Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu aje tena wa awamu ya 7 nae ajiundie wizara zake ama aipangue ama aiunganishe ama azimegue. NonsenseSijui kama ni waandishi wetu au ndio mpango ila Maendeleo hayachagui jinsia
View attachment 2046953
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
KAZI IENDELEE
Sijui kama ni waandishi wetu au ndio mpango ila Maendeleo hayachagui jinsia
View attachment 2046953
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
KAZI IENDELEE
Wanaume hatuthamanikagi ndugu dunia hii sio yetu usishangae kabisa!samia ni mbaguzi, wizara ya wanawake na watoto ndio nini? kwaiyo wanaume sio watu?
... JPM alipounganisha wizara hizi mlisifu mno; miezi 9 baadaye rais mwingine karudisha zilivyokuwa mwanzo mnasifu tena kwa nderemo na vifijo! Are you OK upstairs you guys?Sijui kama ni waandishi wetu au ndio mpango ila Maendeleo hayachagui jinsia
View attachment 2046953
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
KAZI IENDELEE
... JPM alipounganisha wizara hizi mlisifu mno; miezi 9 baadaye rais mwingine karudisha zilivyokuwa mwanzo mnasifu tena kwa nderemo na vifijo! Are you OK upstairs you guys?
... wanabahatisha?Kabla hujauliza kama watu wako kichwani upstairs shirikisha upstairs zako kujua sababu ya kuziunganisha na sababu ya kuzitenganisha
Halafu hebu kanionyeshe pale uliona vifijo vyangu na nderemo kwa hilo😂😂😂
Wanaume hatuthamanikagi ndugu dunia hii sio yetu usishangae kabisa!
... jibu swali.We unaonaje😃😃😃
Usitupake mafuta kwa mgongo wa chupaKENZY
Mwanaume wewe ni mtu muhimu na wa thamani sana
Yani wanaume mnasifiwa hamtaki[emoji28] Mkwaje nyie?www.jamiiforums.com
Mbona mnatubagua na sisi wanaume tunataka wizara yetuSijui kama ni waandishi wetu au ndio mpango ila Maendeleo hayachagui jinsia
View attachment 2046953
Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote
KAZI IENDELEE
... unanipotezea muda!Hilo uliloliita swali ni swali?
Sawa Kama umeona hilo naona jamaa yetu anatuwakilisha vizuri..😀Huo ndio ukweli
Wanaume ni wa muhimu na wa thamani mnooo