Rais ndiye kiongozi mkuu wa nchi tumempa nafasi tumwache afanye kazi yake, kelele za nini?

Rais ndiye kiongozi mkuu wa nchi tumempa nafasi tumwache afanye kazi yake, kelele za nini?

Kuna watu wana stress za maisha, asipotukuna serikali au kiongozi hawezi kulala. Unakuta mtu hata kodi ya elfu 15 ni tatizo anaishi kwa shemeji, utamuambia nini akuelewe? Uongozi ni mzigo kweli.
Wamejaa jukwaa ,kazi matusi tu na dharau ,wapuuzwe
 
Mie naona ujinga tu, wakati wa uchaguzi tulinde amani, huku wakipora kura, wakati wa Covid-19 tumtangulize Mungu mbele watu wanakufa eti kwa neumonia, takwimu kuficha, sayansi pembeni!
 
Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mtu ninayeamini katika kutii mamlaka na kuiheshimu.

kwakusema hivyo namuunga mkono rais na serikali na ninatii na kuheshimu hatua wanazochukua katika kuongoza taifa letu.

Watu tusijifanye tunajua sana kuhusu corona kiasi cha kuona kama rais na serikali wamepotea na hawajui lolote ktk kupambana na corona. Kama mna mbinu zitajeni na mueleze wapi ambapo zimefanya kazi, mbona kwote wanapambana tu na hakuna aliyefika bado. Acheni dharau kwa serikali yenu ndugu zangu.

Umekaa tu kwenye keyboard unajiona unakila haki ya kuona serikali haiwezi, mengi mnayoshauri mnaiga tu kwa nchi nyingine zinavyohangaika wala hakuna mwenye jipya na mjue nayo serikali inaona huko wanavyofanya lakini haikurupuki tu kama wewe eti wakiona wale wamefanya hivi hapo hapo nasisi tuseme waTz fanyeni hivi. Acheni zenu.

Magufuli kama anajua chanjo na mabarakoa yanaondoa kabisa corona anaanzaje kuyazuia tena itamnufaisha nini yeye kukataa chanjo we jiulize usikurupuke tu kujidai unajali Watanzania kuliko rais na serikali.

Tumempa nafasi tumwache afanye anachokiamini ni kwaajili ya manufaa ya taifa ili akikosea au akipatia iwe lawama kwake au hongera kwake sio miluzi mingi kila mtu anataka rais afanye analotaka yeye hapo itakuwa nyie ndio rais sio yeye.

wote tunajua Mungu anaweza yote rais kasema tumuombe Mungu. Wewe tii kama huamini tumia hizo mbinu zako. Mimi na nyumba yangu tutamtegemea Mungu aliyetuvusha atatuvusha na rais na serikali yote tutakuwa salama kwa jina la Yesu. Amen.

hongera rais kwa kutuongoza njia sahihi, tupo tunaokuunga mkono na kutii mamlaka ya serikali.

Mungu akulinde Rais wetu Magufuli na serikali yako na atatuvusha salama wote tunaomwamini. Asiyeamini hata kama yupo serikalini atajua mwenyewe.

Utukufu kwa Mungu juu, na amani iwe duniani kwa wote aliowaridhia.

Amen
Jamii iliyo nyamaza ama nyamzishwa siyo rafiki kwa ujasriamali Silent society affect business and entrepreneurship 'silence surrender public responsibility'
 
Ata Amin,Hitler nk walikua Rais kwenye nchi zao pia
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
Cha muhimu ni kuchukua tahadhari zote...
 
Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mtu ninayeamini katika kutii mamlaka na kuiheshimu.

kwakusema hivyo namuunga mkono rais na serikali na ninatii na kuheshimu hatua wanazochukua katika kuongoza taifa letu.

Watu tusijifanye tunajua sana kuhusu corona kiasi cha kuona kama rais na serikali wamepotea na hawajui lolote ktk kupambana na corona. Kama mna mbinu zitajeni na mueleze wapi ambapo zimefanya kazi, mbona kwote wanapambana tu na hakuna aliyefika bado. Acheni dharau kwa serikali yenu ndugu zangu.

Umekaa tu kwenye keyboard unajiona unakila haki ya kuona serikali haiwezi, mengi mnayoshauri mnaiga tu kwa nchi nyingine zinavyohangaika wala hakuna mwenye jipya na mjue nayo serikali inaona huko wanavyofanya lakini haikurupuki tu kama wewe eti wakiona wale wamefanya hivi hapo hapo nasisi tuseme waTz fanyeni hivi. Acheni zenu.

Magufuli kama anajua chanjo na mabarakoa yanaondoa kabisa corona anaanzaje kuyazuia tena itamnufaisha nini yeye kukataa chanjo we jiulize usikurupuke tu kujidai unajali Watanzania kuliko rais na serikali.

Tumempa nafasi tumwache afanye anachokiamini ni kwaajili ya manufaa ya taifa ili akikosea au akipatia iwe lawama kwake au hongera kwake sio miluzi mingi kila mtu anataka rais afanye analotaka yeye hapo itakuwa nyie ndio rais sio yeye.

wote tunajua Mungu anaweza yote rais kasema tumuombe Mungu. Wewe tii kama huamini tumia hizo mbinu zako. Mimi na nyumba yangu tutamtegemea Mungu aliyetuvusha atatuvusha na rais na serikali yote tutakuwa salama kwa jina la Yesu. Amen.

hongera rais kwa kutuongoza njia sahihi, tupo tunaokuunga mkono na kutii mamlaka ya serikali.

Mungu akulinde Rais wetu Magufuli na serikali yako na atatuvusha salama wote tunaomwamini. Asiyeamini hata kama yupo serikalini atajua mwenyewe.

