gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Amalizane na hizbullah ya wapi!?..labda amalizwe yeyeVita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao
Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaidi
Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama, kama hujawi ona sterling akiuwawa, mwangalie Iran,
Ila ni vema Mungu aamuru ugonvi kabla haujatokea
Hasira ya Myahudi dhidi ya baba mzazi wa magaidi haitakuwa poa
Na kama ndio vichwa dagaa itawachukua muda mrefu ku-master gia zakeMpaka Wajifunze Waweze Vita ItAkuwa Imeisha
LabdaUsikute wamepeana bure hiyo ya kusema kuuziana ni kutufanya watoto tu.
Wataje kwa majina hao wayahudi...punguzeni chai wajombaUngejua kwamba kwenye jeshi na Baraza la mawaziri wa Iran Kuna wayahudi waliopandikizwa usingeanza kushangilia.
Si unapenda vitu vya bureKama kitu gani?
Mbona kama kuna viashiria unataka kutuonesha?
Au una sapoti?
Ongeza volumeee Dj tune mkito tu mpaka matumbo yawacheze!Wanaukumbi.
Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!
kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.
View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaukumbi.
Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!
kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.
View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
So una sapoti?Si unapenda vitu vya bure
Apo palestina kwenye kijieneo kdg san ni mwaka sas bado vita inaendeleaMpaka Wajifunze Waweze Vita ItAkuwa Imeisha
Dini yako kwanza ni dini gani?Si unapenda vitu vya bure
Mkuu iran sio waarabu.Hii haitakua Mara ya kwanza kwa myahudi kuwapiga waarabu walio ungana.
1967 waliwapiga
1973 waliwapiga
Ndio maana misri safari hii hataki ujinga.
Hata Urusi Kuna wayahudi ingawa wengi wanajulikana.Ungejua kwamba kwenye jeshi na Baraza la mawaziri wa Iran Kuna wayahudi waliopandikizwa usingeanza kushangilia.
Muyahudi wa MAKWENJE hujui lolote kwa taarifa yako ndege za Iran zinaenda Lebanon na kutua na kurudi Iran. Mkiwa kwenye vigango vyema mnadaganyana sana, ukiona Iran anatagaza jambo lake ujue kaishamaliza wewe punguani.Ndege hizo hata kabla hazijafika Iran na marubani wao watauliwa na myahudi, tena kule kule Russia, najua huamini, ila muulize General wa Iran wa Jeshi aliyempokea Sulemani aliyeuawa na US kwa drone, kakimbia hajulikani alipo,..!!
Myahudi kaamua kuwafagia proxies wa Iran wote na sponsors wao Iran atakuwa kama Iraq, sbb dunia nzima na US Military wameamua kummaliza Iran ila wasitangaze, utaona kama jana ndege vita 100 za IDF zimepiga vibaya sana sites 120 za Hezbollah wanafagia fagia sana mabaki, baada ya hapo proxies wakiiisha wanaenda kwa Sponsor wao Iran, wanafagia kabisa
Zimeshindwa kufanya kazi Ukraine? Miaka mitatu sasa!!!!Wanaukumbi.
Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!
kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.
View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Dadadeeeeeki mazayuni wa buza wana maoni juu ya hili!Former US Secretary of State Pompeo on Iran:
Iran has 500,000 ballistic missiles, meaning it could repeat its recent operations and destroy Israel 2,500 times over.
Mi nataka kila kitu niwe nakulipia maana unapenda vitu vya bureSo una sapoti?