Rais Ruto awasimamisha kazi Makamishna 4 waliopinga matokeo ya Urais

Rais Ruto awasimamisha kazi Makamishna 4 waliopinga matokeo ya Urais

Bado tunahitaji Katiba Mpya, hata kama ya Kenya ina mapungufu haina maana na ya kwetu itakuwa na mapungufu kam hayo, muhimu tujifunze kutokana na makosa waliyofanya wakenya ili Katiba Mpya yetu ije kuwa bora zaidi, hatuwezi kurudia makosa waliyofanya wakenya kama unavyodhani, huo ujinga kwetu hauna nafasi.
Wewe na nani mnahitaji katiba mpya; mlikutana wapi? kwa maelekezo ya nani?
 
Bado tunahitaji Katiba Mpya, hata kama ya Kenya ina mapungufu haina maana na ya kwetu itakuwa na mapungufu kam hayo, muhimu tujifunze kutokana na makosa waliyofanya wakenya ili Katiba Mpya yetu ije kuwa bora zaidi, hatuwezi kurudia makosa waliyofanya wakenya kama unavyodhani, huo ujinga kwetu hauna nafasi.
Bila watu waadilifu Katiba mpya Ni karatasi Kama mengine
 
Mkuu ebu ongeza mwanga- toka lini?
HAkupashwa kufanya hivyo kwa vile walijitoa ku support krsi yake. All in all,hiyo ni dosari moja, siyo lundo kama la hapa kwetu takataka! You can not compare with the gross violations in the past six years under Jiwe and to some extent in the current regime!
 
HAkupashwa kufanya hivyo kwa vile walijitoa ku support krsi yake. All in all,hiyo ni dosari moja, siyo lundo kama la hapa kwetu takataka! You can not compare with the gross violations in the past six years under Jiwe and to some extent in the current regime!
Unataka kupendekeza kwamba kuna dhambi ndogo?
 
Hana mamlaka hayo.
Isipokuwa watu kama wewe unarukia tu jambo usiloelewa utaratibu wake ukoje hadi kufikia hatua hiyo ya rais.
 
Si huwa mnasema Kenya Kuna Katiba mpya na Rais hawezi ingilia tume ya uchaguzi Sasa imekuaje?
Hawezi kuwafukuza kazi, yeye amewasimamisha ili uchunguzi ufanyike kisha mahakama iamue, hao si wateule wa rais kwani waliomba kazi wakafanya intaviu na kuajiliwa hivyo hawawezi kifukuzwa kazi na mtu mmoja, tatizo lako ni kupenda sana dhuluma.
 
Hana mamlaka hayo.
Isipokuwa watu kama wewe unarukia tu jambo usiloelewa utaratibu wake ukoje hadi kufikia hatua hiyo ya rais.
Kawasimamisha sasa halafu unasema hana mamlaka hayo
 
Hawezi kuwafukuza kazi, yeye amewasimamisha ili uchunguzi ufanyike kisha mahakama iamue, hao si wateule wa rais kwani waliomba kazi wakafanya intaviu na kuajiliwa hivyo hawawezi kifukuzwa kazi na mtu mmoja, tatizo lako ni kupenda sana dhuluma.
Kwani nimesemaje hapo- kawasimamisha halafu wewe unaleta habari za kawafukuza mbona uko hatua moja mbele- Take my word- watafukuzwa
 
Kawasimamisha sasa halafu unasema hana mamlaka hayo
Huelewi kitu. Hilo jambo limetokea wap kabla ya kufika hapo kwa Ruto, unajua?

Kwa mtu kama wewe huwezi kuelewa taratibu zilizowekwa kufuatwa, unaona tu kilichotokea mwisho.
 
Huelewi kitu. Hilo jambo limetokea wap kabla ya kufika hapo kwa Ruto, unajua?

