Tanzania Ina watu wapumbavu sana na Kila siku Huwa nasema hii ni madhara ya ujamaa na ujima mbuzi ambao kina Nyerere waliwajaza watu ,Nchi imesalia ya watu wajinga wajinga,walalamishi,wasio na majibu na mdomo mwiiiingi harafu Cha kuonesha hamna..
Natoka mfano mdogo tuu wakati wa Jiwe Ile inaitwa conference Tourism ilikufa kabisaa Kwa sababu ya sera za kindezi,Leo hii Tanzania Iko top 5 Africa Kwa Conference Tourism ndani ya miaka 2 tuu ya Samia na Nchi inapata mabilioni ya Shilingi.
Rais angekuwa na sera za kindezi kwenye uchumi na Biashara sijui ingekuaje,hivyo hivyo na kwenye uwekezaji Tunaenda mbio sana top 5 Africa Kwa Sasa..
Binafsi watu wenye mawazo ya Kijamaa nawachukia na I want them to be swept away na nimeelewa Kwa nini Wazungu walikuwa wanawakata vichwa miaka Ile ya movements za uhuru.