Rais Ruto kukimbilia Tanzania?

Rais Ruto kukimbilia Tanzania?

Kwahiyo hao Raia hata wakifanya ujinga Jeshi hawaruhusiwi kuwapiga? Juzi tu hapa RUTO alitoa amri jeshi likapambane na wezi wa Mfugo au unajitoa ufahamu?
Mafunzo jeshi wanayopitia ukiwaelekeza kwa raia wako inabidi utangaze hali ya hatari. Raia jeshi lao ni polisi.
 
wewe huna akili Ruto wa kukimbia au raila ndio akimbie, ruto na makufuli mwendo wao hauna tofauti
Kumbuka na wananchi wa Kenya na Maiti ni tofauti...wananchi wa Kenya wakiamua anakimbia mbona mapema sana. Kama yule mzee mjuaji wa Tunisia alikimbia sembuse Ruto.
Shida ni angle ya kuiangalia hili jambo...Bahati mbaya maandamano yameanza kwenye miji mikuu yote kwa pamoja.
Let's us see
 
Je, yakimzidi Ruto atakimbiliwa wapi? Ana options mbili ya kwanza ni Uganda na ya pili ni Tanzania, ila popote atakapoenda Raila atamfwata tu.

Ukombozi umekaribia, Taifa gesi ni Wizi, …
Ni upepo tu utapita 😊😊
 
Nimekumbuka baada ya uchaguzi 2015, Ukawa walitaka kuitisha maandamano. Marehemu akasema sawa, akawapa wanajeshi sare za Polisi na alikuwa serious na hilo alidhamiria hasa kuwaonesha yeye ni nani. Nadhani wenye busara waliwashauri viongozi ukawa wakasitisha maandamano
Maskini jiwe,amebaki kuwa historia inayozungumzwa vibaya na kila mtu
 
Je, yakimzidi Ruto atakimbiliwa wapi? Ana options mbili ya kwanza ni Uganda na ya pili ni Tanzania, ila popote atakapoenda Raila atamfwata tu.

Ukombozi umekaribia, Taifa gesi ni Wizi, …
Haendi popote
 
Ila Raila nae kaipeleka kisiasa sana kawapandisha mori watu hafu anakuja kuwaambia watakuwa wanaandamana kila jumatatu then what ?
Hakuna maandamano ya Namna hii
 
Katiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Wanajeshi wa Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda, Tanzania Wanajeshi wanapiga raia waliopaswa kuwalinda!
Umeanza vizuri hoja yak,
Ukamalizia kwa mfano wa uongo,
Hii inafanya hoja yako kuwa dhaifu na isiyo na mashiko, lini na wap Mwanajeshi wa Tanzania alimpiga rai kwa muktadha wa kisiasa?
 
Katiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Wanajeshi wa Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda, Tanzania Wanajeshi wanapiga raia waliopaswa kuwalinda!
Aliyekudanganya ni nani.....Hawa ni wanajeshi zaidi ya 2000 wakiwa na silaha kuzunguka maeneo mbalimbali ya Bunge la marekani sasa jichanganye kujifanya kiherehere uone cha moto....

 
Je, yakimzidi Ruto atakimbiliwa wapi? Ana options mbili ya kwanza ni Uganda na ya pili ni Tanzania, ila popote atakapoenda Raila atamfwata tu.

Ukombozi umekaribia, Taifa gesi ni Wizi, …
Sasa Ruto ana husiana nini na Taifa gas?
 
National guard ni kama mgambo hapa Tanzania.
Aliyekudanganya ni nani.....Hawa ni wanajeshi zaidi ya 2000 wakiwa na silaha kuzunguka maeneo mbalimbali ya Bunge la marekani sasa jichanganye kujifanya kiherehere uone cha moto....

 
Kuanzia hapo wakamchukia hadi leo hii
Hawawezi kumchukia mana ilikuwa ni project maalumu, wakishamaliza kazi waliyopewa wanarudi kwenye vyeo vyao kama kawaida.
Ni sawa na mpelelezi unaweza kujenga ht mahusiano ya kimapenzi na ww kumbe kuna jambo analitafuta toka kwako.
 
Katiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Wanajeshi wa Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda, Tanzania Wanajeshi wanapiga raia waliopaswa kuwalinda!

Tena hapa unakuta kabisa jeshi wanatumika kupiga wapinzani wasio na silaha, na wanaona sifa!
 
Raila Ali mchallenge Moi akashinda
Raila Ali mchallebge KIBAKI akashinda akapata katiba
RAila Ali mchallenge uhuru akapata handshake akawa kwenye serekali ya uhuru

SASA Anajaribu Tena kwa Ruto nazani huumoto mwingine utamuunguza muda sio mrefu
 
Siyo kweli, Jeshi lilikaa pembeni, ni crime against humanity Jeshi kuattack raia ambao liko kuwalinda, Katiba ya Kenya iko clear.

Mfano Kenya kuna fujo huko north Wafugaji kama Wamasai wanashambulia Polisi na kuwauwa kwa mishale, Polisi waliuliwa kama
Wanyama lkn Serikali ya Kenya haikutuma Jeshi lake ingawaje Polisi walizidiwa unajua ni kwa nini?

Jibu ni kwamba Katiba ya Kenya hairuhusu Jeshi kuwa deployed against raia ni kazi ya Polisi, siyo kama Tanzania Jeshi linatumika dhidi ya boda boda, hilo ni Tanzania tu.
Hamia unakoona panakufaa
 
Katiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Wanajeshi wa Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda, Tanzania Wanajeshi wanapiga raia waliopaswa kuwalinda!
Tanzania tunahitaji kufunga na kuomba.

Ukandamizaji umepelekea mioyo ya watu kufa tamaa kabisa

Watu wanachotegemea ni RAIS kutoka CCM awanasue kwenye mkwamo. Watanzania tunachunguzwa mpaka mawazo yetu

Hali ni mbaya kuliko happy keyboard heroes wanavyojinasibu
 
Back
Top Bottom