Rais Ruto wa Kenya amewakaribisha na kuwaahidi kuwapa wafanyakazi million moja Saudi Arabia, kinyume kabisa na Tanzania

Rais Ruto wa Kenya amewakaribisha na kuwaahidi kuwapa wafanyakazi million moja Saudi Arabia, kinyume kabisa na Tanzania

Katika kuelezea kwako sakata la Dubai na uwekezaji hapa nchini naona unaandika kwa haraka na kukosa umakini wa uandishi kila unapo andika.
Kenya unaita Kenye nk.

Naona wewe ni mhusika Mkuu wa karibu kabisa wa huu uwekezaji unaoupigia chapuo kwa jasho na damu.

Sisi hatuukatai mkataba wala Waarabu, tunakataa vipengele vyake tu. Rekebishani tu mfanye nao biashara bila wasi wasi.
Rejea kipindi cha Kikwete huyu kwenye issue ya udini huwa yuko tayari kutembea hata na bikini ili mradi aliyepo madarakani ni kundi lake
 
"Akili mgando ndio tatizo hapa

FaizaFoxy anakaa mkuranga hapo kwa mkanada hongera kumbe Jirani yangu,haisee pazuri kweli kama ulaya hongera sana.
Hapo ndipo kwangu. Karibu sana, Ma shaa Allah matunda kula mpaka uhare, bure. Mabwawa ya samaki wewe chota tu ukajipatie kitoweo na jirani zako, bure. AlhamduliLlah.

Tanzania ni nchi tajiri sana, Watanzania ndiyo wajinga. Mungu hajatupa vyote, katua nchi tajiri lakini mijitu eti misomi, kama Lussu. Khaa.
 
Mimi natamani sana DP World waanze kazi leo kabla ya kesho. Nafahamu faida zake. Namshuru Mwenyezi Mungu nilipata "exposure" kubwa sana duniani huko.

Naifahamu Dubai na jinsi wanavyofanya biashara zao kiuaminifu mkubwa sana.

Waulize wafanya biashara na wajasiriamali tu wanaofanya kazi zao na Dubai. Watakueleza.
Tangu nianze kuwasikiliza wanaotetea mkataba Kila anayetetea, anaelezea faida za uwekezaji na uwezo wa DP World kitu ambacho Kila Mwananchi anakijua. Vilivyomo ndani ya mkataba ndio watu wanavipinga! Kwanini msiyajibu maswali yanayoulizwa ndani ya mkataba? Kwani mnadhani sisi hatujui umuhimu wa uwekezaji au uwezo mkubwa wa DPW? Au mnadhani Kuna yeyote hapendi tumweke mwekezaji atakayefanya Bandari zetu zifanye vizuri zaidi?Jibuni hoja za kwenye Mkataba tumalize malumbano, mkishimdwa, mkataba ufutwe, mchakato uanze upya wenye ushirikishwaji basi!
 
Hapo ndipo kwangu. Karibu sana, Ma shaa Allah matunda kula mpaka uhare, bure. Mabwawa ya samaki wewe chota tu ukajipatie kitoweo na jirani zako, bure. AlhamduliLlah.

Tanzania ni nchi tajiri sana, Watanzania ndiyo wajinga. Mungu hajatupa vyote, katua nchi tajiri lakini mijitu eti misomi, kama Lussu. Khaa.
Lissu anakupa headache sana.Utajuta kumjua.😂😂
 
Tangu nianze kuwasikiliza wanaotetea mkataba Kila anayetetea, anaelezea faida za uwekezaji na uwezo wa DP World kitu ambacho Kila Mwananchi anakijua. Vilivyomo ndani ya mkataba ndio watu wanavipinga! Kwanini msiyajibu maswali yanayoulizwa ndani ya mkataba? Kwani mnadhani sisi hatujui umuhimu wa uwekezaji au uwezo mkubwa wa DPW? Au mnadhani Kuna yeyote hapendi tumweke mwekezaji atakayefanya Bandari zetu zifanye vizuri zaidi?Jibuni hoja za kwenye Mkataba tumalize malumbano, mkishimdwa, mkataba ufutwe, mchakato uanze upya wenye ushirikishwaji basi!
Mkataba upi mnaoungolea? Mbona tunaongea kijinga jamani?

