Rais na Makamu wasipokuwepo nchini Nani Anakaimu?

Sasa nini kimekushinda wewe kwenda kuvisoma hivyo vifungu huko kwenye Katiba? Mbona mnapenda kuchosha wenzenu aisee!
 
Hapana, ikiwa Rais na Makamu hawapo nchi itaongozwa na spika wa bunge na kama HAYUPO nchi itaongozwa na judge mkuu.,... Waziri mkuu hajatajwa kwenye katiba...hiyo nilisomaga zamani kwenye SoMo la siasa darasa la nne ama la tatu
Soma katiba ibara ya 37(3) nakuwekekea hapa[emoji116][emoji116]
 
Duh! Hao akina Shositi (Cyst) Nyahoza na akina Mtungi, wao wamepiga usingizi wa pono. Wataamka kukemea au kupiga vita mikutano ya Chadema. Na kuratibu ushindi wa CCM.
 
Taasisi zetu nyingi ni haziweki taarifa sahihi kwenye Tovuti zake.

Baadhi ya Taasisi taarifa latest ni za miaka mitatu iliyopita.
Kwa uzembe huu na kutokujali, maendeleo tutaendelea kuyasikilizia Kwa wenzetu walio serious sisi tuendeleze uchawa, ukunguni na uviluwiluwi wa chura kiziwi.
 
Na wasipokuwepo wote nikabaki mwenyewe 🀣 kumbe kila mtu anaweza kuwa Rais
 
Lucas Mwashambwa 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…