Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni wa kusomewa kurjuan tuJiweke katika muktadha huo Mh Rais utadiriki kufanya hivyo? Why on Masai people?
Au to a lesser leel, Kizimkazi wote wahame tuwauzie waarabu! Utafanya hivyo?
Ufike kituo kikuu cha polisi usaidie upelelezi.Laa sivyo,utatafutwa popote ulipo.😂😂😂Jiweke katika muktadha huo Mh Rais utadiriki kufanya hivyo? Why on Masai people?
Au to a lesser leel, Kizimkazi wote wahame tuwauzie waarabu! Utafanya hivyo?
Sana, wazanzibar wameacha tamaduni zaoZanzibar kuna tishio la uharibifu wa Mazingira?🐼
if that is the case wahame wasiharibu mazingiraZanzibar kuna tishio la uharibifu wa Mazingira?🐼
Kuna kosa gani katika post hiyo?Ufike kituo kikuu cha polisi usaidie upelelezi.Laa sivyo,utatafutwa popote ulipo.😂😂😂
Nimesikia wanasema "mkubwa hakombi mboga bali ameipenda sana"!Kuna kosa gani katika post hiyo?
Sio sawa kama utachukulia wote ni binadamu na wako kihalali maeneo yao. Lakini ukiondoa hilo, ni sawa kwakuwa Wamasai kwanza hawana dini wanaishi porini, wanaweza kuswagwa tu kwa manufaa ya taifa hili.Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Mbinu chafu za kuchoma nyika za Ngorongoro ni mbinu chafu ya kivita, inatumiwa sana na waovu
View: https://m.youtube.com/watch?v=Laz7umKCstc