IGA siyo mkataba wa undeshaji banadri au kingine chochote jamani.


Hatuna mkataba, ndiyo inafanyiwa kazi. Mbona tu wajinga kisi hiki?

Halafu ukisikia mkataa wa Kimataifa, basi wewe hata uwe mjinga vipi au uwe mjanja vipi, unajisumbuwa tu. Umoja wa Mataifa ndiyo unaileinda yote. Hakuna ujanja wala ujinga kwemye mikataba ya Kimataifa.
 
Mkataba upi mnaoungolea? Mbona tunaongea kijinga jamani?

IGA siyo mkataba wa undeshaji banadri au kingine chochote jamani.


Hatuna mkataba, ndiyo inafanyiwa kazi. Mbona tu wajinga kisi hiki?
Umejibu ulichoulizwa au unaimba wimbo wa "Jamani"?Hebu bugia ugoro kidogo akili ikurudie!😂😂😂
 
Hapo ndipo kwangu. Karibu sana, Ma shaa Allah matunda kula mpaka uhare, bure. Mabwawa ya samaki wewe chota tu ukajipatie kitoweo na jirani zako, bure. AlhamduliLlah.

Tanzania ni nchi tajiri sana, Watanzania ndiyo wajinga. Mungu hajatupa vyote, katua nchi tajiri lakini mijitu eti misomi, kama Lussu. Khaa.
Inshaallah,bila chuki bila unafiki tukajifunze kwa mdada huyu...!fikra duni na mfu ni tatizo!,binafsi najifunza tuachane na Viwanja Vya 20kwa20, tukae kwenye maeneo ya kuanzia ekari na kuendelea.
 
Licha ya maandamano yanayoendelea Kenya, Rais Ruto amewakaribisha Saudi Arabia wawekeze wapendavyo na amewataka waitumie fursa ya kufunguwa viwanda kwani Kenya ina mikataba ya misamaha ya kodi ya bidhaa zake nchi za Ulaya.

Pia amewaahidi atawapa wafanyakazi million moja ndani ya muda mfupi, hivi sasa Kenya ina wafanyakazi laki mbili Saudi Arabia.

Katika maongezi hayo, Sai Arabia imewaahidi Kenya kuwapa mafuta ya gharama nafuu ndani ya miezi miwili ili kuwapunguzia tatizo la mfumko wa bei linalowakabili Kenya sasa hivi.

Sasa naelewa kwanini Kenya haina maliasili za kutosha lakini imetupita sana kiuchumi. Wana fikra za kimaendeleo, kinyume na sisi tuna fikra za kichawi za kurudishana nyuma tu.

Ushahidi huu hapa:


si mnayo serikali/nchi yenu ya zanzibar? wauzieni hawa waarabu na si tanganyika yetu
 
Faiza

Waache watanzania waamue wao inavyofaa na si kutumia nguvu kiasi hiki

Lini umesikia ndege za Kenya zimekamatwa kwakidaiwa baada ya kuvunja mikataba ?

GESI tulipelekeshwa hivihivi matokeo yake Leo gesi n ghali kuliko nishat yoyote hapa nchini

Mkataba unajadiliwa siku tatu TU kisha unapitishwa kwa nguvu hii haikubaliki hata kidogo

Wakati wa jakaya faiza ulikuwa mstari wa mbele Sana kuukubali utawala ule MZALENDO John alipoingia madarakani ukageuka leo Samia unaunga juhudi

Faiza ungekuwa kila siku unaleta kifungu kimoja unachambua kutuelewesha ingekuwa vema Sana

Juhudi zinungwa kwa juma asha lakn akiwa Benja John Julius hapana
 
Back
Top Bottom