Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Hoja yako ni Wakipewa hupati chochote, wakikosa pia hupati chochote ila Sheria ifuate mkondo.
Sawa.

Hoja yangu ni wale ni wahalifu ni kweli ila serikali ilikubali huduma zao na sasa imewaadhibu kwa kuwafukuza kazi, Kama kuna uwezekano wa kupewa yale makato waliyokuwa wanakatwa wakati wanatoa huduma wapewe. Mbona kuna misamaha ya raisi? Kushupalia wasipewe ni roho ya ajabu. Ukumbuke wengi hapa ni walitumia majina ya watu kujiendeleza. Miaka ya nyuma imefanyika sana.
Wewe ukitapeliwa na ukaja ukagundua hutataka urudishiwe vile ambavyo ulitapeliwa....??
 
Mifuko ya hifadhi za kijamii haiwajibiki na ukaguzi wa uhalali wa muajiriwa hill ni jukumu la muajiri.....kama muajiriwa amemuongopea muajiri kwa kughushi vyeti hiyo ni habari nyingine.....na kile kipato atakacholipwa ni haramu pamoja na mafao yap yalioukuwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii.....
Mtake msitake watalipwa tu , roho mbaya haijengi , mama kaishasema unafikiri amekurupuka ? Yote anayoyafanya na kusema na kuchukua hatua ameshauriwa kuondoka vinyongo mbalimbali vya watanzania .
 
Wewe ukitapeliwa na ukaja ukagundua hutataka urudishiwe vile ambavyo ulitapeliwa....??
Utapeli? Sikiliza, Miaka ya nyuma watu walitumia majina ya watu kujiendeleza. Hawa hawajifichi kwenye utapeli wanajulikana maana ilikuwa kawaida kuchukua jina la mtoto asiyeendelea na kuendelea nalo.
Serikali ilijua kabisa hawa watu wapo si kuwa hawakujua. Kuwaondoa sasa si kwa sababu hawakujulikana kabla. Kuna sababu za msingi za kuwaondoa.
Kachukue age za walioondolewa uangalie, wengi ni waliosoma zamani.
 
Mifuko ya hifadhi za kijamii haiwajibiki na ukaguzi wa uhalali wa muajiriwa hill ni jukumu la muajiri.....kama muajiriwa amemuongopea muajiri kwa kughushi vyeti hiyo ni habari nyingine.....na kile kipato atakacholipwa ni haramu pamoja na mafao yap yalioukuwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii.....
Kwahiyo mifuko ya hifadhi ya jamii walikuwa wanapokea michango ya hao watumishi ili waifanyie nini? Ebu acheni dhuluma lipeni haki stahiki za watu , acheni roho za kiibilisi , hao wakilipwa hujui mzunguko wa fedha unakuguss hadi wewe au ndio Lusinde au Musukuma type of ideas .
 
Ishu hapa sio kwamba tunaona watafaidaka na hizo hela and all that.
Its about principles and setting moral standards that govern human behaviour.
Kufoji vyeti ni serious offense.

Tuchukulie mfano nafojincheti cha udaktari...maisha ya watu wa ngapi nayaweka rehani? Tuataka watumishi waaminifu hizyo basi lazima tuonyeshe pasipo shaka kuwa vitendo vyovyote vya udanganyifu havita vumiliwa.

Ugumu wa kuwa kiongozi upo katika kuweza kuweka hisia pembeni na kuongoza kulingana na miongozo iliyowekwa. Utakapoanza kuweka exceptions ndio matatizo utokea.
Vipi double standard kutochukuliwa hatua jeshini , polisi magereza , uhamiaji , usalama wa taifa wamejaa mpaka sasa hivi .
 
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Rudia tena kusikiliza hotuba,hajataja vyeti feki paleee
 
Vipi double standard kutochukuliwa hatua jeshini , polisi magereza , uhamiaji , usalama wa taifa wamejaa mpaka sasa hivi .
Two wrongs d t make a right. Kama huko nako ni hivyo basi nako wafanye kusafisha wasio stahili kuwepo.
Na ndio maana nikasema kama kiongozi ukishaanza kuweka exceptions ujue utajipa tabu huko mbileni.
 
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Kweli mkuu na walioghushi ushaguzi 2020 ili wawe pale walipo nao Hawa wwlitakiwa wawe jela.
 
Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao . Sikikiza hotuba yake dakika ya 13...
Kwa kusaidia tu ni hii hapa...

 
Kweli mkuu na walioghushi ushaguzi 2020 ili wawe pale walipo nao Hawa wwlitakiwa wawe jela.
Kabisaaa eti wezi wa uchaguzi wanasindikizwa na vingo'ra aiseeee halafu nyumbu wa kijani kibichi hawataki watu waliotoa jasho lao na kuitumikia nchi kwa moyo , uaminifu mkubwa walipwe ?
 
Rudia tena kusikiliza hotuba,hajataja vyeti feki paleee
Hebu lipeni hela za watu muiondolee hii nchi laana za kujitakia kama zile za kuteka , kufunga kwenye viroba , kuua zimeiharibu Sana hii nchi , majuto mjukuu hebu lipeni .
 
Kwann
Mifuko ya hifadhi za kijamii haiwajibiki na ukaguzi wa uhalali wa muajiriwa hill ni jukumu la muajiri.....kama muajiriwa amemuongopea muajiri kwa kughushi vyeti hiyo ni habari nyingine.....na kile kipato atakacholipwa ni haramu pamoja na mafao yap yalioukuwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii.....
Kwann muajiri akubali kuongopewa.Kifanyacho Kazi ni vyeti au weledi, huwezi foji taaluma.
 
Kwann
Mifuko ya hifadhi za kijamii haiwajibiki na ukaguzi wa uhalali wa muajiriwa hill ni jukumu la muajiri.....kama muajiriwa amemuongopea muajiri kwa kughushi vyeti hiyo ni habari nyingine.....na kile kipato atakacholipwa ni haramu pamoja na mafao yap yalioukuwa kwenye mifuko ya hifadhi za jamii.....
Kwann muajiri akubali kuongopewa.Kifanyacho Kazi ni vyeti au weledi, huwezi foji taaluma.
 
Fidia gani? Ni zile stahiki zao wanazokatwa za mishahara nssf🤣🤣 kwa huduma walizotoa. Sasa hizo unazichukua za nn? Embu jiulize tu, wewe wakipunguziwa adhabu wakapewa zile stahiki za 5%walizokatwa kwenye mshahara kwann unaumia?
Mm naumizwa na nini sasa?
 
Sheria zipo kwa ajili ya binadamu sio binadamu kwa ajili ya sheria, ndo maana huwa tunahalalisha misamaha ya raisi baada ya hukumu.
Usiongozwe na roho ya aina hiyo, haitakupeleka popote katika siku zako za kuishi.
Narudia tena...
'Usihalalishe uvunjifu wa sheria kisa ubinadamu.'
 
Hebu acheni kuitia nchi katika laana kisa roho za uzulumati , laana nyingine ya watu ,waliouawa ,tekwa ,fungwa kwenye viroba ,inalitesa taifa hili bado mnataka na kudhulumu mafao yao tena ?.
Narudia tena...
"Usihalalishe uvunjifu wa sheria kisa ubinadamu."
 
Back
Top Bottom