Muwe mnaelewa!!sio kukurupuka tu!!hakuna aliposema darasa la saba wenye vyeti feki walipwe, darasa la saba wote walioajiriwa baada ya 2004, na kushindwa kujiendeleza ndio waliondolewa kazini, lakini walioajiriwa kabla ya 2004, wakati sheria haijabadirika hata kama hawakujiendeleza walibakia kazini, ila wengi wao mwaka jana ndio wamestafishwa mimi nina mfano wa watu wawili nawafahamu, ndio amewazungumzia hao kuwa wanatakiwa kulipwa mafao yao!kwani serikali ilikuwa bado haijatoa muongozo, na mwendazake, alikuwa hajaamua, kuwa walipwe au vipi!!Hivyo wana haki kama watumishi wengine, tatizo ninalo liona huu ni mzigo mkubwa sana kwa serikali kwani wengi walikuwa wamebakiza miaka 1, 2, 3, 4 sasa karibia wote unawastafisha kwa wakati mmoja,?!!ndio maana meko baada ya kuona ameshabugi, aka waweka pending kwanza!!!