Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Upo sahihi lakini huyo mtu kutokana na udhaifu wenu kaweza kugushi vyeti na kupata ajira tena wengi kungekua hakuna huo udhaifu na rushwa hao watu wasingeweza kugushi vyeti Kuna kesi moja SA mwanafunzi baada ya kukosa ajira muda mrefu alitumia udhaifu wa security wa day za serikali akajiali alichukua mshahara bila kwenda kazini alipata huduma ya afya na kadi alitengeneza pia kilichofanya akamatwe alikua hacha ngii mifuko ya jamii tuu...
Wanasheria tena Gel ndio alikua akimsimamia bure ilienda mpaka kufungulia kesi ya fraud tuu kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu hicho kipengele cha udhaifu wa serikali kulinda data zao kilimbeba kesi ya 2019..
Nakuja kwenye hitimisho hao waajiriwa waliajiliwa na serikali kimakosa na kwa muda mrefu wamekatwa nssf zao walipwe maana ni makato kutoka kwenye mshahara wao sio kuwa wanapewa bonus ya kufanya kazi cha msingi tuondoe ubinafsi ili kupata wenye sifa ndio wapate ajira..
 
Mwezi mtukufu huu.
Michango yao waliyokatwa wakati wanatumikia umma ni Hali yao. Sasa kunashida gani, kwani hiyo mifuko wakibaki na hiyo michango wao ndio hazina? Wapewe stahiki zao waanzie maisha Basi. Hao ni watanzania, na ustawi wao ni muhimu pia hata Kama mfumo rasmi wa ajira umewatema.
 
Sheria zipo kwa ajili ya binadamu sio binadamu kwa ajili ya sheria, ndo maana huwa tunahalalisha misamaha ya raisi baada ya hukumu.
Usiongozwe na roho ya aina hiyo, haitakupeleka popote katika siku zako za kuishi.
Na bongo watu wamekua na roho mbaya kwa sababu ya kusema watu wanafata sheria na kila kukicha zinatungwa sheria kama za mkoloni eti kisima chako nyumbani watu wamekutengenezea ulipe Kodi daah haya umetengeneza kisima kikuchwa kwa ajili ya shamba lako inabidi uwafate ulipe hapo Mkulima atakua kweli badala ya wao kukufata kuongeza mbinu zaidi unawafata ili udidimie hayo mazao kutoka shambani mpaka sokoni yatalipiwa kila kitu...
 
Upo sahihi lakini huyo mtu kutokana na udhaifu wenu kaweza kugushi vyeti na kupata ajira tena wengi kungekua hakuna huo udhaifu na rushwa hao watu wasingeweza kugushi vyeti Kuna kesi moja SA mwanafunzi baada ya kukosa ajira muda mrefu alitumia udhaifu wa security wa day za serikali akajiali alichukua mshahara bila kwenda kazini alipata huduma ya afya na kadi alitengeneza pia kilichofanya akamatwe alikua hacha ngii mifuko ya jamii tuu...
Wanasheria tena Gel ndio alikua akimsimamia bure ilienda mpaka kufungulia kesi ya fraud tuu kujipatia fedha kwa njia za udanganyifu hicho kipengele cha udhaifu wa serikali kulinda data zao kilimbeba kesi ya 2019..
Nakuja kwenye hitimisho hao waajiriwa waliajiliwa na serikali kimakosa na kwa muda mrefu wamekatwa nssf zao walipwe maana ni makato kutoka kwenye mshahara wao sio kuwa wanapewa bonus ya kufanya kazi cha msingi tuondoe ubinafsi ili kupata wenye sifa ndio wapate ajira..
Kama walipata ajira kwa njia za udanganyifu hata huo mshahara wao ni haramu na wanapaswa kuurudisha.....hata hayo mafao yao ambayo ni makato ya huo mshahara wa haramu na yenyewe pia ni haramu na hawapaswi kupewa....
 