Utukufu kwa Mungu juu, na amani iwe duniani kwa wote aliowaridhia.

Amen
Mkuu hakuna hasie tii mamlaka za serikali, bali watu wanaitaka serikali kutimiza majukumu yake ipasavyo, na pale penye kosa ni lazima watu wahoji na hilo sio utovu wa adabu kwa serikali ama kiongozi. Unapo zungumzia suala la corona kumbuka kwamba ni janga baya sana lililoikumba dunia nzima, ni kweli kwamba adi sasa hivi hakuna nchi iliyopata dawa na hata hizo chanjo hazikingi kwa silimia 100. Hapo ndio linapokuja jukumu la serikali chini ya kiongozi mkuu kuwalinda wananchi. Njia kuu nikufuata kanuni ama utaratibu unao faa kuwalinda wananchi ambao nikuwapima wenye dalili zinazohusiana na ugonjwa huu, kutoa takwimu za walio pata maambukizi na kupona/kufa. Na kwa wale waliokufa kwa ugonjwa huu kuwepo na utaratibu wa ndugu kuwazika wapendwa wao bila ya wao kupata maambukizi.
Serikali hisipokuwa na uwazi hata maombi hayato saidia ikiwa ndugu anamuuguza mgonjwa mwenye maambukizi bila kujua kwa sababu serikali haipimi corona nakutoa takwimu na akitoka ndani anaingia kujumuika na wengine kwenye maombi.
Kama vifaa kutoka nje havina usalama kwa matumizi basi serikali ije na njia sahihi za kuwalinda wananchi wake na janga hili.
Lakini kiongozi wa wananchi anapokuja na kauli za kwamba "kama ni kufa tutakufa tu". Ama "hatupingi kuvaa barakoa" na wakati huo huo anawakejeli wenye kuvaa barakoa tena kwa kupotosha maandiko ndani ya nyumba za ibada, hii itakuwa nikuikosea nafasi yake kama kiongozi. Na unapoikosea nafasi yako ni sawa nakuwakosea ulio waomba kuwaongoza.
Kusifia penye jambo zuri ni sawa, na kukosoa penye kasoro pia ni sawa.
 
Una ujinga mwingi sana, naona umeamua kuugawia wenzako kwa namna hii.... nakusihi uutunze huenda utakufaa huko mbeleni.
 
labda ww ndo umempa binafsi namini nafasi amenipa mwe'yewe
Kwanza nianze kwa kusema mimi ni mtu ninayeamini katika kutii mamlaka na kuiheshimu.

kwakusema hivyo namuunga mkono rais na serikali na ninatii na kuheshimu hatua wanazochukua katika kuongoza taifa letu.

Watu tusijifanye tunajua sana kuhusu corona kiasi cha kuona kama rais na serikali wamepotea na hawajui lolote ktk kupambana na corona. Kama mna mbinu zitajeni na mueleze wapi ambapo zimefanya kazi, mbona kwote wanapambana tu na hakuna aliyefika bado. Acheni dharau kwa serikali yenu ndugu zangu.

Umekaa tu kwenye keyboard unajiona unakila haki ya kuona serikali haiwezi, mengi mnayoshauri mnaiga tu kwa nchi nyingine zinavyohangaika wala hakuna mwenye jipya na mjue nayo serikali inaona huko wanavyofanya lakini haikurupuki tu kama wewe eti wakiona wale wamefanya hivi hapo hapo nasisi tuseme waTz fanyeni hivi. Acheni zenu.

Magufuli kama anajua chanjo na mabarakoa yanaondoa kabisa corona anaanzaje kuyazuia tena itamnufaisha nini yeye kukataa chanjo we jiulize usikurupuke tu kujidai unajali Watanzania kuliko rais na serikali.

Tumempa nafasi tumwache afanye anachokiamini ni kwaajili ya manufaa ya taifa ili akikosea au akipatia iwe lawama kwake au hongera kwake sio miluzi mingi kila mtu anataka rais afanye analotaka yeye hapo itakuwa nyie ndio rais sio yeye.

wote tunajua Mungu anaweza yote rais kasema tumuombe Mungu. Wewe tii kama huamini tumia hizo mbinu zako. Mimi na nyumba yangu tutamtegemea Mungu aliyetuvusha atatuvusha na rais na serikali yote tutakuwa salama kwa jina la Yesu. Amen.

hongera rais kwa kutuongoza njia sahihi, tupo tunaokuunga mkono na kutii mamlaka ya serikali.

Mungu akulinde Rais wetu Magufuli na serikali yako na atatuvusha salama wote tunaomwamini. Asiyeamini hata kama yupo serikalini atajua mwenyewe.

Utukufu kwa Mungu juu, na amani iwe duniani kwa wote aliowaridhia.

Amen
 
Rais ana vyanzo vingi vya taarifa kuliko sisi tunaotegemea simu janja kujimwambafai.
 
Yaani unaona kabisa dereva anasinzia sinzia...afu ukae kimya !!

Una wajibu wa kufanya kitu kama abilia sababu goma akilipeleka mtaroni wote mnateketea.
 
Nikweli ila Raia wanakumbuka katiba inavyo tuongoza inasema Serikali haina dini ila watu wake wana dini ndio maana hakuna wizara ya mambo ya dini bali dini ni kisehem ktk wizara ya sheria. Ila mwisho nikweli kwa katiba yetu no way zaid yakutii anayosema mkuu maana katiba imempa mamlaka so tuwe wapole.
sio kweli. Serikali ya TZ inadini. Hiyo katiba hakuna anaeifuata. Kama walikuwa ni watu wa kufuata katiba basi tanzania tungelikuwa na raisi mwengine na sio pandikizi.
 
Back
Top Bottom