Rais na Waziri wa Kilimo kuhusu chakula nchini mnapotosha Taifa

Rais na Waziri wa Kilimo kuhusu chakula nchini mnapotosha Taifa

Embu elezea hapa? Mkuu Una hakika ww ni mfanya biashara na muwekezaji mkubwa wa mazao? Mbona hili ni suala jepesi sana kwa wafanyabiashara maana pia huwa kunatabia ya kuzuia mzigo iwe michache sokoni ili bei ipande baada ya demand kuongezeka.

Unapofunga mipaka unaingilia market forces za demand and supply. Ukisema mahindi yasiuzwe nje tafsiri yake ni kuwa umesema mahindi yauzwe kwa wateja wa ndani tu ambao si wengi kama wakiwepo wa ndani na wa nje, kama watu wamevuna inamaana wateja ni wa ndani tu wanagawana mazao ambayo ni ya kutosha hapo bei lazima ishuke tofauti na ukiacha mipaka wazi wateja wa kenya na nchi nyingine wakaruhusiwa kununua unaruhusu demand kuwa juu na bei inakua juu.
Ok, point yangu ni kuwa mipaka sio sababu pekee ya bei kuwa juu, Bei kuwa juu hutokana na mwaka husika uzalishaji ulikuwa kiasi gani. Na uzalishaji kushuka pia Kuna sababu ambazo kubwa huwa ni hali ya hewa.

Turudi miaka mitatu nyuma, Mwaka 2019 mipaka ilikuwa wazi na bei ilikuwa kubwa sana kuliko mwaka huu.gunia la mahindi lilifika 120k

Mwaka 2020 mipaka ilikuwa wazi ila gunia liliporomoka hadi kwa 30k.

Hapa tafsiri yake ni kuwa mipaka kuwa wazi sio sababu pekee ya Bei kuwa juu.

Kuhuu kuhifadhi na kuuza bei ikipanda ndio haswa nachofanya tena kwa kiwango kikubwa. Nilihifadhi 2019 na ilipofika November niliuza kwa bei kubwa Sana.

2020 nikahifadhi, Ila ilipofika November nikauza kwa bei ya hasara sana.

Mwaka Jana 2021 pia haukua mzuri sana.

Mwaka huu 2022 pia sio mzuri kwa kuwa uzalishaji umeshuka sana, wakulima wamepata mazao kidogo hivyo wanauza kwa bei ya juu sana. Hapa ndio wengi mnachanganya na kusema wakulima wanafaidika,
kwa mfano mkulima wa mpunga aliyekadiria kupata gunia 200, Kapata gunia 80. Huyu tayari ana hasara hapo, japo gunia ataliuza 100k.

Wenye faida ni wale waliokuwa na stock kubwa ya mwaka jana, kwa kuwa mwaka huu bei tu ya kununulia ili kusubiri November ni kubwa hivyo hakuna faida utapata. Ununue Leo gunia la mpunga 90k, alafu usubiri November au December uliuze kwa 110k au 120k huwezi sema umepata faida hapo.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Wandugu,

Kuna lugha za kujirudiarudia kutoka kwa hawa viongozi wakisisitiza kwamba mkulima lima jiwekee cha kwako na familia yako chakula kingine nenda kauze nje mipaka ya nchi mipaka imefunguliwa.

Najiuliza ina maana wananchi wengine kama Dar es Salaam wanaotegemea vyakula hivyo havitawafikia kwa sababu mkulima ataangalia wapi atapata bei kubwa ya mazao na ukweli ni kwamba chakula kingi kinachukuliwa na Wakenya kwa kigezo cha bei nzuri na watu Dar es Salaam wanakosa chakula ndio maana kuna mfumuko wa bei mkubwa.

Kuna kitu kinaitwa food security, kwa Tanzania hakuna.
Kwanini usiende ukalime harafu uje uwauzie wanainchi wa dar es salaam kwa Bei ndogo?
 
Ok, point yangu ni kuwa mipaka sio sababu pekee ya bei kuwa juu, Bei kuwa juu hutokana na mwaka husika uzalishaji ulikuwa kiasi gani. Na uzalishaji kushuka pia Kuna sababu ambazo kubwa huwa ni hali ya hewa.

Turudi miaka mitatu nyuma, Mwaka 2019 mipaka ilikuwa wazi na bei ilikuwa kubwa sana kuliko mwaka huu.gunia la mahindi lilifika 120k

Mwaka 2020 mipaka ilikuwa wazi ila gunia liliporomoka hadi kwa 30k.

Hapa tafsiri yake ni kuwa mipaka kuwa wazi sio sababu pekee ya Bei kuwa juu.

Kuhuu kuhifadhi na kuuza bei ikipanda ndio haswa nachofanya tena kwa kiwango kikubwa. Nilihifadhi 2019 na ilipofika November niliuza kwa bei kubwa Sana.

2020 nikahifadhi, Ila ilipofika November nikauza kwa bei ya hasara sana.
Sawa countrywide.
 