Michango yao waliyokatwa wakati wanatumikia umma ni Hali yao. Sasa kunashida gani, kwani hiyo mifuko wakibaki na hiyo michango wao ndio hazina? Wapewe stahiki zao waanzie maisha Basi. Hao ni watanzania, na ustawi wao ni muhimu pia hata Kama mfumo rasmi wa ajira umewatema.
Michango iliyokuwa inakatwa ilitoka kwenye mshahara ambao haramu......sio tu hawapaswi kulipwa bali wanapaswa hata kurudisha mishahara yote waliyokuwa wanapokea huku wakijua wao ni matapeli.....UADILIFU UANZIE HAPO KWANZA.....
 
Kama walipata ajira kwa njia za udanganyifu hata huo mshahara wao ni haramu na wanapaswa kuurudisha.....hata hayo mafao yao ambayo ni makato ya huo mshahara wa haramu na yenyewe pia ni haramu na hawapaswi kupewa....
Mtu hawawezi kudanganya miaka kumi au zaidi ninyi mmeweka ubinafsi badala ya kuwaajiri wahusika mmechukua ambao sio wahusika na kuendelea kufanya hivyo huku mtaani vijana wapo tuu ajira hakuna nakubaliana na wewe ila udanganyifu hauwezi kuwa kundi kubwa hivyo tulikua tunajua kinachofanyika...
 
Kikulachochako upo sahihi kabisa Mkuu ila ulielewa vipi ripoti ya CAG aliposema watendaji wenye sifa kwenye sekta ya utumishi wa UMMA wapo asilimia sitini tuu...
 
Mtu hawawezi kudanganya miaka kumi au zaidi ninyi mmeweka ubinafsi badala ya kuwaajiri wahusika mmechukua ambao sio wahusika na kuendelea kufanya hivyo huku mtaani vijana wapo tuu ajira hakuna nakubaliana na wewe ila udanganyifu hauwezi kuwa kundi kubwa hivyo tulikua tunajua kinachofanyika...
Inawezekana kweli serikali ina udhaifu kwenye mfumo wa kuajiri na kuhakiki waajiriwa wake.....lakini udhaifu huu haugeuzi halali kuwa haramu.....

Kuwalipa hawa wahalifu na matapeli ni kuhalalisha uharamia huo na kuwavunja moyo vijana wanaonoa bongo zao huko vyuoni kwenye fani mbali mbali.....matokeo yake tunaunda taifa la matapeli lenye vijana wanaopenda shortcut......

Hii iwe mfano na fundisho kwa walioko kwenye system na wale waliokuwa wanatarajia kufanya hivyo.....
 
Ni dhambi
Mimi sijazuia watu wasilipwe bali nimetoa tu maoni yangu kama wachangiaji wengine.....je ni dhambi kufanya hivyo.....?
Ni dhambi, sababu ni roho ya jiwe, kama una roho hiyo jihesabu uioni pepo, kama jiwe asivyo iona hata tumwombee namna gani, haisaidii!
 
Kikulachochako upo sahihi kabisa Mkuu ila ulielewa vipi ripoti ya CAG aliposema watendaji wenye sifa kwenye sekta ya utumishi wa UMMA wapo asilimia sitini tuu...
Vijana wenye sifa na maarifa ya kutosha wamejazana mitaani
Ni dhambi
Ni dhambi, sababu ni roho ya jiwe, kama una roho hiyo jihesabu uioni pepo, kama jiwe asivyo iona hata tumwombee namna gani, haisaidii!
Kwa hiyo matapeli na wadanganyifu ndio wataiona pepo....??
 
Inawezekana kweli serikali ina udhaifu kwenye mfumo wa kuajiri na kuhakiki waajiriwa wake.....lakini udhaifu huu haugeuzi halali kuwa haramu.....

Kuwalipa hawa wahalifu na matapeli ni kuhalalisha uharamia huo na kuwavunja moyo vijana wanaonoa bongo zao huko vyuoni kwenye fani mbali mbali.....matokeo yake tunaunda taifa la matapeli lenye vijana wanaopenda shortcut......

Hii iwe mfano na fundisho kwa walioko kwenye system na wale waliokuwa wanatarajia kufanya hivyo.....
Mkuu tumechukua hatua gani kwa hiyo 40 % iliyotajwa na CAG ambayo bado ipo hapo maana hatutaki kabisa kuhoji mapungufu ya hao 40% hivi kwenye Nchi au watu wasomi mtaweza kuongozwa na yule subwoofer wa Kongwa ili Nchi iendelee kweli acheni utani bhana...
 
