya Watanzania mmekuwa na ' Mentalities ' za ' Kipumbavu ' sana kwamba Mtu yoyote anayemsema Rais basi ni ama Mpinzani CHADEMA au ni Mdini au anatokea Kundi Hasimu kama linalotajwa sasa la SUKUMA GANG.
Kuna Member Mmoja hapa ameelezea vyema kabisa tena Kikatiba na Kidiplomasia kuhusu hili 'Suala Mjadala' nililolileta hapa na kusema kwa hili la Mama Kuwakilishawa na Rais Mwinyi wa Zanzibar kwa Mambo ya Kijamuhuri anakosea sana tu.
Na bahati nzuri sasa labda nikutaarifu tu Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan ni " Follower ' wangu mkubwa tu hapa JamiiForums na 24/7 haachi kunisoma GENTAMYCINE na hili kwa Kujiamini kabisa nina uhakika nalo kwa 100%.
Kuna ' Threads ' kadhaa za Kumsifu na hadi Kumletea Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan na moja ni ya Juzi tu mbona sikuona unasema kuwa namchukia na katika Uzi huo huo Wewe umeuchangia zaidi huku ukinipa ' Likes ' zako za kutosha tu?
GENTAMYCINE sipo hapa JamiiForums kuwa Mnafiki au Kujipendekeza ila nipo ' very Neutral ' katika ' thorough analysis ' zangu na nimekuzwa katika Misingi ya Kusimamia Ukweli na kuzingatia Utaratibu, Sheria na Kanuni zilizopo.
Mimi ni mwana CCM sana tu ila wakikosea ' nawakaanga ' vizuri tu. Mimi ni mwana Simba SC nao pia ' wakilikoroga ' tu ' ninawasiliba ' vizuri tu. CHADEMA wakipatia nawasifu na Klabu ya Yanga ikifanya Jambo jema nawapongeza.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE Mkuu sawa?