Pre GE2025 Rais Samia aagiza mahindi kununuliwa kwa Tsh 700 kwa kilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Allah amzidishie mama Samia kila la heri, usikivu, utulivu na busara na subra.

Alilolifanya ni kubwa sana tena sana, maana wiki moja kabla aliwaongeza 100, sasa kawaongeza 100 nyingine.
 
Allah amzidishie mama Samia kila la heri, usikivu, utulivu na busara na subra.

Alilolifanya ni kubwa sana tena sana, maana wiki moja kabla aliwaongeza 100, sasa kawaongeza 100 nyingine.

Asiishie kwenye mahindi tu, aongeze na kwenye pamba, korosho
 
Allah amzidishie mama Samia kila la heri, usikivu, utulivu na busara na subra.

Alilolifanya ni kubwa sana tena sana, maana wiki moja kabla aliwaongeza 100, sasa kawaongeza 100 nyingine.
Kwa hakika Mwenyezi Mungu aendelee kumtunza na kumbariki sana Rais wetu kwa kazi kubwa na njema anayoifanya katika kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania.
 
Asiishie kwenye mahindi tu, aongeze na kwenye pamba, korosho
 
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
15 July 2024
Kamsamba,
Jimbo la Momba.

Serikali ya CCM imechoka hivyo inahitaji kupumzishwa mfano mahindi WFP wanataka kununua kwa bei ya Tshs. 1,000 kwa kilo

Pamewaka!! CHADEMA WAIVURUGA CCM KAMSAMBA // WANACCM 100 WAHAMIA CHADEMA // WAFUNGUKA BAADA YA KUHAMIA


View: https://m.youtube.com/watch?v=ZTDtjKXVT-o
hotuba nzito za CHADEMA zashawaishi wanaCCM na wananchi.

Wasisitiza nchi kuwa na vijana na raia jeuri wanaoweza kuhoji badala ya kugaragara chini bali tuwahoji viongozi wa serikali

Leo kuna Kamsamba wanaCCM 100 kwa niaba ya wenzao wamejitokeza mbele ya makamu mwenyekiti wa kanda Nyasa CHADEMA..

Dhuluma za stakabadhi ghalani kwa zao la ufuta ni jambo la makosa makubwa wanalofanya serikali ya CCM kwa wananchi wa Kamsamba Momba ... huo ni ubabaishaji mkubwa wananchi walipwe kwa wakati badala ya kupewa risiti kwa mali kauli wakati wananchi wanataka fedha mkononi..

Serikali ya CCM imechoka hivyo inahitaji kupumzishwa mfano mahindi WFP wanataka kununua kwa bei ya Tshs. 1,000 lakini serikali hii ya CCM inataka wakulima wa mahindi walipwe Tshs. 500 kwa kilo ya mahindi.... chama dola kongwe cha kijani kimeshindwa kuwatetea ..


Halafu kwa kuwa 2024 na 2025 CCM wanakuja hapa na kibaba cha chumvi kutaka muwapigie kwa mapipa ya Pombe na T-Shirt, muwakatae hawa CCM.

Wazee wetu wamechoka kwa maji ya kutoka kutekwa mbali leo hii wanamuahidi katika umri huu kuwaletea maji, walikuwa wapi miaka yote hii 60 toka huyu mzee wetu akiwa kijana ... muwakatae hawa CCM kwa ahadi zao hewa miaka nenda rudi ..

Wana wa Kamsamba hivi kwanini mtembee na jini la CCM katika mfumo wa kadi ndani ya mfuko wako, leo tumechelewa kuwahii kufika ktk mkutano huu kutokana na barabara mbovu ikabidi gari yetu kutumia njia ya ngombe kufika hapa Kamsamba ...

TAKWIMU MUHIMU :
Kata ya Kamsamba wilaya ya Momba katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata walihesabiwa kuwa 23,456 . Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17,055 walioishi humo.
 
Kwahiyo Dumla ni 2800? Kwa mahindi ya mwaka huu?
Je ya mwaka jana itakua bei gani?
 
Umekosea kuandika, Rais hajasema hivyo! "Mia 700" uliyoandika ni sawa na elfu 7, yaani mia zikiwa 700 inakuwa 7,000. Ungeandika mia 7 yaani mia zikiwa 7 inakuwa 700.
 
mfano mahindi WFP wanataka kununua kwa bei ya Tshs. 1,000 lakini serikali hii ya CCM inataka wakulima wa mahindi walipwe Tshs. 500 kwa kilo ya mahindi....

Zambia kununua mahindi

TANZANIA YASAINI MAKUBALIANO NA ZAMBIA KUIUZIA TANI 650,000 ZA MAHINDI, KAULI YA BASHE NA MWIGULU


View: https://m.youtube.com/watch?v=pfunGatK8CMZambia imekumbwa na hali ya hewa ya El Nino, ambayo ni hali ya hewa inayohusishwa na mabadiliko ya mifumo ya upepo, ambayo inamaanisha halijoto ya joto ya juu ya uso wa bahari katika maeneo ya mashariki na kati ya Pasifiki na kusababisha ukame kwa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

Picha: Philimon Bulawayo/REUTERS
Zambia inapanga kuagiza tani 650,000 za mahindi meupe kutoka Tanzania baada ya ukame kupunguza uzalishaji kwa zaidi ya asilimia 50, waziri wa habari Cornelius Mweetwa alisema Jumatano.

Uzalishaji wa mahindi nchini Zambia katika msimu wa mazao wa 2023/24 unatarajiwa kupungua hadi tani milioni 1.5 kutoka tani milioni 3.2 msimu uliopita, kulingana na utafiti wa utabiri wa mazao.

"Serikali imefikia makubaliano ya awali na serikali ya Tanzania kuagiza tani 650,000 za mahindi meupe kutoka nje," Mweetwa alisema katika taarifa yake akitangaza maamuzi ya baraza la mawaziri.

Waziri wa Kilimo Mtolo Phiri alisema bungeni Jumanne kwamba nchi ilisitisha uuzaji wa mahindi nje ya nchi kufuatia upungufu wa tani milioni 2.1 na itaagiza nafaka hiyo kuu kutoka nje.

Zambia plans to import 650,000 tons white maize from Tanzania​

BY REUTERS - 19 June 2024 - 18:11

El Nino is a weather phenomenon associated with a disruption of wind patterns, which means warmer ocean surface temperatures in the eastern and central Pacific.

Image: Philimon Bulawayo/REUTERS

Zambia plans to import 650,000 metric tons of white maize from Tanzania after drought cut production by more than 50%, information minister Cornelius Mweetwa said on Wednesday.

Zambia's maize production in the 2023/24 crop season is expected to decrease to 1.5-million tons from 3.2-million tons the previous season, according to a crop forecasting survey.

"The government has reached an initial agreement with the Tanzanian government to import 650,000 tons of white maize," Mweetwa said in a statement announcing cabinet decisions.

Agriculture minister Mtolo Phiri said in parliament on Tuesday the country suspended maize exports following a deficit of 2.1-million tons and would import the staple grain.

Source: thesowetan newspaper
 
N

Nikuulize swali, kwa trending hiyo kufika mwezi wa 10, mahindi yanaweza fika 1000 kwa kilo?...maana mimi nilinunua 600 kwa kilo na nina gunia kama 150, nafikiri niziuze au nisikilizie?
Endelea kuzitunza .ila hakikisha umepiga dawa vizuri ili yasije yakapechwa halafu ukaingia hasara itakayo kububujisha machozi ya uchungu na majuto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…