Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,154
- 31,246
Sio mara ya kwanza kwao so watayamalizaWakati watu raia wanakufa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mara ya kwanza kwao so watayamalizaWakati watu raia wanakufa?
Sio kweli we Mkenya!.Lete ushaidi we ubwabwa.Katiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Wanajeshi wa Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda, Tanzania Wanajeshi wanapiga raia waliopaswa kuwalinda!
Wajeda wetu hawataki kulike comment yako [emoji1787]Hata kama ni waasi maadamu ni Wakenya Jeshi halina business ya kuingilia, haijalishi nini kitatokea, hiyo ndiyo Katiba, uliona Egypt Mubarak alivyoondolewa? Jeshi lilikaa pembeni Kikatiba Jeshi haliruhusiwi kugusa raia, ni Tanzania tu Wanajeshi huoiga na kutesa raia wanaopaswa kuwalinda,…
Ni lini na wapi JWTZ waliingia mtaani kuwapiga raia. Leta ushahidiKatiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Wanajeshi wa Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda, Tanzania Wanajeshi wanapiga raia waliopaswa kuwalinda!
GESI MTWARA, wmepiga watu na kuua kabisa. Una lingine kiongozi?Ni lini na wapi JWTZ waliingia mtaani kuwapiga raia. Leta ushahidi
Wapi Bwana acha kusingizia Jeshi! Ila Polisi hao nakubaliKatiba hairuhusu Jeshi kutumika dhidi ya raia, ni crime, Wanajeshi wa Kenya na nchi nyingine Duniani siyo kama Wanajeshi wa Tanzania hawaruhusiwi kugusa raia, wako kuwalinda, Tanzania Wanajeshi wanapiga raia waliopaswa kuwalinda!
Kwahiyo hao Raia hata wakifanya ujinga Jeshi hawaruhusiwi kuwapiga? Juzi tu hapa RUTO alitoa amri jeshi likapambane na wezi wa Mfugo au unajitoa ufahamu?
Kumekucha !Je, yakimzidi Ruto atakimbiliwa wapi? Ana options mbili ya kwanza ni Uganda na ya pili ni Tanzania, ila popote atakapoenda Raila atamfwata tu.
Ukombozi umekaribia, Taifa gesi ni Wizi, …
Taifa Gas hii ya Rostam Aziz wa Tanzania?Je, yakimzidi Ruto atakimbiliwa wapi? Ana options mbili ya kwanza ni Uganda na ya pili ni Tanzania, ila popote atakapoenda Raila atamfwata tu.
Ukombozi umekaribia, Taifa gesi ni Wizi, …
Mnakuwaga mnawaza kwa kutumia utumbo mpana?Kwa Hali jinsi ilivyo Nairobi raila sio wa kupuuzwa kabisa!! Haya maandamano hawezi kukabiliana nayo
Mkuu hata mimi naona wapinzani wake hiyo ndio plan A yao ila wameanza na plan BRuto anatafuta kujipeleka mwenyewe kwa mara ya pili The Hague
Nchi nyingine wanakeshi wanao husika na Family za viongozi ni wachache sana,huku kila kiongozi wa ccm kuanzia mjumbe,mwenyekiti,Diwani,Mbunge na ndugu wa rais wana ndugu zao Jeshini.Hata kama ni waasi maadamu ni Wakenya Jeshi halina business ya kuingilia, haijalishi nini kitatokea, hiyo ndiyo Katiba, uliona Egypt Mubarak alivyoondolewa? Jeshi lilikaa pembeni Kikatiba Jeshi haliruhusiwi kugusa raia, ni Tanzania tu Wanajeshi huoiga na kutesa raia wanaopaswa kuwalinda,…
Anatafuta hand shake huyo! Mzee mpumbavu sana!Ila Raila nae kaipeleka kisiasa sana kawapandisha mori watu hafu anakuja kuwaambia watakuwa wanaandamana kila jumatatu then what ?
Wakaambiwa, watapigwa tu wakaufyata!Chadema Kuna kipindi walitaka kuletea huu ujinga
😂😂 hovyo sana hawa jamaa,walibaki Twitterni wahamasishaji wakiwa marekani na ubeligijiWakaambiwa, watapigwa tu wakaufyata!