Kwanini usiende ukalime harafu uje uwauzie wanainchi wa dar es salaam kwa Bei ndogo?
Hii kauli alikuwa akiitumia Magufuli akawa anasisitiza wakija kununua mazao yenu wapigeni bei kubwa, lakini ukweli ni kuwa mkulima haamui Bei hata kidogo. Kinachoamua ni uzalishaji wa mwaka husika
 
Sawa countrywide.
Huu ndio mwaka ambao nimeshindwa kununua hata gunia 1, haiwezekani ninunue gunia 72k mwezi wa 6 huku nikiwa naamini kabisa hadi December bei haita-cross 108k
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huu ndio mwaka ambao nimeshindwa kununua hata gunia 1, haiwezekani ninunue gunia 72k mwezi wa 6 huku nikiwa naamini kabisa hadi December bei haita-cross 108k
Unanunua tani ngapi? Soko la Arusha pale majengo kabla hata hujavusha Kenya unaweza tengeneza faida ukipata kwa 72 na kama ni mazuri na una right people wa kukupa soko
 
Ingia shambani ukalime mazao yako uweke ndani.

Acha wakulima wauze popote wanapotaka...na kama na wewe unataka kununua kwao nenda huko shambani ukauziwe.
 
Wandugu,

Kuna lugha za kujirudiarudia kutoka kwa hawa viongozi wakisisitiza kwamba mkulima lima jiwekee cha kwako na familia yako chakula kingine nenda kauze nje mipaka ya nchi mipaka imefunguliwa.

Najiuliza ina maana wananchi wengine kama Dar es Salaam wanaotegemea vyakula hivyo havitawafikia kwa sababu mkulima ataangalia wapi atapata bei kubwa ya mazao na ukweli ni kwamba chakula kingi kinachukuliwa na Wakenya kwa kigezo cha bei nzuri na watu Dar es Salaam wanakosa chakula ndio maana kuna mfumuko wa bei mkubwa.

Kuna kitu kinaitwa food security, kwa Tanzania hakuna.
Kwani chakula kinatakiwa kiuzwe wapi? Na lengo la kuuza ni nini?

Ni hivi,nguvu Kazi mumerundika mjini mnauza maji afunategemea wa Kijijini akulimie Ili ununue Kwa bei unayotaka..

Awamu hii mtanoa,mnyonge WA kijinga
 
Unanunua tani ngapi? Soko la Arusha pale majengo kabla hata hujavusha Kenya unaweza tengeneza faida ukipata kwa 72 na kama ni mazuri na una right people wa kukupa soko
Difference sio kubwa, huwa napiga hesabu za atleast 50% faida. Ila ikiwa chini ya hapo hamna kitu, maana hizi biashara zina risk kubwa sana
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kwani chakula kinatakiwa kiuzwe wapi? Na lengo la kuuza ni nini?

Ni hivi,nguvu Kazi mumerundika mjini mnauza maji afunategemea wa Kijijini akulimie Ili ununue Kwa bei unayotaka..

Awamu hii mtanoa,mnyonge WA kijinga
Wewe huna akili na hujawahi kuwa na akili.

Kwenye mazao ya chakula Mkulima hapangi Bei, serikali haipangi Bei. Hii Bei ya mwaka huu sio Mara ya kwanza kuwepo. 2019 debe lilifika hadi 22k

Kama Hali ya hewa mwaka huu itakubali mkulima hata afanyaje mwakani bei itashuka sana
 
Nchi hii mazao ya wakulima ndio haramu kupanda ila vitu vingine kupanda ni sawa ,pembejeo zilivyopanda wala hatùkuona wana harakati, wacha nafaka ipande hata mara dufu ili vijana warudi vijijini kulima na wakulima waheshimike
 
Kwa kweli toka nimezaliwa na kujihusisha na kilimo sasa hivi ndio nimeona faida ya kilimo,katika miaka yote serikali ilitumia mbinu ya kumkamua mkulima rasimali zake pasi na faida ili kumnufaisha mfanyakazi wa dasalamu sasa naenjoy kuwa mkulima
 
Wandugu,

Kuna lugha za kujirudiarudia kutoka kwa hawa viongozi wakisisitiza kwamba mkulima lima jiwekee cha kwako na familia yako chakula kingine nenda kauze nje mipaka ya nchi mipaka imefunguliwa.

Najiuliza ina maana wananchi wengine kama Dar es Salaam wanaotegemea vyakula hivyo havitawafikia kwa sababu mkulima ataangalia wapi atapata bei kubwa ya mazao na ukweli ni kwamba chakula kingi kinachukuliwa na Wakenya kwa kigezo cha bei nzuri na watu Dar es Salaam wanakosa chakula ndio maana kuna mfumuko wa bei mkubwa.

Kuna kitu kinaitwa food security, kwa Tanzania hakuna.

Acheni wakulima wapige hela. kama unaogopa njaa kalime.
 
Ukitaja mwaka shida ipo wapi? Nimekueleza wakulima wengi hawauzii ghalani, huu mbona Ni ukweli ulio wazi?
Sasa mbn unasema wakulima hawauzi ghalani saizi unasema wakulima hawauzi wengi hawauuzii ghalani sasa ukweli ni kwamba hawauzii kabisa ghalani kama ulivosema mara ya kwanza au wapo wanaouza ghalani?
 
Mtu hajawahi kunipangia namna ya kutumia mshara wangu. Mkulima asinyanyaswe kwa kupangiwa pa kuuza mazao yake.

Mambo ya food security sijui nini, wanunue chakula kwa kushindana katika soko huru - sio kumlalia mkulima!
 
Back
Top Bottom