Kwa mtu kama wewe huwezi kuelewa taratibu zilizowekwa kufuatwa, unaona tu kilichotokea mwisho.
Limepelekwa kwake kwa maana ana mamlaka nalo na kachukuwa hatua ndani ya mamlaka yake- KAWASIMAMISHA KAZI- and that is not a mere opinion- it is a fact
 
Limepelekwa kwake kwa maana ana mamlaka nalo na kachukuwa hatua ndani ya mamlaka yake- KAWASIMAMISHA KAZI- and that is not a mere opinion- it is a fact
Ni 'process' imetumika.
Haukuwa uamzi wake wa moja kwa moja.

Ni sawa na uteuzi, haamki tu na kuteua mtu, kuna process inafanyika.

Kama wewe huelewi hilo, na kulinganisha na haya uliyozoea hapa, utakuwa hujui kitu.
 
Rais William Ruto amewasimamisha kazi makamishna wanne wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa madai ya kukiuka miiko ya utumishi. Makamisha hao walipinga matokeo ya Urais yaliyotangazwa na Mwenyekiti wa Tume hiyo na kudai kuwa hawayatambui.

Makamishna hao, Juliana Cherera, Justus Nyang’aya, Irene Masit na Francis Wanderi wakuwa nje ya ofisi wakisubiri uchunguzi wa Tume ya Mahakama iliyoteuliwa na Rais ikiongozwa na Jaji Aggrey Muchelule.

====
Kenya's President William Ruto has suspended four election commissioners who refused to endorse his win in an August election, the presidency said on Friday, and formed a panel to investigate if they should be removed.

The move has opened a new battle front between the government and the opposition in East Africa's biggest economy and comes after the national assembly asked Ruto to form a tribunal against Commissioners Juliana Cherera, Justus Nyang'aya, Irene Masit and Francis Wanderi.

Raila Odinga, the veteran opposition leader who narrowly lost the August election and eventually accepted the result, rejected Ruto's action against the dissenting commissioners.

"They (Ruto's government) have started a scheme to remove the four who stood for justice," Odinga said on Friday and accused Ruto of trying to seize control of the management of the next election at the cost of acting on the promises he made to Kenyans.

"They want to appoint their own members of the commission to carry out their rigging in 2027," Odinga said, vowing to hold public rallies to consult with Kenyans on the next steps.

The first meeting will be held in Nairobi on Dec. 7, followed by a second one on Dec. 12 at the same venue, he said.

Ruto's office did not respond immediately when Reuters sought a comment on the accusation.

Later on Friday one of the commissioners, Justus Nyang'aya, said he had resigned, local media reported.

"I have always endeavoured to act in the best interests of the country, although my actions, taken in good faith, have been misconstrued," Nyang'aya wrote in a letter to Ruto, according to Citizen TV.

Nyang'aya did not immediately respond to a request for comment.

The four commissioners had held a parallel news conference on Aug. 15 to say they could not be party to the results that were being announced live on television by the chairman and two other commissioners.

The dispute proceeded to the Supreme Court, which upheld the election of Ruto and rejected the arguments advanced by the four about the tallying process being opaque.

The court found that a "boardroom rupture" between the commissioners had undermined public confidence, but it was not enough to invalidate the election.

It, however, called for reforms in the Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC). The IEBC was not immediately available for a comment on Friday.

Neither the four commissioners, nor the opposition which is backing them, participated in the parliamentary inquiry into their conduct, protesting that it amounted to being tried in a "kangaroo court".

Cherera, who is the vice chair of the IEBC, did not respond immediately when Reuters sought comment. Wanderi and Masit were not immediately available for comment.

Hii IEBC si inaitwa tume huru, haiwezi kuingiliwa na mtu awaye yote!?
Kama rais anawafukuza makamishna, Sasa uhuru wa tume uko wapi!?
 
Ni 'process' imetumika.
Haukuwa uamzi wake wa moja kwa moja.

Ni sawa na uteuzi, haamki tu na kuteua mtu, kuna process inafanyika.

Kama wewe huelewi hilo, na kulinganisha na haya uliyozoea hapa, utakuwa hujui kitu.
Sijui umeelewa ulichoandika maana yote yanabomoa hoja zako.
 
Back
Top Bottom