Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa na shida kichwani, Rais atamfuata kila mwananchi alipo? kinachotakiwa ni system nzuri kuanzia viongozi wa ngazi za chini hadi juu, ataweza kumfikia kila mtu?Mnazungumzia sana demokrasia lakini naona wengi wenu mnaijuwa Domo- krasia.
Rais kuzungumzia na wapiga kura wake macho kwa macho wakiwa maeneo yao ya kuishi, na kuzungumzia kinacho wakera au nini wanataka, hicho ndio kiwango cha juu kabisa cha demokrasia, for president to physically be engaged with his constituents.
Kama anão muda aendelee tuu.
Naomba tafsiri ya neno MAJIANI mkuu.I
Kiukweli awe makini, uho utaratibu haufaiMwendazake ndiyo muasisi wa mtindo huu usiofaa wa kuhutubia majiani.. (naona rais SSH naye anaufanya Mwanza).
Rais anapaswa kutoa hotuba ktk eneo lililoandaliwa vema kiulinzi na kiusalama siyo kusimama majiani.
Kusimama na kuhutubia majiani ni hatari kwa usalama wa rais (rejea tukio la hivi karibuni la rais wa Ufaransa E. Macron kupigwa kibao na mwananchi).
Haya ya kusimama majiani yanawezekana kwa viongozi wanaotawala kwa mkono wa chuma (madikteta tu).
Ni ushauri tu. Mawazo hayapigwi mawe.
Majiani???????????Du !!Lugha ya wapi hii.Mwendazake ndiyo muasisi wa mtindo huu usiofaa wa kuhutubia majiani.. (naona rais SSH naye anaufanya Mwanza).
Rais anapaswa kutoa hotuba ktk eneo lililoandaliwa vema kiulinzi na kiusalama siyo kusimama majiani.
Kusimama na kuhutubia majiani ni hatari kwa usalama wa rais (rejea tukio la hivi karibuni la rais wa Ufaransa E. Macron kupigwa kibao na mwananchi).
Haya ya kusimama majiani yanawezekana kwa viongozi wanaotawala kwa mkono wa chuma (madikteta tu).
Ni ushauri tu. Mawazo hayapigwi mawe.
Huu nao ni mtazamo wako. Wacha tuuheshimuHivi kama raisi hasimami sehem akasikia matatizo ya wananchi wake kupitia vinywa vyao wenyewe atajuaje kama wananchi hao wanashida ya maji, barabara, umeme na kero nyingine nyingi zinazowahusu wananchi wa sehem husika. Kumbuka wawakikilishi wengi wa wananchi wakiwemo wabunge, huwa wanawakilisha tu matatizo ya matumbo yao ili waweze kuongezewa mishahara yao.
Lugha inakuwa. Jiongeze mkuu.Alfu mleta mada majiani ndo nini? Ni barabarani au njiani.....
Watanzania akiwemo JPM, samahani kama sikukutaja mtanzania wewe.Mwanza ni kwa watanzania siyo kwa JPM acheni uzwazwa.
Usukumani halipo hili neno. Njoo Pwani na Zenjibar anbako ndiyo chimbuko la kiswahili.Majiani???????????Du !!Lugha ya wapi hii.
Makalio huchanikaukiiga tembo.
CorrectMwanza ni kwa watanzania siyo kwa JPM acheni uzwazwa.
Mwendazake ndiyo muasisi wa mtindo huu usiofaa wa kuhutubia majiani.. (naona rais SSH naye anaufanya Mwanza).
Rais anapaswa kutoa hotuba ktk eneo lililoandaliwa vema kiulinzi na kiusalama siyo kusimama majiani.
Kusimama na kuhutubia majiani ni hatari kwa usalama wa rais (rejea tukio la hivi karibuni la rais wa Ufaransa E. Macron kupigwa kibao na mwananchi).
Haya ya kusimama majiani yanawezekana kwa viongozi wanaotawala kwa mkono wa chuma (madikteta tu).
Ni ushauri tu. Mawazo hayapigwi mawe.
Mwendazake alitesa, aliteka na kuuwa. Ndiyo maana bado tunamsimanga ili ateswe vizuri huko motoni.Hivi wewe Ni Nani hasa . Umekuwa lini mshauri wa Rais. JPM amekwisha kwenda. Lini mtaacha kuhangaika na kuteseka na marehemu.
Pale mahali kuna maaskari wa kila aina. Mwanza ni kwa JPM ambaye ndio aliyempa umakamu uliompa fursa ya urais.
Nilichogundua ni kwamba huwa anakohoa akisimama na kuhutubia akiwa garini.
Kweli kwa dakika 10-30 anazosimama barabarani anaweza KUFAHAMU shida za wananchi? Vipi wale ambao hawapati fursa ya kuzungumza? Vipi wale walio mbali kama kule Nyambiti, Ng'washilalage, Ng'wabaghole n.k.?Hivi kama raisi hasimami sehem akasikia matatizo ya wananchi wake kupitia vinywa vyao wenyewe atajuaje kama wananchi hao wanashida ya maji, barabara, umeme na kero nyingine nyingi zinazowahusu wananchi wa sehem husika. Kumbuka wawakikilishi wengi wa wananchi wakiwemo wabunge, huwa wanawakilisha tu matatizo ya matumbo yao ili waweze kuongezewa mishahara yao.