Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Narudia tena...
"Usihalalishe uvunjifu wa sheria kisa ubinadamu."
Sheria zenyewe hizi zilizopelekwa bungeni kwa hati ya dharula?
Kama kushitakiwa kuzuri kwanini viongozi wako wamejitengenezea Kinga zakisheria wasishitakiwe kwa kosa lolote?
Ifike muda na sisi kama raia wa kawaida tuwe tunateteana.
 
Mama akiweza awakumbuke na wale waliodhurumiwa East Africa Community
Umena vema mkuu [emoji849]ila naona kama kwa huruma yake anaweza akafanya hivyo kama wahusika watapiga kelele maana naskia wahusika walipeleka kesi mahakamaani nahukumu ilikwishatoka walishinda
 
Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao . Sikikiza hotuba yake dakika ya 13 mpaka 16 .View attachment 1770203
Muwe mnaelewa!!sio kukurupuka tu!!hakuna aliposema darasa la saba wenye vyeti feki walipwe, darasa la saba wote walioajiriwa baada ya 2004, na kushindwa kujiendeleza ndio waliondolewa kazini, lakini walioajiriwa kabla ya 2004, wakati sheria haijabadirika hata kama hawakujiendeleza walibakia kazini, ila wengi wao mwaka jana ndio wamestafishwa mimi nina mfano wa watu wawili nawafahamu, ndio amewazungumzia hao kuwa wanatakiwa kulipwa mafao yao!kwani serikali ilikuwa bado haijatoa muongozo, na mwendazake, alikuwa hajaamua, kuwa walipwe au vipi!!Hivyo wana haki kama watumishi wengine, tatizo ninalo liona huu ni mzigo mkubwa sana kwa serikali kwani wengi walikuwa wamebakiza miaka 1, 2, 3, 4 sasa karibia wote unawastafisha kwa wakati mmoja,?!!ndio maana meko baada ya kuona ameshabugi, aka waweka pending kwanza!!!
 
Kuna mambi mengi yanayoweza kusababisha mtu kuamua kutumia busara badala ya sheria:

1: Historia ya elimu yetu hapo zamani ilitoa mwanya wa mtu kurudia shule kwa kutumia jina la mtu mwingine, japo si kisheria. Msingi wa majina kutofanana, kwa kutumia hii huko serikalini ni mafuriko hasa wasomi wa siku nyingi.

2: Kutokuwa makini wakati tunajiandikisha kwenye tasisi tofauti kwa kuwa watu hawakujua kama haya yatakuja kutokea.

3: Zoezi lilivyoendeshwa, muda wa kuweza kurekebisha kasoro na wanaokusikiliza kufanyia hoja zako kwa usahihi.

4: Je ni kweli kuwa hakuna watu wengine kwenye utumishi mpaka sasa wenye matatizo kama hayo au zaidi na bado wanakula mishahara?

5: Je hawa watu hawakuwa na ufanisi wowote pamoja na makandokando yao?

6: Wangapi hawana kandokando kama Mwenyezi Mungu akiamua atumulike wote kwa njia tylizopita? Udanganyifu kwenye mitihani? Udanganyifu kwenye research zetu, kutokutimiza wajibu kwenye kazi?

7: .......

NB: Wakati mwingine tuheshimu busara kama hakuna anaeumizwa moja kwa moja. Kwani hela zilizo kwenye mifuko hiyo ni haki yao, walikatwa wao. Hazitoki kwa mtu mwingine, wapewe wajichange kimaisha kupunguza wategemezi na watu kujinyonga na shida za afya za akili.

Ningeshauri tu wapewe mafunzo ya ujasiriamali kabla ya kupewa hizo hela.
Nazani kwamuda wahiyo miaka mi5 waliyokaa mtaani wengiwao wameshakua wajasiriamali huru so wakilipwa hizo stahikizao wana bust tu vile walivyo vianzisha, ila pia wazo lako simbaya wakipewa hiyo elim ya ujasiriamali kuwaongezea weledi naufanisi katika lile walifanyalo au wanalo tarajia kwenda kuanzisha maana pesa buana[emoji28][emoji1]inaweza pitanakuisha kama upepo isipo kua na mwongozo mzuri
 
Narudia tena...
"Usihalalishe uvunjifu wa sheria kisa ubinadamu."
Kuua watu , kuteka kufunga ,kwenye viroba , kuzuia uhuru wa vyombo vya habari , demokrasia , ukiukaji mkubwa sana wa haki za binadamu , ubambikiaji kesi za uonezi za uhujumu uchumi na utakatishaji fedha sio kuvunja sheria , jamani watu wametumikia kazi Wana jasho lao walipwe .
 
