Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
- Thread starter
- #21
Hapana, hayo majimbo yanashikiliwa na warusi (raia wa Russia ambao ni waasi na wataka kujitenga)Sass sijapata koneksheni kama russia inayaachia maana yake inapiga magoti kwa USA
Russia imekuwa ikiwasaidia waasi hao na sasa yataka kuwatambua rasmi.
Ndo maana baada ya leo usishangae kusikia Russia imeingiza majeshi Ukraine (upande huo wa mashariki) na kulinda