Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi !!.
Watayatuliza tu hayoJe, yakimzidi Ruto atakimbiliwa wapi? Ana options mbili ya kwanza ni Uganda na ya pili ni Tanzania, ila popote atakapoenda Raila atamfwata tu.
Ukombozi umekaribia, Taifa gesi ni Wizi, …
Ila katiba inaruhusu Wapinzani kufanya Maandamano kujaribu kumpindua Rais??Katiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda!
Maandamano yanaruhusiwa Kwa lengo la kumpindua Rais??.hao wanatofauti gani na Waasi ?.Ndiyo, maandamani yanaruhusiwa kama kuna anayehusika ni Polisi lkn siyo Jeshi!
Maandamano yanaruhusiwa Kwa lengo la kumpindua Rais??.hao wanatofauti gani na Waasi ?.
Mubarak aliondoshwa kwakua waasi wale walifadhiliwa Silaha, Pesa , nawakati huo huo Jeshi la police lilikua tayari limeshaingiliwa.Hata kama ni waasi maadamu ni Wakenya Jeshi halina business ya kuingilia, haijalishi nini kitatokea, hiyo ndiyo Katiba, uliona Egypt Mubarak alivyoondolewa? Jeshi lilikaa pembeni Kikatiba Jeshi haliruhusiwi kugusa raia, ni Tanzania tu Wanajeshi huoiga na kutesa raia wanaopaswa kuwalinda,…
Ndoto za AlinachaJe, yakimzidi Ruto atakimbiliwa wapi? Ana options mbili ya kwanza ni Uganda na ya pili ni Tanzania, ila popote atakapoenda Raila atamfwata tu.
Ukombozi umekaribia, Taifa gesi ni Wizi, …
Mubarak aliondoshwa kwakua waasi wale walifadhiliwa Silaha, Pesa , nawakati huo huo Jeshi la police lilikua tayari limeshaingiliwa.
Kuanzia hapo wakamchukia hadi leo hiiNimekumbuka baada ya uchaguzi 2015, Ukawa walitaka kuitisha maandamano. Marehemu akasema sawa, akawa wanajeshi sare za Polisi na alikuwa serious na hilo alidhamiria hasa kuwaonesha yeye ni nani. Nadhani wenye busara waliwashauri viongozi ukawa wakasitisha
wamegongwa leo halafu unahadaa wajinga jf.Kwa Hali jinsi ilivyo Nairobi raila sio wa kupuuzwa kabisa!! Haya maandamano hawezi kukabiliana nayo