Muwe mnaelewa!!sio kukurupuka tu!!hakuna aliposema darasa la saba wenye vyeti feki walipwe, darasa la saba wote walioajiriwa baada ya 2004, na kushindwa kujiendeleza ndio waliondolewa kazini, lakini walioajiriwa kabla ya 2004, wakati sheria haijabadirika hata kama hawakujiendeleza walibakia kazini, ila wengi wao mwaka jana ndio wamestafishwa mimi nina mfano wa watu wawili nawafahamu, ndio amewazungumzia hao kuwa wanatakiwa kulipwa mafao yao!kwani serikali ilikuwa bado haijatoa muongozo, na mwendazake, alikuwa hajaamua, kuwa walipwe au vipi!!Hivyo wana haki kama watumishi wengine, tatizo ninalo liona huu ni mzigo mkubwa sana kwa serikali kwani wengi walikuwa wamebakiza miaka 1, 2, 3, 4 sasa karibia wote unawastafisha kwa wakati mmoja,?!!ndio maana meko baada ya kuona ameshabugi, aka waweka pending kwanza!!!
Wewe ndio huelewi ebu angalia uliponiquote nimesema mama kasema darasa la Saba na wenye vyeti feki walipwe hotuba dakika ya kumi na tatu mpaka kumi na sita sikiliza slow learner .
 
Hakuna kitu kama hicho. Watu ambao wanazungumziwa katika sakata linaloitwa vyeti feki ni wale ambao kulikuwa na complications katika taarifa zao kama majina, vyeti vya kuzaliwa na kadhalika ambao walisimamishwa kimakosa sababu taarifa hazikulingana na nyaraka zao za kitaluuma.

Ila uchunguzi ulikuja kubaini si wote vyeti vyao ni batili. However, hili swala la kuwalipa wahusika haliwahusu wale ambao wameghushi vyeti vya kitaaluma. Sababu hao ni wahalifu na walipewa msamaha na raisi sababu walitumikia taifa muda mrefu ila hiyo haiwatoi katika kundi la wahalifu.

So wewe mleta mada na wenzako mnapokuwa mnazungumzia hili sakata la Vyeti feki hebu muwe makini na taarifa zote kamili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaa ujue kumbe hapo kuna hoja zina kinzana kwa watoa coment wahili suala kumbe sio wenye vyeti feki[emoji4]niwenye vyeti vya la7 na ambao hawaku gush vyeti sasa swali je wale walio tumia cheti kimoja wa2 wawili ijapo kua wanavyeti vya taaluma husika hapo amekaaje
Sikiliza hotuba dakika ya kumi na tatu mpaka kumi na sita kasema wenye vyeti feki na darasa la Saba kataja makundi mawili ndugu .
 
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Watanzania wengi elimu hamna. Na hata wale waliosoma majority yao elimu haina msaada katika upande wa upeo.

Imagine mtu analaumu serikali kumdhibiti mtu aliyefoji vyeti kupata kazi, eti na yeye anapiga kelele huyu mtu kulipwa stahiki!

Kiukweli hii ni aibu kubwa sana katika taifa kuwa na raia ambao wanaamini hisia ndio muamuzi wa hatima ya taifa badala ya sheria, kanuni na taratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
W
Hakuna kitu kama hicho. Watu ambao wanazungumziwa katika sakata linaloitwa vyeti feki ni wale ambao kulikuwa na complications katika taarifa zao kama majina, vyeti vya kuzaliwa na kadhalika ambao walisimamishwa kimakosa sababu taarifa hazikulingana na nyaraka zao za kitaluuma.

Ila uchunguzi ulikuja kubaini si wote vyeti vyao ni batili. However, hili swala la kuwalipa wahusika haliwahusu wale ambao wameghushi vyeti vya kitaaluma. Sababu hao ni wahalifu na walipewa msamaha na raisi sababu walitumikia taifa muda mrefu ila hiyo haiwatoi katika kundi la wahalifu.

So wewe mleta mada na wenzako mnapokuwa mnazungumzia hili sakata la Vyeti feki hebu muwe makini na taarifa zote kamili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio umemsikiliza na kumuelewa rais peke yako sio ? Wengine hawana masikio ? Hawaelewi ? Acha utani basi .
 
Sikiliza hotuba dakika ya kumi na tatu mpaka kumi na sita .
So mkuu, naomba nikuulize swali, wewe kwako mtu ambaye amefoji vyeti au katumia vyeti vya mtu katika kuomba na kujipatia ajira, kwako huyu mtu hana tatizo, wala hana makosa, na alichofanya kwa mujibu wa Sheria za nchi hana hatia yoyote?!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengi elimu hamna. Na hata wale waliosoma majority yao elimu haina msaada katika upande wa upeo.

Imagine mtu analaumu serikali kumdhibiti mtu aliyefoji vyeti kupata kazi, eti na yeye anapiga kelele huyu mtu kulipwa stahiki!

Kiukweli hii ni aibu kubwa sana katika taifa kuwa na raia ambao wanaamini hisia ndio muamuzi wa hatima ya taifa badala ya sheria, kanuni na taratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria gani vyeti feki walimu na manesi ndio wametolewa kazini huku ,polisi , tiss , uhamiaji ,jeshi wamejaa mpaka kumi wanakitumia cheti kimoja na wana vyeo vikubwa kweli ,hiyo ndio sheria ?
 
