Rais Samia 2021/22 amepunguza mikopo na misaada kutoka nje

Rais Samia 2021/22 amepunguza mikopo na misaada kutoka nje

mfano uliotoa wa biashara ni irrelevant

kilichopo hapa ni unaomba msaada...huwezi kusema unataka both 1 na 0 wakati unaomba msaada..contradiction
Mkuu Ndio maana nikafafanua kuwa,

Sisi bajeti yetu inajitosheleza kwa 91.9%

Hii 8.1.% tupate sawa,

Tusipate sawa

Kazi zitafanyika,Ndicho nilichomaanisha


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Mkuu Ndio maana nikafafanua kuwa,

Sisi bajeti yetu inajitosheleza kwa 91.9%

Hii 8.1.% tupate sawa,

Tusipate sawa

Kazi zitafanyika,Ndicho nilichomaanisha


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
Unaeleweka sana tu jamaa hataki kuelewa
 
Sikulaumu ndugu yang sababu najua umeshalishwa sumu na wachumia tumbo. Wanaojifanya wanapigania masilahi ya wananchi na wanachama wao kumbe ki uhalisia wanapigania matumbo yao.
Tatizo lako ni polisi mbeba bunduki div IV 33
 
Ungesema imemshinda wapi mkuu,

Huu unaofanya ni ujuha tu


#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI
Kuna ni wewe unayejifanya mjuaji kumbe unajipigia debe. Acha watu waone wenyewe mayowe ya nn?
 
Sisi Tanzania kama nchi nyingine duniani tunapokea misaada na mikopo toka nchi wahisani pamoja na mashirika mbalimbali ya kifedha duniani kama World Bank ( WB ),International Monetary Fund ( IMF) African development Bank ( AfDB ), ADB, AIIB, EDRD, ISDB,UNDP,CEDB na mengine mengi ambayo ni multilateral finincial Institutions yaani ( IFIs )

Katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia Suluhu Hassan amejikita zaidi kulipeleka Taifa kwenye kujitegemea kibajeti zaidi kwa kupunguza misaada na mikopo nafuu toka kwa wahisani ( donor country ) kutoka 8.2% ya bajeti ya FY2020|21 hadi 8.1% FY 2021|22 kwa lugha rahisi Rais Samia Suluhu Serikali yake imepunguza asilimia za misaada toka kwa wanaoitwa mabeberu,

Mtakumbuka katika bajeti ya FY2020|21 bajeti kuu ilikuwa ni Tshs 34.88trilioni huku mikopo nafuu na misaada ilikuwa Tshs 2.87trilioni sawa na 8.2% ya bajeti hiyo lakini mwaka huu katika bajeti yake ya kwanza Rais Samia ametenga Tshs 36.33% huku mikopo nafuu na misaada ikiwa ni Tshs 2.96trilioni sawa na 8.1% ya bajeti nzima ya Tshs 36.33trilioni.

Nikweli Tanzania tunapokea misaada na mikopo ya masharti nafuu kama wenzetu mbalimbali na tunaifurahia sana ikiwezekana tupewe tena na tena lakini kamwe hatuitegemei kwa 100% kwa lugha nyingine kukosekana kwa misaasa hakuifanyi Tanzania yetu ishindwe kulipa Mishahara ya watumishi wote wa umma,kuendesha Serikali kikamilifu ,kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo endelevu nchini kama SGR, JNHPP, Usambazaji wa maji safi na Salama mjini na vijijini,kusomesha watoto wote bure,Bima ya Afya kwa wote, REA,Ajira mpya, HESLB kwa kila mwenye sifa,Ununuzi wa ndege mpya 5 na mengine mengi,

Sikiliza hii, ikiwa bajeti yetu ya FY 2021|22 tumepanga kutumia Tshs 36.33trilioni na misaada|mikopo nafuu ni Tshs 2.96trilioni tu,Huku zakwetu sisi wenyewe toka kwenye kodi zetu na mikopo mbalimbali ni Jumla ya Tshs 33.37trilioni sawa na 91.9%,Tujiulize,Je! kama sisi wenyewe tunajitosheleza kwa 91.9% wewe unapata wapi Ujasiri wa kusema Tanzania tunategemea misaada ambayo ni 8.1%?!! acheni kujidharau dunia inatuheshimu sana Watanzania hasa sasa chini ya Rais Samia Suluhu Hassan.


View attachment 1976452VIVA SAMIA || VIVA TANZANIA VIVA
Mungu mbariki Rais Samia,

Mpe kibali cha hali ya juu sana ili atuongoze kwa haki na usawa

Samia safi sana
 
Back
Top Bottom