Chosen man
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 543
- 755
Ndio maana nchi zenye watu wenye akili, mfano USA wana wizara 15 tu ambazo zipo kwenye katiba, sio kila anayekuja anakuja na wizara zake mfukoni.... JPM alipounganisha wizara hizi mlisifu mno; miezi 9 baadaye rais mwingine karudisha zilivyokuwa mwanzo mnasifu tena kwa nderemo na vifijo! Are you OK upstairs you guys?
HOVYO KABISA.