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Mbona wanajeshi kibao na maaskari wana vyeti feki lakin bado wapo makazini,huu upendeleo unauzungumziaje
 
Vijana wenye sifa na maarifa ya kutosha wamejazana mitaani

Kwa hiyo matapeli na wadanganyifu ndio wataiona pepo....??
BOT kuna kipindi kulikua na kashfa ya watoto wasio na sifa kujaa pale unadhani hiyo ni kutokana na nini harafu wenye sifa wapo NMB huko...
 
Vijana wenye sifa na maarifa ya kutosha wamejazana mitaani

Kwa hiyo matapeli na wadanganyifu ndio wataiona pepo....??
Tapeli aliekutibu maleria ukapona, kisa alijiendeleza kwa cheti cha ndugue, ila alitiza majukumu yake, aidha alitumia nafasi iliyoachwa wazi ya sekondari nae akaitumia vema! Unamfukuza kazi dereva kisa cheti, wakati analeseni bora, na mchapakazi safi, upuuzi, walipwe!
 
Mi nachojua walioajiriwa kwa sifa za darasa la saba na muda wao wa kustaafu haujafika bado wanapiga mzigo kama kawa huko Serikalini,ila waliofoji vyeti kwa kujifanya kuwa walifika form four kumbe hawajafika ndio walioliwa vichwa,hawa ni wahalifu,msamaha wa kutowafunga unatosha sana na wamshukuru sana Jiwe kutolivalia njuga hilo,hakuna uhalali wa kuwalipa walichochangia ilhali walikuwa wanakula mishahara ya wizi,kama vp nao warudishe mishahara waliyokinga kipindi chote walichodanganya,over
 
Na sheria hii itekelezwe kwa kada zote zilizopo kwenye ajira ya serikali, nikimaanisha ijumuishe vyombo vya usalama na ajira za kisiasa. Sawa?
Hiyo mimi sitaki kujua,nataka walipwe stahiki yao kisha jamuhuri ifanye kazi yake.Wa darasa la saba hawana shida ila hapa naongelea wenye vyeti feki,Kama ni mmoja wao jiandae usifikirie tu kutumbua mafao baadaye ukaanza kulalamika.Kama kosa la kughushi lina fine andaa mafao yawe malipo ya fine husika.
 
Mi nachojua walioajiriwa kwa sifa za darasa la saba na muda wao wa kustaafu haujafika bado wanapiga mzigo kama kawa huko Serikalini,ila waliofoji vyeti kwa kujifanya kuwa walifika form four kumbe hawajafika ndio walioliwa vichwa,hawa ni wahalifu,msamaha wa kutowafunga unatosha sana na wamshukuru sana Jiwe kutolivalia njuga hilo,hakuna uhalali wa kuwalipa walichochangia ilhali walikuwa wanakula mishahara ya wizi,kama vp nao warudishe mishahara waliyokinga kipindi chote walichodanganya,over
Suala la vyeti feki siyo kufoji tu chet, kuna waliosoma kwa majina ya watu wengine! Mfano kuna Madilu na Bashite, lakini suala la msingi wasiwe na Cheti au wawe na cheti feki, wamefanya kazi?! Kama Mtu amefanya kazi iliyo takiwa siyo mwizi, akipokea mshahara! Hulipwi kwa kuwa na cheti bali kwa kufanya kazi!
 
Kama wewe ni mmojawao imekula kwako
Sasa wewe kilaza mwenye bachelor ya yohana university una tofauti gani na mwenye cheti feki.....si bora hiyo nafasi ibaki wazi kuliko kujazwa na kilaza kama wewe unayejivunia kipeperushi unachokiita cheti.......
 
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
She is looking for cheap popularity,weledi hapo hakuna kabisa.Na hii inapeleka message gani kwa wengine:unaweza kugushi cheti na as long as hujagundulika after time t unapewa haki zako.Very bad precedent.
 
Back
Top Bottom