KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Rais anatoa msamaha kwa wahalifu ambao wameshatumikia vifungo....sasa hawa wahalifu wa vyeti feki wameshitakiwa na kuhukumiwa lini na walitumikia lini adhabu zao mpaka wastahili msamaha au huruma ya rais.....??kumbuka pia raisi anatoa msamaha kwa wahalifu mkuu jielewe