ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hii ndio Nchi ambayo Rais ni kama bendera Sasa hana anachiweza kufanya.Rais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo.
Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa.
HakikaI said it before and I'm gonna say it again. Akufaaye kwa dhiki ndiye rafiki.
Nyani katema bungoRais Ruto amegoma kusaini Muswada wa Fedha na kuurudisha Bungeni. Hili limetokea baada ya maandamano yalikuwa yakiongozwa na Gen Z kufanyika zaidi ya wiki nchini humo. Ikulu imeripoti kwamba Rais Ruto anatarajia kuurudisha Mswada huo Bungeni kabla ya Bunge kuvunjwa baadaye leo.
Rais Ruto anatarajiwa kulihutubia taifa muda wowote kuanzia sasa.
Sasa anataka awafundishe polisi kazi??Hii ndio Nchi ambayo Rais ni kama bendera Sasa hana anachiweza kufanya.
Ona anavyoongea Kwa masikotiko πππππππ
View: https://twitter.com/EJ_Mwita/status/1805891440452489546?t=md6l5UxOW7Yauscax7OhfA&s=19
Point. Vinginevyo wanachezeshwa makida.Mind games. Wakenya wanasema wanajua hio trik. Wanataka uftwe kabisa mchakato uanze upya
Hii ni Africa mkuuMpaka watu wafe?... hatuwezi kuwa na njia nyingine ya kudai hizo haki?
Alitishia kutumia jeshi halafu jeshi halimtiiJana anatishia watu nyau..angesain tu leo jeshi lingeingia ikulu....
Hapana; rais ameurudisha na mapendekezo; wabunge wanatakiwa waujadili tena kwa kuzingatia mapendekezo ya rais au waurudishe ule waliompelekea rais. Wakifanya hivyo mara tatu rais anavunja bunge wanarudi kwenye uchaguzikwamaana hiyo bunge lina vunjwa wanaingia kwenye uchaguzi tena?
KWANI SI ULIKUWA UNALETWA KWA NIABA YAKE, ALIYEUPENDEKEZA SI NI WAZIRI WAKE NA KUULETA HAPO LAZIMA ALIMPA KWA UNDANI CONTENTSHatimaye Hustler kapiga chini bill iliyosababisha machafuko nchini Kenya.
Hustler kasimama upande wa wananchi
Eeeeenh kwahiyo anamlaumu Aigi piiiHii ndio Nchi ambayo Rais ni kama bendera Sasa hana anachiweza kufanya.
Ona anavyoongea Kwa masikotiko πππππππ
View: https://twitter.com/EJ_Mwita/status/1805891440452489546?t=md6l5UxOW7Yauscax7OhfA&s=19