Mimi sija-ungunga elimu yangu lakini siungi mkono swala hilo.Mtu aliye-gushi cheti na kufanya kazi amefanya makosa mawili:
1.Kugushi cheti,kosa ambalo ni prosecutable by law,
2.Kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, kosa ambalo pia ni prosecutable by law.
Sasa tuwe wakweli tu, mtu kama huyo analipwa mafao,si alitakiwa kupelekwa mahakamani in the first place.
Kiukweli maamuzi ya kuwalipa hawa watu hayaja-zingatia sheria,weledi na yana-set an extremely bad precedent.
Tunaomba Rais afikirie upya maamuzi yake,yanachangia moja kwa moja katika kuiharibu jamii yetu morally.