Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Umesikiliza vizuri hotuba yake?Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao . Sikikiza hotuba yake dakika ya 13 mpaka 16 .View attachment 1770203
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....
Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........
Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Adui namba moja wa taifa kwa sasa analiwa na mafunza, nyie vidagaa pamoja na hao uliotaja ni vitawi vidogo dogo ambavyo as the time go vitajipukutisha vyotee, aliekuwa anawalea kafa[emoji23][emoji23]Hivi adui wa chadema hasa ni Magufuli, Polepole na Bashiru au ccm?
Mbona wamepokea michango yao kama ni feki.Acha chuki za mwendazakeKwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....
Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........
Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
KabudiJe ni kweli kuwa hakuna watu wengine kwenye utumishi mpaka sasa wenye matatizo kama hayo au zaidi na bado wanakula mishahara?
Ikiwa unaanini watalipwa kweli basi ujue uwezo wako wa kufikilia uko chini sana. Angetaka walipwe wangelipwa akiwa makamu wa rais. Kwa kifupi angetaka walipwe wangekuwa washalipwa.Wewe unahangaika bure mama kaishasema walipwe sikiliza hotuba dakika ya kumi na tatu mpaka kumi na sita , mambo ya roho mbaya za Jiwe hakuna tena .
Kwani wewe unacho kipimo cha kujua maoni yepi yana ubinadamu na yepi hayana! Hicho kipimo umekitoa wapi? Kimehalalishwa na nani? Wewe toa maoni yako kisha acha na wengine watoe ya kwao. Hiyo ndiyo demokrasia, siyo?Maoni yako hayana ubinadamu wa kujua hawa watumishi walitumikia hii nchi kuliko hata Jiwe , Wana familia zao na mchango wait wa taifa upo na wamechangia mifuko ya hifadhi ya jamii .
Kwa mantiki kwamba mchakato wa kuwalipa ulikuwa unafanyika sio tamgia uko nyuma sio?Utaku
Utakuta wewe nae una familia inakutegemea kweli?
Kama umesikiliza mwenyewe bado hujaelewa alimaanish nini basi una matatizo.
Rudia kusikiliza ndo uje na mapambio yasiokuwa na maana.
Najua muda si muda mtaanza matusi yenu kumbe ni kwa kutokujua kwenu nini kinasemwa.
Amesema wale walio ondolewa wa darasa la saba na wegine walilipwa na wengine hawajalipwa mafao yao
Wasakwe na wachunguzwe wote waliofundishwa na waalimu waliokuwa na vyeti feki wafukuzwe kazi kwa kufundishwa na waalimu wenye vyeti feki! ...... Atabaki mtu kweli!!!Akamatwe kwanza Bashite
Umeona statement ya Chadema humu?Hivi adui wa chadema hasa ni Magufuli, Polepole na Bashiru au ccm?
Ikiwa unaanini watalipwa kweli basi ujue uwezo wako wa kufikilia uko chini sana. Angetaka walipwe wangelipwa akiwa makamu wa rais. Kwa kifupi angetaka walipwe wangekuwa washalipwa.
Sio yeye atakayefunga watu 1000 wala mimi kupata kitu chochote,hiyo ni sheria kufuata mkondo mkuu,wapewe haki yao ya mafao ila tusiishie hapo kama walighushi na sheria ina maelekezo yake kwa mtu aliyeghushi,nao ufuatwe halikadhalika.Akishafunga watu zaidi 1000 ww utapata amani....
Hapana. Nilikuwepo wakati maamuzi yanafikiwa na yalikuwa sahihi kabisa, ila ni sawa tu wakipewa mafao yao maana serikali ilikubali huduma zao hata kama makaratasi ya vyeti yalikuwa ya kilaghai. Kama kuna uwezekano wa kupewa makato yao wapewe. Hakuna tatizo katika hilo.Kwani wewe ni kati ya hao wa vyeti fake mkuu??
Yeye ndiye!Kwani wewe ni kati ya hao wa vyeti fake mkuu??
Bora eewe umeliona hilo. Akiwalipa vyeti feki atakuwa na tatizo.yaan jitu ligushi vyeti afu alipwe fidia?Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....
Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........
Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......