MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,104
- 6,827
Wandugu,
Kuna lugha za kujirudiarudia kutoka kwa hawa viongozi wakisisitiza kwamba mkulima lima jiwekee cha kwako na familia yako chakula kingine nenda kauze nje mipaka ya nchi mipaka imefunguliwa.
Najiuliza ina maana wananchi wengine kama Dar es Salaam wanaotegemea vyakula hivyo havitawafikia kwa sababu mkulima ataangalia wapi atapata bei kubwa ya mazao na ukweli ni kwamba chakula kingi kinachukuliwa na Wakenya kwa kigezo cha bei nzuri na watu Dar es Salaam wanakosa chakula ndio maana kuna mfumuko wa bei mkubwa.
Kuna kitu kinaitwa food security, kwa Tanzania hakuna.
Kuna lugha za kujirudiarudia kutoka kwa hawa viongozi wakisisitiza kwamba mkulima lima jiwekee cha kwako na familia yako chakula kingine nenda kauze nje mipaka ya nchi mipaka imefunguliwa.
Najiuliza ina maana wananchi wengine kama Dar es Salaam wanaotegemea vyakula hivyo havitawafikia kwa sababu mkulima ataangalia wapi atapata bei kubwa ya mazao na ukweli ni kwamba chakula kingi kinachukuliwa na Wakenya kwa kigezo cha bei nzuri na watu Dar es Salaam wanakosa chakula ndio maana kuna mfumuko wa bei mkubwa.
Kuna kitu kinaitwa food security, kwa Tanzania hakuna.