Snowden E
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 1,668
- 2,908
Sawa jasusi....Ungejua kwamba kwenye jeshi na Baraza la mawaziri wa Iran Kuna wayahudi waliopandikizwa usingeanza kushangilia.
Tutajie hata mmoja...Au ndiyo story kutoka kwa mla kondoo gwajima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa jasusi....Ungejua kwamba kwenye jeshi na Baraza la mawaziri wa Iran Kuna wayahudi waliopandikizwa usingeanza kushangilia.
inasikitisha sana hao MOSSAD kushiriki kurusha zile kombora kwenda kwenye nchi yao israel wiki iliyopita...ndo kusema washaanza kuipenda Iran auHao marubani wakirudi wote wanauliwa na Myahudi.
Tena ukute 90% ya hao marubani ni MOSSAD
Hv kwanza Hamas tayari? Rais wa Brazil alisema fanyeni mazungumzo Vita Ni hasara kwa pande zote,,,haina Cha Myahudi Wala ndugu yake na YesuVita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao
Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaidi
Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama, kama hujawi ona sterling akiuwawa, mwangalie Iran,
Ila ni vema Mungu aamuru ugonvi kabla haujatokea
Hasira ya Myahudi dhidi ya baba mzazi wa magaidi haitakuwa poa
wacha utoto wewe...Ungejua kwamba kwenye jeshi na Baraza la mawaziri wa Iran Kuna wayahudi waliopandikizwa usingeanza kushangilia.
We nani kakudanganya 1973 Israel alishinda!?Hii haitakua Mara ya kwanza kwa myahudi kuwapiga waarabu walio ungana.
1967 waliwapiga
1973 waliwapiga
Ndio maana misri safari hii hataki ujinga.
Ua,vyuma buku vigeuze tel aviv kifusiNdege hizo hata kabla hazijafika Iran na marubani wao watauliwa na myahudi, tena kule kule Russia, najua huamini, ila muulize General wa Iran wa Jeshi aliyempokea Sulemani aliyeuawa na US kwa drone, kakimbia hajulikani alipo,..!!
Myahudi kaamua kuwafagia proxies wa Iran wote na sponsors wao Iran atakuwa kama Iraq, sbb dunia nzima na US Military wameamua kummaliza Iran ila wasitangaze, utaona kama jana ndege vita 100 za IDF zimepiga vibaya sana sites 120 za Hezbollah wanafagia fagia sana mabaki, baada ya hapo proxies wakiiisha wanaenda kwa Sponsor wao Iran, wanafagia kabisa
Wagalatia😂😂Wagalatia kwa kujifariji bana walikuwa wapi kuzia makombora kutua Tel Aviv?
Hao sio Wayahudi ni wazayuni “Zionists.”Vita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao
Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaidi
Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama, kama hujawi ona sterling akiuwawa, mwangalie Iran,
Ila ni vema Mungu aamuru ugonvi kabla haujatokea
Hasira ya Myahudi dhidi ya baba mzazi wa magaidi haitakuwa poa
Israel ni rungu la Mungu kuponda uzao wa nyoka na majoka.Vita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao
Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaidi
Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama, kama hujawi ona sterling akiuwawa, mwangalie Iran,
Ila ni vema Mungu aamuru ugonvi kabla haujatokea
Hasira ya Myahudi dhidi ya baba mzazi wa magaidi haitakuwa poa
Hao marubani 90% ni Mossad na watauwawa na wayahudi. Hivi Huwa mnaelewa hata mnachokiandika au mnakuwa mmechanganyikiwa?Hao marubani wakirudi wote wanauliwa na Myahudi.
Tena ukute 90% ya hao marubani ni MOSSAD
Muyahudi wa MAKWENJE hujui lolote kwa taarifa yako ndege za Iran zinaenda Lebanon na kutua na kurudi Iran. Mkiwa kwenye vigango vyema mnadaganyana sana, ukiona Iran anatagaza jambo lake ujue kaishamaliza wewe punguani.
Wazayuni ndio Mayahudi mkuu.Hao sio Wayahudi ni wazayuni “Zionists.”
Naona kijana unanizoea, nitakukata mapumbu yote utakuwa hanithi, stupid, ww Mu Iran wa Buza akili zero kabisa, kazi kupiga kichwa chini hadi kiwe cheusi, hopeless and hooligan..!!
Yaani Iran wa kumtisha Israel? Ww kichwa kibuyu kabisa, kobaz akili zero kabisa hata simu unayotumia chip yake hujui nani katengeneza, name even a single invention from Iran. Akili huna kazi madrassa tu, pumbaf kabisa
elimu yako uliishia darasa la ngapi???Wazayuni ndio Mayahudi mkuu.
Hawana tofauti sana na waislam wa Saudia katika ibada zao ,kuvaa kilemba na vikofia kichwani na Kanju na Kufuga ndevu na kusali kutwa mara tano na Kulipa kisasi jino kwa jino .
Wengine ni mchanganyiko tu kama zilivyo nchi nyingine lakini mazayuni ndio Mayahudi hasa wanaoongea kiebrania na dini yao ni Ya kiyahudi
Mpaka huumida, Hezbollah hawana kiongozi mkuu wao, kila ikitokea kapendekezwa mmoja wao, wanakataaAmalizane na hizbullah ya wapi!?..labda amalizwe yeye
Russian Su-30SM and Su-35S fighters were used for air superiority missions during the war. At least seven air-to-air victories were reported over Ukrainian fighters and one over a Ukrainian Naval Aviation Mil Mi-14.Zimeshindwa kufanya kazi Ukraine? Miaka mitatu sasa!!!!
Wewe Malaya msege mimi nikozee?Naona kijana unanizoea, nitakukata mapumbu yote utakuwa hanithi, stupid, ww Mu Iran wa Buza akili zero kabisa, kazi kupiga kichwa chini hadi kiwe cheusi, hopeless and hooligan..!!
Yaani Iran wa kumtisha Israel? Ww kichwa kibuyu kabisa, kobaz akili zero kabisa hata simu unayotumia chip yake hujui nani katengeneza, name even a single invention from Iran. Akili huna kazi madrassa tu, pumbaf kabisa
Kiongozi wao ambaye uliambiwa kauawa, kaongea muda si mrefu live aljazeera,hao 500+ waliouawa kakwambia nani!?Mpaka huumida, Hezbollah hawana kiongozi mkuu wao, kila ikitokea kapendekezwa mmoja wao, wanakataa
Na mpaka muda huu tokea waanze kuuliwa magaidi hao, no inacheza kwenye 500+
Wanaukumbi.
Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!
kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.
View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
So we ni mdau?Mi nataka kila kitu niwe nakulipia maana unapenda vitu vya bure