Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Iran imeonya mataifa ya Ghuba kwamba hatua zozote dhidi yake, ikiwa ni pamoja na matumizi ya anga au kambi zao za kijeshi na Israel, zitazingatiwa kama kitendo cha uhasama ambacho kitahitaji majibu sawia, kulingana na afisa mkuu wa Iran, kama ilivyoripotiwa na Reuters.
asitutishe tutaenda na mama wa kuwanyonyesha juu kwa juu our babies.Kichapo lazima
 

Attachments

  • nyonyo.jpeg
    nyonyo.jpeg
    3.3 KB · Views: 1
Unaleta akili za kilokole Iran, mpaka anatangaza basi fahamu mipango kaishamaliza na katoa angalizo.
Iran inatoa tishio kubwa zaidi, ikisema kwamba nchi yoyote ya Ghuba itairuhusu Israel au Marekani kutumia anga yao kwa mashambulizi ya anga dhidi ya Tehran, basi Utawala wa Kiislamu utalipiza kisasi dhidi ya mataifa YOTE ya Ghuba!
How long does it take to become an F 35 pilot?Become A Fighter Pilot.
These two courses take approximately three weeks to complete. Pilots will then attend Introduction to Fighter Fundamentals (IFF) lasting about 3 months. Finally, pilots will attend the F-35 Basic Course (B-Course) lasting approximately 9 months at either Luke AFB or Eglin Air Force Base.
LABDA KAMA WANAFUNDISHWA NA BI MKUBWA WAKO KURUSHA UNGO HAPO SAWA NI MASAA 2 TU
 
How long does it take to become an F 35 pilot?Become A Fighter Pilot.
These two courses take approximately three weeks to complete. Pilots will then attend Introduction to Fighter Fundamentals (IFF) lasting about 3 months. Finally, pilots will attend the F-35 Basic Course (B-Course) lasting approximately 9 months at either Luke AFB or Eglin Air Force Base.
LABDA KAMA WANAFUNDISHWA NA BI MKUBWA WAKO KURUSHA UNGO HAPO SAWA NI MASAA 2 TU
Angalia hili shoga la kilokole linalitea copy and paste🤣

Iran kaishapeleka siku nyingi marubani kusoma na wamerudi baada ya kumaliza kila kitu ndiyo wametoa taarifa sasa wewe punguani ufahamu lolote, halafu bi mkubwa wako jana nilikuwa naye namtafuna, ukiija na maneno ya shobo utakimbia mwenyewe utakutana na bokora mimi ndiyo kiboke yenu nyie mashoga mnaojiuza JF.
 
Muisrael mweusi analipoti kutoka MAKWENJE.

Mbona Gaza waliingia pamoja na kukatazwa na hao Marekani na Ulaya kwa nini Iran unaleta siasa😃
Nilisha wambia Isreal hagusi Iran watasubiri kama wanavyo msubiri Yesu Wanacho jaribu ni kumbembeleza Iran wajidai wamepiga Iran, wawekewe hata matank ya petrol wayapige yawake moto ili wachukue video waseme wamepiga huko Iran na Iran kakataa 😄
 
Angalia hili shoga la kilokole linalitea copy and paste🤣

Iran kaishapeleka siku nyingi marubani kusoma na wamerudi baada ya kumaliza kila kitu ndiyo wametoa taarifa sasa wewe punguani ufahamu lolote, halafu bi mkubwa wako jana nilikuwa naye namtafuna, ukiija na maneno ya shobo utakimbia mwenyewe utakutana na bokora mimi ndiyo kiboke yenu nyie mashoga mnaojiuza JF.
ISRAEL mtoa roho amewafanya hizibolah viwete na wengine pummbu zimengolewa, ata kupiga pneto kama wewe awawezi masikini hapa wana lia lia tu awana mbele wala nyuma
 

Attachments

  • ssstwitter.com_1728380654411.mp4
    5.3 MB
ISRAEL mtoa roho amewafanya hizibolah viwete na wengine pummbu zimengolewa, ata kupiga pneto kama wewe awawezi masikini hapa wana lia lia tu awana mbele wala nyuma
At least eight Israeli soldiers were killed in southern Lebanon on Wednesday, marking the deadliest Israeli military loss against Hezbollah this past year and the first reported ground clash since Israel invaded its northern neighbor the day before.
 
Wanaukumbi.

Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!

kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.

View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw


Yale mashetani yaliyolaaniwa, na nyau wao wataisoma number

Watetezi wa taifa la mashoga mpoo!
 
Muisrael mweusi analipoti kutoka MAKWENJE.

Mbona Gaza waliingia pamoja na kukatazwa na hao Marekani na Ulaya kwa nini Iran unaleta siasa😃

Hata Tanzania tukigundua kuwa Kenya Kuna magaidi wanaotumia hiyo nchi kurusha makombora makubwa na mizinga tutaingia kwa sababu serikali yao haitaki kuwazuia kwa hofu ya kugeukwa na hayo magaidi .
Ndio maana wanaingia gaza . Hata Kenya walijaribu kuingia Somalia kuwatafuta magaidi baada ya kulipuliwa mara kadhaa na magaidi. Sasa pale utasema kuwa ni Udini . ?

Mbona mnatuchanganya ? Kuna wakati waislamu wanawakataa magaidi lakini wakiona kuwa magaidi yanapata nguvu na misaada ya pesa wanageuka kuwashambulia tena .
Yaani kwa akili yako unafikiri kuwa Irani itaendelea kuipiga Israel tu na Waisrael wakae kimya watu wao wakiwa wanakufa . Hakuna taifa la aina hiyo duniani linalo angalia watu wake wakiwa wanauawa na magaidi wasiojulikana wanakotokea na hawana suluhu ya kidiplomasia .
 
Iran hapo anapigwa tu, Russia mbona hizo ndege hazijamsaidia Ukraine.!!
 
Iran hapo anapigwa tu, Russia mbona hizo ndege hazijamsaidia Ukraine.!!
Muisrael mweusi anaripoti kutoka ITEWE

Russian Su-30SM and Su-35S fighters were used for air superiority missions during the war. At least seven air-to-air victories were reported over Ukrainian fighters and one over a Ukrainian Naval Aviation Mil Mi-14.
 
Back
Top Bottom