So mkuu, naomba nikuulize swali, wewe kwako mtu ambaye amefoji vyeti au katumia vyeti vya mtu katika kuomba na kujipatia ajira, kwako huyu mtu hana tatizo, wala hana makosa, na alichofanya kwa mujibu wa Sheria za nchi hana hatia yoyote?!

Sent using Jamii Forums mobile app
Na mimi naomba kukuuliza mtu aliyewaajiri na kuwathibitisha kazini Hana kosa ?
 
Zamani watu walikuwa wanatumia vyeti vya watu kujiendeleza...........
Kama huduma zao zilikubalika hakuna tatizo yale mafao yao waliokatwa wakipewa. Unless ww huna ubinadamu.
Kwa namna umeongea haijalishi una umri kiasi gani aidha miaka 50,40, 30 au chini ya hapo, ila umeonyesha uwezo na utashi mdogo sana wa kufiriki na kuongea mambo ya msingi.

Hivi kabisa unaongea wazi wazi eti kuna watu walitumia vyeti vya watu kujiendeleza, hivi utakuwa mzima kichwani wewe?!

Sasa nikuulize, ni wapi uliambiwa kuwa ni sawa kutumia vyeti vya mtu kujiendeleza au kusomea chochote?!

So kwenye akili yako kufoji vyeti sio kosa, unaonaje mtu afoji vyeti kupata kazi ya udaktari halafu hana background ya utaalamu huo kisha siku ya operation mgonjwa uwe ni wewe anatakiwa kukufanyia upasuaji, utakubali?!

Ndugu hebu ukishindwa kutumia hekima, jaribu hata kuuliza kwa watu wanaokuzidi busara au hekima wakupe muongozo, utakuja kumuabisha mkeo, watoto wako au familia yako siku kwa kuongea mambo ya ajabu mbele za watu wa heshima.


Wewe hauchelewi kusema hata wauza madawa ya kulevya wakikamatwa wasifungwe wala kupewa adhabu yoyote, wanapambana kujitafutia maisha ajira ni ngumu......

Aiseeeee hiki kizazi cha sasa ukikitazama kwa umakini, idadi kubwa ni wasted sperms.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania wengi elimu hamna. Na hata wale waliosoma majority yao elimu haina msaada katika upande wa upeo.

Imagine mtu analaumu serikali kumdhibiti mtu aliyefoji vyeti kupata kazi, eti na yeye anapiga kelele huyu mtu kulipwa stahiki!

Kiukweli hii ni aibu kubwa sana katika taifa kuwa na raia ambao wanaamini hisia ndio muamuzi wa hatima ya taifa badala ya sheria, kanuni na taratibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Marehemu Jiwe tu kuulizwa thesis yake ya maganda ya korosho akamrestisha mtu inside white house with his own hands , double standard haijengi , Kabudi ,Bashite , Mwakyembe their so many in political arena .
 
So unahalalisha uhalifu ili kupinga uhalifu au unakemea uhalifu wote?!

Halafu swala jingine unajua qualifications ya kuwa mwanasiasa hapa Tanzania upande wa elimu?! Hebu nenda kajifunze kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua kusoma na kuandika huku mfagiaji na dereva wa mbunge yeye anatakiwa awe kidato cha nne , na wewe unaona sawa na kusifia ? Halafu ndio watunga sheria , wawakilishi wa wananchi kujadili mipango ya maendeleo na bajeti ya nchi ?
 
Wewe unahangaika bure mama kaishasema walipwe sikiliza hotuba dakika ya kumi na tatu mpaka kumi na sita , mambo ya roho mbaya za Jiwe hakuna tena .
Unajua lile Sakata la vyeti feki kuna watu vyeti vyao vilikuwa ni halali ila ni swala la kubadili majina. Mfano mtu hana cheti cha kuzaliwa anaitwa Aneth Michael Madabida, ila baada ya kuolewa na kuchukua ubini wa mumewe anaitwa Aneth Joseph Machaku. Huyu lazima aliingia katika blacklist na process ya kufuatilia unakuta ni ndefu so ametolewa katika ajira. Huyu lazima alipwe stahiki zake.

Wengine wamesilimu, so majina yao ya awali si ya sasa so wanatiliwa shaka pia na kutolewa makazini.

Wengine hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa so fitina za kazini wakasakiziwa kuwa wanavyeti feki.

Mambo ni mengi hawa ndio wanaotakiwa kulipwa. Sio mtu ambaye vyeti vyake ni batili huyu anatakiwa kufungwa jela sababu kafoji nyaraka za kitaaluma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usihalalishe uvunjifu wa sheria kisa ubinadamu.
Huyu ndio wale wale binti yake wa miaka 14 anatiwa mimba na Fataki, halafu fataki linakuja kumuomba msamaha na kumpa hela anasamehe sababu ni swala la ubinadamu bila kujua mwenzake ndio kazi yake hiyo kuharibu watoto wa wenzake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom