Rais Samia 2021/22 amepunguza mikopo na misaada kutoka nje

Rais Samia 2021/22 amepunguza mikopo na misaada kutoka nje

Kutegemea misaada ni kufa kwa fikra za watawala,tuna raslimali tele zimejaa tumeshindwa zitumia.
Wakati mkoloni alituletea maendeleo kupitia kilimo tu
 
Facts?,yaani nmekufuatilia nikajua uko kwa kazi maalumu,endelea mtalipukia mbele ,watanzania kwa sasa si wajinga ,hayo makaratasi yenu endeleeni nayo kujirisha matango pori
Watanzania gani mkuu,

Hujaona kule KCMC Leo?


Kazi yangu maalum ni kulipigania Taifa langu,

Ikiwa ni pamoja na kuzuia uzushi kama huu kwamba Serikali ya Rais Samia inategemea mkopo,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
 
Mbona tunaipokea sasa kama hatuitegemei.
Mkuu mbona nimeeleza vizuri hapo,

Misaada sio sisi Tanzania pekee tunapokea,

Misaada kwetu ni muhimu sana ila sio lazima,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
 
Kutegemea misaada ni kufa kwa fikra za watawala,tuna raslimali tele zimejaa tumeshindwa zitumia.
Wakati mkoloni alituletea maendeleo kupitia kilimo tu
Unadhani kuendesha bajeti kwa 91.9% sio kujitegemea mkuu?

Tanzania tuko vizuri sana tusijishushe tuko vizuri kimataifa,



#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
 
Unadhani kuendesha bajeti kwa 91.9% sio kujitegemea mkuu?

Tanzania tuko vizuri sana tusijishushe tuko vizuri kimataifa,



#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
Usiamini maneno ya wanasiasa
 
Misaada ya wahisani kutoka 8.2% hadi 8.1% sawa na punguzo la 1%.
Ndio hata kama ingekuwa 8% : 8%

Nilazima tuseme kutokana na wazushi wanavyozusha kuwa awamu ya tano inategemea mikopo na misaada jambo ambalo sikweli,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
 
Watanzania gani mkuu,

Hujaona kule KCMC Leo?


Kazi yangu maalum ni kulipigania Taifa langu,

Ikiwa ni pamoja na kuzuia uzushi kama huu kwamba Serikali ya Rais Samia inategemea mkopo,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
User mpya kazi 2021 maalumu ,hatudanganyiki ,anachokifanya Samia ni muendelezo wa kazi nzuri za hayati Magufuli,kila kitu kilipangwa yaani anasukuma mlevi tu ,sioni jipya kwakwe
 
Usiamini maneno ya wanasiasa
Kwanini nisiamini?

Niwao wanasomesha watoto wangu bure,

Niwao wanaleta umeme kijijini kwetu

Niwao wanapanga bei ya vitu iweje

Unatakaje nisiwaamini?

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
 
User mpya kazi 2021 maalumu ,hatudanganyiki ,anachokifanya Samia ni muendelezo wa kazi nzuri za hayati Magufuli,kila kitu kilipangwa yaani anasukuma mlevi tu ,sioni jipya kwakwe
Sawa mkuu wangu,

Kwakuwa Magufuli ni CCM na Samia ni CCM wewe ungamkono Chama,

Maagufuli kafanya mazuri na mama anayaendeleza analeta na mengine mapya kazi inaendelea,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
 
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Kwa sababu hawataki kuelewa watapinga.
 
Ndio maana Rais Samia anaipunguza kidogo kidogo


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
Hio misaada uliwa na wajanja juu chini Kazi yetu ni kulipa tu.
Bora Watukabidhi miradi wasimamie wao.
 
Hio misaada uliwa na wajanja juu chini Kazi yetu ni kulipa tu.
Bora Watukabidhi miradi wasimamie wao.
Nikweli wanasimamia wao na sisi,

Tusijidharau kama kunamtu anaharibu basi apewe adhabu yeye


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
 
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Acheni kujitoa akili. Ni mbumbumbu ndio anaweza kuamini ushubwada kama huu ulioandika 0.1% ndio umekufanya uache kutegemea misaada. Then unapokea ya nini?
 
Back
Top Bottom