Walakole wanajiliwaza😀Hao marubani wakirudi wote wanauliwa na Myahudi.
Tena ukute 90% ya hao marubani ni MOSSAD
Usikute wamepeana bure hiyo ya kusema kuuziana ni kutufanya watoto tu.Nilijua atampa bure kama Swahiba yake lakini kumbe ni biashara
We unapenda vitu vya bure? Njoo nikupeNilijua atampa bure kama Swahiba yake lakini kumbe ni biashara
Mpaka Wajifunze Waweze Vita ItAkuwa ImeishaNilijua atampa bure kama Swahiba yake lakini kumbe ni biashara
Sasa wanalia lia nini Iran kuwa karibu Urusi.Vita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao
Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaid
Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama
Vita ndiyo vinaanza Gaza tu mabasha zako wamekata mwaka mzima hawajui hata mateka walipo.Mpaka Wajifunze Waweze Vita ItAkuwa Imeisha
Iran ni wayahudi fuatilia vzr wayahudi wapo hadi saudi walizagaa kote!Ungejua kwamba kwenye jeshi na Baraza la mawaziri wa Iran Kuna wayahudi waliopandikizwa usingeanza kushangilia.
Kama kitu gani?We unapenda vitu vya bure? Njoo nikupe
Hizo propaganda za kishoga leo mwaka mzima Hamas kawashinda😀Hii haitakua Mara ya kwanza kwa myahudi kuwapiga waarabu walio ungana.
1967 waliwapiga
1973 waliwapiga
Ndio maana misri safari hii hataki ujinga.