Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Kama ulifanya kazi kwa jasho na ukachangia mifuko,lazima ulipwe,hatutaki dhulumati dhulumati
Mkuu umenifanya nicheke sana..Warudishe hela za watu hao.Ujanja ujanja hakuna labda afafufuke.
 
Basi hamna shida ya ubinadamu...kinachotakiwa ni kuwafukuza na hamna kupata mafao kwa sababu hawastahili kupata.
kumbuka mzee hata ukiua raisi anauwezo wa kutoa msamaha mkuu huo ni msamaha kawapa kwa kuitumikia taifa kwa vigezo vya kugushi
 
kumbuka pia raisi anatoa msamaha kwa wahalifu mkuu jielewe
Tatizo ni kwamba kuna watu hawataki msamaha kwa sababu labda anamfahamu atakayelipwa sasa anataka ateseke asilipwe. Maana najaribu kuwaza kwann uumie mwingine akisamehewa sipati jibu.
 
Kuna msamaha wa raisi hata wafungwa wanaachiwa kabla ya kutumikia adhabu yote.
Kama raisi ameona ni sahihi kuwasamehe na kuwapa yale makato yao ya 5% kwann mtu imuume?
Ukitaka kujipima ww ni mtu wa aina gani maeneo kama haya ndo pa kujipima. Mtu kapewa msamaha, ila unapigania asiupate. Ili nini? Sheria zipo na misamaha ipo. Hata nyumbu wana sheria za kuhama hama kutafuta malisho ila sisi ni binadamu, kiongozi wetu anapoona ni busara kuweka sheria pembeni na ubinadamu ufanye kazi ni vizuri kuheshimu.
Hamna kitu kama hicho...na wale ambao walistahili kwa wakati ule kupata hizo kazi una walipa vipi?

Dhumuni la adhabu ni kuhakikisha kwamba hilo kosa halirudiwi tena. Hivyo basi, ni lazima yule mkosoja wa kwanza apewe adhabu kali sana.

Ukianza kuleta mambo ya ubinadamu ujue itafika sehemu utajifunga mikono wee mwenyewe na itakuwi vigumu kufanya maamuzi.
 
Watu wanaotaka wasisamehewe nawafananisha na yule mtu aliyepata bahati ya kutembelewa na malaika na kuambiwa omba lolote nitakupa ila jirani yako nitampa mara mbili yako, sababu ya roho nyeusi akaomba chongo.

Mtu anapewa msamaha apewe yale makato yake tu kwa ajili yake na wategemezi wake wewe huku mishipa inakaza unataka asipewe.
 
kumbuka mzee hata ukiua raisi anauwezo wa kutoa msamaha mkuu huo ni msamaha kawapa kwa kuitumikia taifa kwa vigezo vya kugushi
Sawa toa msamaha laki kwa nini wapewe mafao ambayo hawakustahili kupata to begin with?

Mesejintuyawaam ia vijana ni kwamba ah usijali tumia vyeti feki na wala hutapata matatizo kivile...alafu hao hao tunataka uadilifu kutoka kwa watumishi.
Hizi ni double standards. Hivyo basi tusilalamike pale ambapo watumishi wanapokuwa wanafoni risiti na vitu vingine.
 
Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao . Sikikiza hotuba yake dakika ya 13 mpaka 16 .View attachment 1770203

Hapana hapa amezungumzia darasa la saba tuu karudie hotuba
 
Sio yeye atakayefunga watu 1000 wala mimi kupata kitu chochote,hiyo ni sheria kufuata mkondo mkuu,wapewe haki yao ya mafao ila tusiishie hapo kama walighushi na sheria ina maelekezo yake kwa mtu aliyeghushi,nao ufuatwe halikadhalika.
Uwe unatumia akili kwahiyo na waliowaajiri nao , na waliowathibitisha kazini nao washtakiwe ? . Tumia akili roho mbaya weka pembeni .
 
Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao . Sikikiza hotuba yake dakika ya 13 mpaka 16 .View attachment 1770203
Hakuna ulijualo. Wa vyeti fake hawahusiki katika malipo hayo
 
Sawa toa msamaha laki kwa nini wapewe mafao ambayo hawakustahili kupata to begin with?

Mesejintuyawaam ia vijana ni kwamba ah usijali tumia vyeti feki na wala hutapata matatizo kivile...alafu hao hao tunataka uadilifu kutoka kwa watumishi.
Hizi ni double standards. Hivyo basi tusilalamike pale ambapo watumishi wanapokuwa wanafoni risiti na vitu vingine.

Walikatwa 5% ya mishara yao ww mshipa unakutoka kweli. 5% walikatwa ikaenda kwenye mifuko ya jamii, hiyo ndo wakisamehewa wanalipwa daah🤣🤣🤣
Wasiposamehewa pia ni sawa tu ila inashangaza kushupalia wasisamehewe.
 
Watu wanaotaka wasisamehewe nawafananisha na yule mtu aliyepata bahati ya kutembelewa na malaika na kuambiwa omba lolote nitakupa ila jirani yako nitampa mara mbili yako, sababu ya roho nyeusi akaomba chongo.

Mtu anapewa msamaha apewe yale makato yake tu kwa ajili yake na wategemezi wake wewe huku mishipa inakaza unataka asipewe.
Ila wanaona jizi la tilioni moja ndio shujaa , mzalendo , kipenzi cha wanyonge aiseeee .
 
Comment za humu zinaonesha kuna watu walipewa sumu ya ukatiri aliokuwa nao jiwe so umeharibu nchi kabisa.. mama anakazi ya kunywesha watu maziwa sumu itoke... Kazi iendelee Mama anabonyeza reset button zote.. ukatiri uishe na wasiotaka Wamfuate Jiwe Motoni akhera

IMG_0189.jpg
 
Sawa toa msamaha laki kwa nini wapewe mafao ambayo hawakustahili kupata to begin with?

Mesejintuyawaam ia vijana ni kwamba ah usijali tumia vyeti feki na wala hutapata matatizo kivile...alafu hao hao tunataka uadilifu kutoka kwa watumishi.
Hizi ni double standards. Hivyo basi tusilalamike pale ambapo watumishi wanapokuwa wanafoni risiti na vitu vingine.
Aliyefoji thesis ya PhD ya maganda ya korosho yeye ndio binadamu wengine sio .
 
Mwendazake aliamua kuwapunguza watumishi Ili kupunguza gharama kisha apeleke pesa apatakapo
 
Hivi adui wa chadema hasa ni Magufuli, Polepole na Bashiru au ccm?
Hivi Rais wa wa wanyonge hasa ni nani,
Hitler wa Chato aliefukuza wafanya kazi na kupora mafao yao, au ni Rais Samia anaeagiza wanyonge walipwe haki zaidi walizozitolea jasho.?
 
Back
Top Bottom