Kuna kitu kinaitwa kisheria "due diligence" ambapo mwajiri alipaswa kisheria kujirudhisha kabla ya kumwajiri mtu,kama hilo halikufanyika then wote mwajiri na mwajiriwa ni wahalifu tu,hivyo mama Samia amekuja na balancing decision kuwa walichochangia kwenye mifuko ya kihifadhi ya jamii walipwe tu iwe bye bye basi.Usikute kulikuwa na corrupt system ya kuajiri in those days ,sasa hapa hakuna anayepaswa kutema huu mzigo
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....
Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........
Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......