Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Kuna kitu kinaitwa kisheria "due diligence" ambapo mwajiri alipaswa kisheria kujirudhisha kabla ya kumwajiri mtu,kama hilo halikufanyika then wote mwajiri na mwajiriwa ni wahalifu tu,hivyo mama Samia amekuja na balancing decision kuwa walichochangia kwenye mifuko ya kihifadhi ya jamii walipwe tu iwe bye bye basi.Usikute kulikuwa na corrupt system ya kuajiri in those days ,sasa hapa hakuna anayepaswa kutema huu mzigo
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
 
Sheria zipo kwa ajili ya binadamu sio binadamu kwa ajili ya sheria, ndo maana huwa tunahalalisha misamaha ya raisi baada ya hukumu.
Usiongozwe na roho ya aina hiyo, haitakupeleka popote katika siku zako za kuishi.
Kwenye hili wewe haupo sahihi na hauwezi kuwa sahihi. Na utakuwa ni mtovu wa nidhamu tukiachilia mbali kukosa heshima na mifumo ya sheria za nchi.

Sasa hao watu kuachiwa huru kwako huoni ni ubinadamu wa hali ya juu?!

Ulitaka walipwe na wamebainika kuwa walitwaa nafasi za kazi huku mtaani vijana waliosoma kwa bidii na weledi wanalia kukosa ajira.

Na ndio maana tushishangae kwann mashirika ya serikali mengi yanafeli na hayatanuki wala kukua kila siku hasara huku wafanyakazi wakifutuka kwa neema itokanayo na rushwa, utendaji mbovu, uzembe, ufanisi sifuri, na kukosa uwezo.

Wewe unakuja kutetea huo upumbavu tena kwa bidii kabisa na mishipa imekusimama unajiona ni mtu mwenye utu.

Wewe hauna utu, hauna heshima na adabu kwa sheria za inchi, na ni mtovu wa nidhamu. Huna tofauti na hao waliofoji vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hebu acheni kuitia nchi katika laana kisa roho za uzulumati , laana nyingine ya watu ,waliouawa ,tekwa ,fungwa kwenye viroba ,inalitesa taifa hili bado mnataka na kudhulumu mafao yao tena ?.
Nakusikitikia sana. Wewe na huu uzi wako ndio laana kwa inchi yetu. Huwezi kuja kutetea majitu yamefoji vyeti wakati kuna ndugu zako wanalalamika kukosa ajira na wamesoma na uwezo wanao.

Wewe ndio ukoma kwa taifa letu na ndie mnafiki sababu unashindwa kutetea haki unatetea ubadhirifu ukiita haki. Wewe na hii namna ya kufiriki yako ndio laana kwa taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utaku

Utakuta wewe nae una familia inakutegemea kweli?
Kama umesikiliza mwenyewe bado hujaelewa alimaanish nini basi una matatizo.
Rudia kusikiliza ndo uje na mapambio yasiokuwa na maana.

Najua muda si muda mtaanza matusi yenu kumbe ni kwa kutokujua kwenu nini kinasemwa.


Amesema wale walio ondolewa wa darasa la saba na wegine walilipwa na wengine hawajalipwa mafao yao
Huyu nina wasi wasi hata yeye ana vyeti feki sasa anakuja kutafuta sympathy. Anyways kakosea platform labda aende Facebook huko ndipo wapo watu wa ajabu kama yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maoni yako hayana ubinadamu wa kujua hawa watumishi walitumikia hii nchi kuliko hata Jiwe , Wana familia zao na mchango wait wa taifa upo na wamechangia mifuko ya hifadhi ya jamii .
Wewe una matatizo na si madogo. So kwako ni halali mtu kufoji vyeti na kuomba kazi.

Hivi nikupe mfano ambao maudhui yake yanafanania na haya.

Itokee wewe ukiwa katoto kachanga, baba yako mzazi wakati wa ujana wake awe ni mchapakazi sana na mpambanaji ambaye ana mafanikio sana na uwezo kifedha, anauwawa kwa siri na mtu aliyekuwa anajifanya rafiki yake wa karibu sababu ya wivu wa maendeleo.

Huyu mtu anamuua baba yako kwa siri na hajagundulika. Anakutwaa wewe na mali zote za baba yako na kukulea kama damu yake pamoja na watoto wake na unakuja kuwa na mafanikio shukrani zako zote ni kwake na hujui lolote alilofanya kwa wazazi wako.

Siku anatokea mtu ambae alikuja ijua siri na ushahidi anakufahamisha ukweli, kisha wewe baada ya kumbana muhusika anakiri ni kweli alifanya huo unyama, ila ni ujana tu na sasa yeye ni mtu mwema anaomba umsamehe usilifikishe hili swala mbali umsamehe.

