Rejea kipindi cha Kikwete huyu kwenye issue ya udini huwa yuko tayari kutembea hata na bikini ili mradi aliyepo madarakani ni kundi lakeKatika kuelezea kwako sakata la Dubai na uwekezaji hapa nchini naona unaandika kwa haraka na kukosa umakini wa uandishi kila unapo andika.
Kenya unaita Kenye nk.
Naona wewe ni mhusika Mkuu wa karibu kabisa wa huu uwekezaji unaoupigia chapuo kwa jasho na damu.
Sisi hatuukatai mkataba wala Waarabu, tunakataa vipengele vyake tu. Rekebishani tu mfanye nao biashara bila wasi wasi.
Kuloga ni ujanja.Unafikiri kila mtu anao ulozi?Ulozi siyo makalio kwamba kila mtu anayo!πππNdo huo sasa ambao umepitwa na wakati, watu wanataka kwenda mbele wewe na genge lako mpo kuroga tuu.
Hapo ndipo kwangu. Karibu sana, Ma shaa Allah matunda kula mpaka uhare, bure. Mabwawa ya samaki wewe chota tu ukajipatie kitoweo na jirani zako, bure. AlhamduliLlah."Akili mgando ndio tatizo hapa
FaizaFoxy anakaa mkuranga hapo kwa mkanada hongera kumbe Jirani yangu,haisee pazuri kweli kama ulaya hongera sana.
Tangu nianze kuwasikiliza wanaotetea mkataba Kila anayetetea, anaelezea faida za uwekezaji na uwezo wa DP World kitu ambacho Kila Mwananchi anakijua. Vilivyomo ndani ya mkataba ndio watu wanavipinga! Kwanini msiyajibu maswali yanayoulizwa ndani ya mkataba? Kwani mnadhani sisi hatujui umuhimu wa uwekezaji au uwezo mkubwa wa DPW? Au mnadhani Kuna yeyote hapendi tumweke mwekezaji atakayefanya Bandari zetu zifanye vizuri zaidi?Jibuni hoja za kwenye Mkataba tumalize malumbano, mkishimdwa, mkataba ufutwe, mchakato uanze upya wenye ushirikishwaji basi!Mimi natamani sana DP World waanze kazi leo kabla ya kesho. Nafahamu faida zake. Namshuru Mwenyezi Mungu nilipata "exposure" kubwa sana duniani huko.
Naifahamu Dubai na jinsi wanavyofanya biashara zao kiuaminifu mkubwa sana.
Waulize wafanya biashara na wajasiriamali tu wanaofanya kazi zao na Dubai. Watakueleza.
Lissu anakupa headache sana.Utajuta kumjua.ππHapo ndipo kwangu. Karibu sana, Ma shaa Allah matunda kula mpaka uhare, bure. Mabwawa ya samaki wewe chota tu ukajipatie kitoweo na jirani zako, bure. AlhamduliLlah.
Tanzania ni nchi tajiri sana, Watanzania ndiyo wajinga. Mungu hajatupa vyote, katua nchi tajiri lakini mijitu eti misomi, kama Lussu. Khaa.
Mbona nimeshawaloga.Mnajuta na umangungo wenu.πππkawawangie DP World.
Nyie mnaroga mnawaibia wajinga tu.
Mkataba upi mnaoungolea? Mbona tunaongea kijinga jamani?Tangu nianze kuwasikiliza wanaotetea mkataba Kila anayetetea, anaelezea faida za uwekezaji na uwezo wa DP World kitu ambacho Kila Mwananchi anakijua. Vilivyomo ndani ya mkataba ndio watu wanavipinga! Kwanini msiyajibu maswali yanayoulizwa ndani ya mkataba? Kwani mnadhani sisi hatujui umuhimu wa uwekezaji au uwezo mkubwa wa DPW? Au mnadhani Kuna yeyote hapendi tumweke mwekezaji atakayefanya Bandari zetu zifanye vizuri zaidi?Jibuni hoja za kwenye Mkataba tumalize malumbano, mkishimdwa, mkataba ufutwe, mchakato uanze upya wenye ushirikishwaji basi!
Umejibu ulichoulizwa au unaimba wimbo wa "Jamani"?Hebu bugia ugoro kidogo akili ikurudie!πππMkataba upi mnaoungolea? Mbona tunaongea kijinga jamani?
IGA siyo mkataba wa undeshaji banadri au kingine chochote jamani.
Hatuna mkataba, ndiyo inafanyiwa kazi. Mbona tu wajinga kisi hiki?
Tatizo hata kuroga kwenyewe ni kuwatia watu nuksi kwa mashuzi yenu.Kuloga ni ujanja.Unafikiri kila mtu anao ulozi?Ulozi siyo makalio kwamba kila mtu anayo![emoji23][emoji23][emoji23]
Inshaallah,bila chuki bila unafiki tukajifunze kwa mdada huyu...!fikra duni na mfu ni tatizo!,binafsi najifunza tuachane na Viwanja Vya 20kwa20, tukae kwenye maeneo ya kuanzia ekari na kuendelea.Hapo ndipo kwangu. Karibu sana, Ma shaa Allah matunda kula mpaka uhare, bure. Mabwawa ya samaki wewe chota tu ukajipatie kitoweo na jirani zako, bure. AlhamduliLlah.
Tanzania ni nchi tajiri sana, Watanzania ndiyo wajinga. Mungu hajatupa vyote, katua nchi tajiri lakini mijitu eti misomi, kama Lussu. Khaa.
Siyo nuksi.Ni kuwapumbaza.Tatizo hata kuroga kwenyewe ni kuwatia watu nuksi kwa mashuzi yenu.
si mnayo serikali/nchi yenu ya zanzibar? wauzieni hawa waarabu na si tanganyika yetuLicha ya maandamano yanayoendelea Kenya, Rais Ruto amewakaribisha Saudi Arabia wawekeze wapendavyo na amewataka waitumie fursa ya kufunguwa viwanda kwani Kenya ina mikataba ya misamaha ya kodi ya bidhaa zake nchi za Ulaya.
Pia amewaahidi atawapa wafanyakazi million moja ndani ya muda mfupi, hivi sasa Kenya ina wafanyakazi laki mbili Saudi Arabia.
Katika maongezi hayo, Sai Arabia imewaahidi Kenya kuwapa mafuta ya gharama nafuu ndani ya miezi miwili ili kuwapunguzia tatizo la mfumko wa bei linalowakabili Kenya sasa hivi.
Sasa naelewa kwanini Kenya haina maliasili za kutosha lakini imetupita sana kiuchumi. Wana fikra za kimaendeleo, kinyume na sisi tuna fikra za kichawi za kurudishana nyuma tu.
Ushahidi huu hapa:
Huyo siyo mdada.Andika kikongwe mchawi.πππInshaallah,bila chuki bila unafiki tukajifunze kwa mdada huyu...!fikra duni na mfu ni tatizo!,binafsi najifunza tuachane na Viwanja Vya 20kwa20, tukae kwenye maeneo ya kuanzia ekari na kuendelea.
Nasikia yupo nje wa upinde wake anamafua yuu taabani.Lissu anakupa headache sana.Utajuta kumjua.ππ
Watu wajinga wakati tunakuangalia unavyohangaika na mkataba kibogoyo?πππHayo ni masikitiko, masikitisha sana watu wajinga wajinga.
Tena wajinga kweli kweli.