Pre GE2025 Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro

Pre GE2025 Rais Samia Aagiza urejeshwaji wa huduma za kijamii Ngorongoro

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Si tuliambiwa kuwa nchi haina wanyonge tena baada ya JPM kutangulia mbele ya haki ?
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.

Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.

Soma Pia:

Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Kwa hiyo Rais anatengua kauli ya nani huyo aliyeamuru jambo kubwa namna hiyo la kuvuruga wananchi bila Rais mwenyewe kuwa na taarifa?

Yaweza kuwa ya kweli haya!

Mbona jambo hili inaonesha kuwa yeye ndiye anafanya drama za kuanzisha tatizo na kulitanzua?

Maana hakuna Waziri ama kiongozi yeyote anayeweza kufuta Tarafa na vijiji na kuzuia huduma za kijamii bila kupata baraka za Rais mwenyewe.
 
Kwa hiyo Rais anatengua kauli ya nani huyo aliyeamuru jambo kubwa namna hiyo la kuvuruga wananchi bila Rais mwenyewe kuwa na taarifa?

Yaweza kuwa ya kweli haya!

Mbona jambo hili inaonesha kuwa yeye ndiye anafanya drama za kuanzisha tatizo na kulitanzua?

Maana hakuna Waziri ama kiongozi yeyote anayeweza kufuta Tarafa na vijiji na kuzuia huduma za kijamii bila kupata baraka za Rais mwenyewe.
Swali LA msingi..
Ila asubuhi subiri ngonjera za pongezi
 
ZA HIVI PUNDE KUTOKA NGORONGORO:
Wamasai wengi wanakamatwa usiku huu.
Na msako bado unaendelea!
 
Ni nani ali ziondoa??
Acheni kumuosha huyu mtawala. Walifanya makosa hawa takiwi kusifiwa.
Wapi nimemuosha mtawala hapo?????????

Soma vizuri uelewe kusema wamasai oyee ni kumuosha mtawala una akili kweli wewe fyuuuuuu
 
Sasa Nyinyi wamasai SI mnasema mnaishi porini na wanyama?Sasa mkate na soda za Nini?SI mle majani kama hao wanyama mnaokamaa kuishi nao?
 
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.

Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.

Soma Pia:

Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Kumbe ni kweli zilikuwa zimeondolewa? Kwamba hakuna watu au nini wakati tuliambiwa kuhama ni hiari?
 
Wakulaumiwa ni Watanganyika wenzetu wanaotusaliti kwa kunogewa na asali.
Kwelikabisa mkuu huwa naumia sana kila nikiwaza hili. Tunaumizwa na kunyanyaswa na mzanzibari ambae hana uchungu na watanganyika. Na viongozi watanganyika wenzetu wako kimya wana sapoti huo uonevu. Hivi kama anayafanya hayo kipindi hiki ambacho anaomba kura zetu itakuwaje kama tukimchagua? Maana atakuwa hana mpango wa kuomba kura tena si ndo atafanya mabaya zaid? Angejua kipindi hiki angefanya mema sana kwa watanganyika wala asingeshugulika na wazanzibar maana kule yuko mwinyi anaongoza vizuri sana. Angeficha makucha kidogo kuliko kufanya hayo yanayofanywa kwa sasa
 
Hongera sana Vyama vya kutetea haki za binadamu
Hongera mno jamii za Kimataifa
Hongereni sana Mwabukusi na TLS yoote.

Hatimae wamesalimu "AMRI"
 
Hii Katiba ya Tanzania, tukimpata Rais asiye na busara anageuka kuwa Mungu.
 
Aibu sana viongozi nchi hii wamejaa dhuluma sana na huko
Zingepigwa sana

Ova
 
Back
Top Bottom