ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
South Africa...nchi zipi? nitajie..... nami nikutajie nchi za first world ambazo biashara na makao makuu vipo sehemu moja.
Wanachofanya ni kudiversify viwanda according to location of raw materials and other infrastructure to feed the planned factory/industry
Kila nchi ina sababu zake kwa nini makao yake makuu yako sehemu fulani.nchi zipi? nitajie..... nami nikutajie nchi za first world ambazo biashara na makao makuu vipo sehemu moja.
Wanachofanya ni kudiversify viwanda according to location of raw materials and other infrastructure to feed the planned factory/industry
Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Ambapo mfalme alihakikisha kila shughuli amezungukwa na viongozi wa mihimili yote na kuoneshwa live.Last, another objective for Louis XIV’s reconstruction of Versailles was to have the nobility under his control. As of May 6, 1682, King Louis XIV announced to the seat of the government a new location for the court, had been established to live in, “The Chateau of Versailles”. The relocation to Versailles signifies the “gilded cage to house his courtiers”[8]. Louis was still traumatized by the events of the Fronde, “that event made a deep and enduring impression on the young king…lead him to harbour deep wells of distrust”[9]. Moreover, King Louis power grew more through this time as the nobility acted more as his servant than making any decisions for the well-being of the people. Nobility were forced by the power of King Louis to dress him, to stand with him while he ate, he bullied the nobility. Versailles - King Louis XIV: Age of Absolutism
Ujinga mwingine HuuNi maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Kama hutaki kuendelea na utumishi wa umma Dodoma acha rudi Dar es salaam hujalazimishwa. Usichoshe watu humu na pumba zako. Inaonyesha baadhi ya watz wanavyojitoa akili kwa maslahi ya matumbo yao. Wewe sema umewekeza Dar es Salaam au unamaslahi yako binafsi huko Dar es Salaam siyo kuleta porojo zisizo na na tija.Kuhamia Dodoma hakukuwa na tija kipindi hiki. Azma na ulazima wa kuhamia Dodoma ilikuwa kurahisisha accesibility kutoka mikoa na wilaya zingine kuweza kufika makao makuu ya nchi, hii ilikuwa ni lazima sana kipindi cha nyuma wakati mpango huo unaasisisiwa. Kutokana na ukuaji wa teknolojia makao makuu yanaweza kufikiwa sasa kutoka mahali popote kwa muda mfupi sana. kwa sasa kuna mifumo ya emails na vitu kama skype au ulipaji wa control number au mifumo ya kiwizara ambapo mtu akiwa popote anaweza ku access na kupata majibu ndani ya sekunde ulazima wa kuhamia Dodoma ulishaisha. Hakukuwa na sababu ya kutumia bajeti kubwa sana kulazimisha kuhamia Dodoma kwa kipindi ambacho nchi inahitaji sana hiyo bajeti katika sekta zingine.
Kwani kuhamia Dodoma kuna tatizo gani? Au ndiyo nyie ambao hamtaki kubadilika mnaishi kwa mazoea tu. Miafrika inawazia matumbo yao tu kila dakika!Naunga mkono hoja:
muasisi wa kuhamia DODOMA JKNyerere kama angefufuka leo na akaulizwa whether kuna haja ya kwenda Dodoma given globalization na information technology iliyopo I bet angesema hapana tusiende Dodoma kwa vile sababu zile zilizopelekea maamuzi haya ZIMEPITWA na wakati.
Nyerere hakuwa king'ang'anizi ndiyo maana akaandika na kitabu cha TUJISAHIHISHE.
Pengine Jiwe angeshirikisha watu kwenye Cabinet yake watoe mawazo kwa uhuru basi Dodoma ingebakia makao ya Bunge, TAMISEMI labda na Waziri Mkuu au Ongeza na Kilimo ambazo tayari zina miundo mbinu yao tayari.
Haya maamuzi yake binafsi ya kutaka sifa na hizo ten percent za ujenzi yana athari kubwa kiuchumi.
Japo umeita mawazo yangu ni pumba ila inasikitisha umeishia kuni critisize bila kuweka mawazo yako yasiyo pumba.Kama hutaki kuendelea na utumishi wa umma Dodoma acha rudi Dar es salaam hujalazimishwa. Usichoshe watu humu na pumba zako. Inaonyesha baadhi ya watz wanavyojitoa akili kwa maslahi ya matumbo yao. Wewe sema umewekeza Dar es Salaam au unamaslahi yako binafsi huko Dar es Salaam siyo kuleta porojo zisizo na na tija.
Dah!!..mkuu hizi serikali kuamia uko dodoma washatutesa vya kutosha,Ni maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Wewe ni Mgogo au Mrangi?Kwani kuhamia Dodoma kuna tatizo gani? Au ndiyo nyie ambao hamtaki kubadilika mnaishi kwa mazoea tu. Miafrika inawazia matumbo yao tu kila dakika!
Miafrika mingine bwana hufukiria mwisho wa matumbo yao. Kwa hiyo wanaotaka makao makuu ya nchi yabaki Dodoma ni Wagogo na Warangi tu. Am afraid that am engaging a person with psychiatric case into this conversation. Fortunately enough Dodoma is also equipped with Milembe Hospital.Wewe ni Mgogo au Mrangi?
Mzee mgaya yeye anashauri niniNi maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!
Mzee Mgaya Leo ameamka nazo na ameamua kuja kutupumzikia..,Mzee mgaya yeye anashauri nini
ila watu wengine bhanaaaaa, wakihamia Dodoma au wakirudi Dar ww inakusaidia nini. Humo ofisini ni wewe unakaaNi maoni tu kwamba ni vema Rais wa JMT na taasisi saidizi zikarudi Dar es salaam na Makamu wa Rais, Waziri mkuu na Spika wa bunge wakaendelea kubaki Dodoma pamoja na wizara zote.
Uhamiaji wa Dodoma ulifanywa kwa haraka haraka na mambo mengi ya muhimu na msingi bado yako Dar es salaam ikiwemo Ikulu ya kihistoria ya Magogoni.
Dodoma itakapokamilika kwa miundombinu na kitaasisi basi Rais wa JMT arejee kwenye Ikulu ya Chamwino kama patakuwepo na ulazima huo wakati husika.
Mungu wa mbinguni awabariki.
Kazi Iendelee!