Je unaweza kutoa msamaha hapo na kuendelea kuishi nae kama mlezi wako kisa tu amekulea hadi ukubwa au utataka haki kwa baba yako?!


Ukiweza jibu hili swali nitaweza kuelewa uwezo wa upeo wako katika kufirikia sawa sawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa namna umeongea haijalishi una umri kiasi gani aidha miaka 50,40, 30 au chini ya hapo, ila umeonyesha uwezo na utashi mdogo sana wa kufiriki na kuongea mambo ya msingi.

Hivi kabisa unaongea wazi wazi eti kuna watu walitumia vyeti vya watu kujiendeleza, hivi utakuwa mzima kichwani wewe?!

Sasa nikuulize, ni wapi uliambiwa kuwa ni sawa kutumia vyeti vya mtu kujiendeleza au kusomea chochote?!

So kwenye akili yako kufoji vyeti sio kosa, unaonaje mtu afoji vyeti kupata kazi ya udaktari halafu hana background ya utaalamu huo kisha siku ya operation mgonjwa uwe ni wewe anatakiwa kukufanyia upasuaji, utakubali?!

Ndugu hebu ukishindwa kutumia hekima, jaribu hata kuuliza kwa watu wanaokuzidi busara au hekima wakupe muongozo, utakuja kumuabisha mkeo, watoto wako au familia yako siku kwa kuongea mambo ya ajabu mbele za watu wa heshima.


Wewe hauchelewi kusema hata wauza madawa ya kulevya wakikamatwa wasifungwe wala kupewa adhabu yoyote, wanapambana kujitafutia maisha ajira ni ngumu......

Aiseeeee hiki kizazi cha sasa ukikitazama kwa umakini, idadi kubwa ni wasted sperms.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Sifuri. Akili yako imekosa busara ya kujadili mada kistaarabu na ushawishi.
 
Kwenye hili wewe haupo sahihi na hauwezi kuwa sahihi. Na utakuwa ni mtovu wa nidhamu tukiachilia mbali kukosa heshima na mifumo ya sheria za nchi.

Sasa hao watu kuachiwa huru kwako huoni ni ubinadamu wa hali ya juu?!

Ulitaka walipwe na wamebainika kuwa walitwaa nafasi za kazi huku mtaani vijana waliosoma kwa bidii na weledi wanalia kukosa ajira.

Na ndio maana tushishangae kwann mashirika ya serikali mengi yanafeli na hayatanuki wala kukua kila siku hasara huku wafanyakazi wakifutuka kwa neema itokanayo na rushwa, utendaji mbovu, uzembe, ufanisi sifuri, na kukosa uwezo.

Wewe unakuja kutetea huo upumbavu tena kwa bidii kabisa na mishipa imekusimama unajiona ni mtu mwenye utu.

Wewe hauna utu, hauna heshima na adabu kwa sheria za inchi, na ni mtovu wa nidhamu. Huna tofauti na hao waliofoji vyeti.

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalau hapa umejitahidi kutumia ushawishi kutetea hoja yako.

Sikiliza, wasipolipwa si tatizo na hakuna wa kuilaumu serikali sababu walifanya makosa.....

Pia raisi akisamehe akaona ni busara wao kupewa yale makato yao wakapambane na maisha mengine sioni kama ni tatizo la kukuumiza wewe.
 
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Hili la vyeti fake halikuchukuliwa kwa umakini bali lilifanywa kuridhisha yule mzee,, maana akisema halafu ukafanya tofauti hata kam ni kwa weledi alikuwa anakufukuza kazi, anakufunga au unatumiwa wasiojulikana.
Hebu fikiria ,,kuna maprofesa waliambiwa wana vyeti fake.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Kama si yeye basi kutakuwa na wanafamilia wake walioguswa na hili kash kash.

Sent using Jamii Forums mobile app
Au nina wafanyakazi wangu mahiri walioondolewa na mpaka sasa hakuna degree iliyoweza kuvaa viatu vyao.

Vyovyote unavyohisi ni sawa ila hakuna sababu za msingi kushupalia wasilipwe iwapo serikali imeona ni busara kuwalipa. Na wasipolipwa pia hakuna wa kuilaumu serikali sababu makosa yalifanyika.
 
Kama wewe ni mmojawao imekula kwako
Huyo aliyewaajiri na kuwathibitisha kazini hakukagua vyeti vyao? acha roho mbaya kama walifanya kazi walipwe stahiki zao acheni dhuluma za kipuuzi...
 
Back
Top Bottom